Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
- Thread starter
- #41
EValuation inafanyika siku zote na ndio tunayoweka kwenye mikataba.Acheni kejeli sasa kama kumlipa hamuwezi...
Lini mmeanza kufanya evaluation ya thamani za wachezaji?
Sio nyinyi mlikuwa mnamlipa Makambo 7mls na hachangii chochote uwanjani?
Wakati huohuo mnamlipa Fei 4mls na alikua anafunga karibu kila mechi!
Najua kuna wachezaji wanalipwa vizuri kisa wametoka nje ila wanazidiwa ubora na Mzize kwa mbali sana...
Hii ligi haipaswi kuwafaidisha wageni tu, tuamke.
Hakuna mchezaji mkubwa kuliko timu.
Akae kwa kutulia.
Fei tulimlipa 4m kwa mkataba aliosaini na wanasheria wake.
Makambo naye 7m kwa mkataba, kama hutaki unasaini ili nini?
Yanga hatujawahi kulazimisha mtu kusaini.