Tetesi: Mzize asusa kusaini Yanga, Kutimkia Simba!

Tetesi: Mzize asusa kusaini Yanga, Kutimkia Simba!

Makolokwinyo hamjui kutatuta vipaji na kuviendeleza! Mzize alishasaini mkataba mpya yanga
 
Hivi kuna mchezaji wa kuigomea Yanga?
Hayo mambo ya kulea lea yapo Msimbazi! Yanga ukijifanya kuzidi kichwa tunaleta streka refu kuliko goli 😅😅 afu tunakusahau mara 1
Wapi wakina Djuma shabani/Wakina fei hio haina kufeli wameondoka kina mayele wakahisi tutashuka daraja! Cha ajabu maisha yanasonga.
Hamna mchezaji wa kuigomea Yanga kwa sasa
 
Ipo hivi kaka, Mzize anajilinganisha na hawa pro kutoka Congo na Burkinabe, anajihisi anastahili kama wao.
Hajui mshahara wa Aziz Ki unakatwa kodi kubwa, anakatwa hela ya Visa na working permit wakate yeye hayo yote hana.
Ana demand Appatrment Masaki ambapo kodi ni milioni 5 kwa mwezi badala achukue chumba maeneo ya Temeke kwa laki 5 ni full house.
Mwacheni afurahie juhudi zake
 
Kila siku munaleta tetesi ili kuwafanya watu wawe bize kujadili tetesi siku ziende waache kujadili au kufikiri mambo ya maana .
Tumeshagundua Janja yenu !
Anzisha "uzi wa mambo ya maana tujadili"
 
Kusema kweli aende halafu huyu meneja wake si ndiye anaye msimamia Fei, kama anataka kuondoka aondoke tusisumbuane.
 
Mwache aje unyamani kachoka kutumia kiswaswadu

Ubaya ubwela
 

Clement Mzize ambaye anadai kuzaliwa 2004 , yani sasa ana miaka 20 ambaye kwa sasa mkataaba wake na Yanga umeisha amegoma kusaini mkataba mpya.

Mzize amegoma mkataba mpya na anataka kupandishiwa dau.
Ikumbukwe Mzize alikuwa "afisa usafirishaji " -bodaboda Pale Igumbilo Iringa akivaa yebo yebo za Njano huku akiwa anaishi na mama yake mzazi maeneo ya Zizi la Ngombe.
Mzize akaonekana na ghafla akatua Yanga, baadae sasa inaonekana mabega yameanza kuzidi kichwa.

Pia soma: Tetesi za usajili ligi kuu Tanzania bara 2024/2025

Yanga wanataka kumpa Mzize yafuatayo:
1. Mzize analipwa milioni 7 kwa mwezi.
2. Nyumba ushuani.
3. Gari na mafuta.
4. Milioni 200 ya usajili
NB : Hayo yote ameyagomea.

Matakwa ya Mzize:
1. Milioni 10 kwa mwezi.
2. Nyumba Masaki .
3. Iphone 15 Pro Max
4. Milioni 300 za usajili .

Simba ambayo imeamua kusajili makinda na Yanga imeamua kusajili "wastaafu" wameanza harakati za kumsajili Mzize kwa mshara wa milioni 11 na ada ya usajili ya milioni 300 na iphone 15 pro max elite .

Ubaya Ubwela.
Lol! Kitu amefanya Simba hapa kwa mujibu wa mleta thread, ndiyo hasa kufanya kwa vitendo; 'Ubaya Ubwela'.

Kwa sasa tunangoja 'Udugu Umala' kwa vitendo ili Mnyama afunge kazi. Lol

Ova
 
Bado hamjasema

Msimu huu tenaaaa💚💚💛🖤🖤💪💪💪

Daima mbeleeeee

Cc Smart911
1722469794544.png
 

Clement Mzize ambaye anadai kuzaliwa 2004 , yani sasa ana miaka 20 ambaye kwa sasa mkataaba wake na Yanga umeisha amegoma kusaini mkataba mpya.

Mzize amegoma mkataba mpya na anataka kupandishiwa dau.
Ikumbukwe Mzize alikuwa "afisa usafirishaji " -bodaboda Pale Igumbilo Iringa akivaa yebo yebo za Njano huku akiwa anaishi na mama yake mzazi maeneo ya Zizi la Ngombe.
Mzize akaonekana na ghafla akatua Yanga, baadae sasa inaonekana mabega yameanza kuzidi kichwa.

Pia soma: Tetesi za usajili ligi kuu Tanzania bara 2024/2025

Yanga wanataka kumpa Mzize yafuatayo:
1. Mzize analipwa milioni 7 kwa mwezi.
2. Nyumba ushuani.
3. Gari na mafuta.
4. Milioni 200 ya usajili
NB : Hayo yote ameyagomea.

Matakwa ya Mzize:
1. Milioni 10 kwa mwezi.
2. Nyumba Masaki .
3. Iphone 15 Pro Max
4. Milioni 300 za usajili .

Simba ambayo imeamua kusajili makinda na Yanga imeamua kusajili "wastaafu" wameanza harakati za kumsajili Mzize kwa mshara wa milioni 11 na ada ya usajili ya milioni 300 na iphone 15 pro max elite .

Ubaya Ubwela.
Ni haki yake
 
Kujua historia yake sio mbaya ila sio kudhalilishana kihivo, kila mtu ana nasty au humble begining sio lazime itajwe kila wakati mkuu, tuheshimu wenzetu tu wasitili nasisi tutasitliwa.
Bodaboda ni nasty issue?
 
Back
Top Bottom