Mwana Taaluma
JF-Expert Member
- Oct 21, 2019
- 705
- 1,662
Mjomba karibu kantalamba hapa.Kuna jamaa nilimueleza juzi kuhusu jeshi la Urundi akanibishia mbaya kigezo chake Burundi hawawezi ni masikini sanaa, nikaamua nikae kimnyaaa na burundi yenyewe si unajua ni mtoto wetu pendwa?
Kilochotokea ni kwamba Bongo haina bifu la moja kwa moja na Mrefu ila mrefu ndio ana choko choko kwahiyo Bongo iliamua kumlisha Mrundi data zote,
Basi last born wetu Urundi akakiwasha na akapita na biti mule mule🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣Kuna jamaa nilimueleza juzi kuhusu jeshi la Urundi akanibishia mbaya kigezo chake Burundi hawawezi ni masikini sanaa, nikaamua nikae kimnyaaa na burundi yenyewe si unajua ni mtoto wetu pendwa?
Kilochotokea ni kwamba Bongo haina bifu la moja kwa moja na Mrefu ila mrefu ndio ana choko choko kwahiyo Bongo iliamua kumlisha Mrundi data zote,
Basi last born wetu Urundi akakiwasha na akapita na biti mule mule🤣🤣
MTOTO MDOGO HUYO HATUSUMBUI!!!PK amejua jeshi letu na lile la afrika kusini yapo serious ikabidi akunjie mkia makalioni
Hizo ni mind game ili upate sababu ya kufanya maamuzi flani.Hata Kagame huwa analalama sana.Mnapendanga poroja na kujipa umuhum kutwa rais wa burundi analia anasema anaogopa kuvamiwa wewe upo hapa ukiwa wewe mwenyewe ndio chanzo cha habari yako.
Also, aging is real my friend.Imeachiwa by who mkuu? Who knows tomorrow?
Huna jeshi wewe kaua askari wako na wengine kawachakaza wapo ICU wanapumulia mipira na goma ipo mikononi mwake na lakufanya huna huyo ndio Paulo mtaalamu wa vita kamguse uumieHizo ni mind game ili upate sababu ya kufanya maamuzi flani.Hata Kagame huwa analalama sana.
Achilia mbali Russia jitu kubwa nalo huwa analalama.China pia huwa analalama🤗
So are youAlso, aging is real my friend.
Nenda kampige yupo kigaliKagame alitakiwa apigwe kwanza yaan abananishwe kisawasawa angeacha fujo na kujiona mbabe
Glad you understand thatHizo ni mind game ili upate sababu ya kufanya maamuzi flani.Hata Kagame huwa analalama sana.
Achilia mbali Russia jitu kubwa nalo huwa analalama.China pia huwa analalama🤗
......eneo ni la congo!Je Jeshi la Kongo limeafikiana na kusimamisha mapigano?! Au lenyewe linataka kukomboa maeneo?
Biashara za hiziAfrika bwana.
Waasi wanasumbua dunia nzima lakini wanatumia email ya Gmail.
Kukomboa maeneo mpaka gisenyi,kuafijiana,walikaa na nani mezani!?Je Jeshi la Kongo limeafikiana na kusimamisha mapigano?! Au lenyewe linataka kukomboa maeneo?
DOGO KASOME HUNA AKILI!!!Huna jeshi wewe kaua askari wako na wengine kawachakaza wapo ICU wanapumulia mipira na goma ipo mikononi mwake na lakufanya huna huyo ndio Paulo mtaalamu wa vita kamguse uumie
Uko wapi huo uzi nikabaarizi!?Nimeona uzi unaosema wameuliwa wanajeshi wao 600,watu wakasema ni propaganda za south afrika,
sasa kwa taarifa hii,naanza kuiamini ile taarifa ya kuuawa kwa wanajeshi wao.
Au sioNenda kampige yupo kigali