Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
- Thread starter
-
- #41
EValuation inafanyika siku zote na ndio tunayoweka kwenye mikataba.Acheni kejeli sasa kama kumlipa hamuwezi...
Lini mmeanza kufanya evaluation ya thamani za wachezaji?
Sio nyinyi mlikuwa mnamlipa Makambo 7mls na hachangii chochote uwanjani?
Wakati huohuo mnamlipa Fei 4mls na alikua anafunga karibu kila mechi!
Najua kuna wachezaji wanalipwa vizuri kisa wametoka nje ila wanazidiwa ubora na Mzize kwa mbali sana...
Hii ligi haipaswi kuwafaidisha wageni tu, tuamke.
Tusubirie tuone movie itaishajeIpo hivi kaka, Mzize anajilinganisha na hawa pro kutoka Congo na Burkinabe, anajihisi anastahili kama wao.
Hajui mshahara wa Aziz Ki unakatwa kodi kubwa, anakatwa hela ya Visa na working permit wakate yeye hayo yote hana.
Ana demand Appatrment Masaki ambapo kodi ni milioni 5 kwa mwezi badala achukue chumba maeneo ya Temeke kwa laki 5 ni full house.
Wewe ni wa kupiga makofi.EValuation inafanyika siku zote na ndio tunayoweka kwenye mikataba.
Hakuna mchezaji mkubwa kuliko timu.
Akae kwa kutulia.
Yan iPhone?😂
Clement Mzize ambaye anadai kuzaliwa 2004 , yani sasa ana miaka 20 ambaye kwa sasa mkataaba wake na Yanga umeisha amegoma kusaini mkataba mpya.
Mzize amegoma mkataba mpya na anataka kupandishiwa dau.
Ikumbukwe Mzize alikuwa "afisa usafirishaji " -bodaboda Pale Igumbilo Iringa akivaa yebo yebo za Njano huku akiwa anaishi na mama yake mzazi maeneo ya Zizi la Ngombe.
Mzize akaonekana na ghafla akatua Yanga, baadae sasa inaonekana mabega yameanza kuzidi kichwa.
Yanga wanataka kumpa Mzize yafuatayo:
1. Mzize analipwa milioni 7 kwa mwezi.
2. Nyumba ushuani.
3. Gari na mafuta.
4. Milioni 200 ya usajili
NB : Hayo yote ameyagomea.
Matakwa ya Mzize:
1. Milioni 10 kwa mwezi.
2. Nyumba Masaki .
3. Iphone 15 Pro Max
4. Milioni 300 za usajili .
Simba ambayo imeamua kusajili makinda na Yanga imeamua kusajili "wastaafu" wameanza harakati za kumsajili Mzize kwa mshara wa milioni 11 na ada ya usajili ya milioni 300 na iphone 15 pro max elite .
Ubaya Ubwela.
Nina habarisha umma, sipigi makofi wala sisikitiki.Wewe ni wa kupiga makofi.
Wote waliopo Jangwani wana vipaji, ,kama vipi aende tu.Kwani hana kipaji? Mkuu naona hapa tungejikita kujadili kipaji chake sio kazi yake ya zamani, hamna mtu anae okotwa "jalalani" timu yangu ya yanga sio charity organisation kwamba anasaidia watu bure, hapana eliona kwamba anamanufa kwake ndo maana elimleta na kumlipia hicho kias regardless his past history ya bodo bado.
Wakati analetwa jangwani hakukuwa na wenye vipaji? Heshimu uwezo wake biashara ya mpira haifanywi hivo.Wote waliopo Jangwani wana vipaji, ,kama vipi aende tu.
Duuuu hii ni hatari sana. Jamaa ukimcheki kakomaa sana2004 Mwishoni , kipindi Bokko kishanza kucheza ligi kuu.
Jibu zuri kabisa.Mpira ni pesa na maisha ni yake binafsi. Afate tu utaratibu kama anataka kuondoka..
Haha majinga ni MAHOHONilidhani ni tetesi serious hadi nilipofika kwenye simu, ujinga mtupu.