Kwenye kumrudia yesu nakataa, aliposasa ni njia sahihiMzize apunguze wenge, halafu amrudie Kristo mambo yake yatanyooka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye kumrudia yesu nakataa, aliposasa ni njia sahihiMzize apunguze wenge, halafu amrudie Kristo mambo yake yatanyooka.
Fei hakugoma? Eti hakuna wa kuigomea yangaHivi kuna mchezaji wa kuigomea Yanga?
Hayo mambo ya kulea lea yapo Msimbazi! Yanga ukijifanya kuzidi kichwa tunaleta streka refu kuliko goli 😅😅 afu tunakusahau mara 1
Wapi wakina Djuma shabani/Wakina fei hio haina kufeli wameondoka kina mayele wakahisi tutashuka daraja! Cha ajabu maisha yanasonga.
Hamna mchezaji wa kuigomea Yanga kwa sasa
Mzize? Mchukueni hata bure b… nitafurahi mno.Lol! Kitu amefanya Simba hapa kwa mujibu wa mleta thread, ndiyo hasa kufanya kwa vitendo; 'Ubaya Ubwela'.
Kwa sasa tunangoja 'Udugu Umala' kwa vitendo ili Mnyama afunge kazi. Lol
Ova
Haki ina wajibu !Ni haki yake
Sasa upo mbali na michezo sana, wachezaji wengi si Yanga tu hata Simba hawa walugaluga waliookotwa klabu za mikoani wananunuliwa iphone maana most of them wanakuja Dar na TECNO laini nne.Iphone 15?
Ntakua wa mwisho kuamini
Baada ya kugoma ukawa unamuona kwenye kikosi cha Yanga?Fei hakugoma? Eti hakuna wa kuigomea yanga
B... usimalize maneno. Weka akiba kidogo, bado Yanga wanafanya lobbying kwa Mzize.Mzize? Mchukueni hata bure b… nitafurahi mno.
Nilishasema mara nyingi, hana hadhi ya kuichezea Yanga ya sasa. Huko kwenu atafit.
B... usimalize maneno. Weka akiba kidogo, bado Yanga wanafanya lobbying kwa Mzize.Mzize? Mchukueni hata bure b… nitafurahi mno.
Nilishasema mara nyingi, hana hadhi ya kuichezea Yanga ya sasa. Huko kwenu atafit.
Kupoteza rasilimali tu, Mzize ni wa kumwacha aende. Dogo katufelisha kinoma, sitaki hata kumuona.B... usimalize maneno. Weka akiba kidogo, bado Yanga wanafanya lobbying kwa Mzize.
Ova