Mzozo waibuka kuhusu Mazishi ya Rais wa Zamani wa Angola, Jose Dos Santos

Mzozo waibuka kuhusu Mazishi ya Rais wa Zamani wa Angola, Jose Dos Santos

Most of the population still lives in poverty, a sharp contrast to the luxurious lifestyle of the Angolan elite, mostly formed during the dos Santos’ era. His eldest daughter Isabel came to be Africa’s richest woman with an estimated fortune of $3.5bn, according to a Forbes’ 201 evaluation.

Critics say under his rule anyone who dared to criticise him or his family could either be persecuted or arrested at the time, including journalists, activists and other dissidents.

One of the cases that came to represent the violation of human rights was the 2015 arrest of young activists for reading a book on democracy.

Lourenco, dos Santos’s defence minister who came to power in September 2017, launched an anti-corruption crackdown after his mentor’s exit from power.

But things became turbo-charged in 2020 after Luanda Leaks, an investigation carried out by the International Consortium of Investigative Journalists exposed how Isabel dos Santos allegedly embezzled public money from Angola to build her billion-dollar empire.

The state charged her with money laundering, forgery and other financial crimes relating to her time in charge of Angola’s national oil company, Sonangol – a role she was appointed to by her father. Her assets were seized and another sibling was sentenced to five years in prison for embezzling up to $500m during his tenure as head of Angola’s sovereign wealth fund. (From Aljazeera)


African leaders attitudes, 😗
 
Poleni sana wafiwa wote ila marehemu inapendeza zaidi akizikwa Angola na sio huko ughaibuni
Nalog off Z
 
Are you serious Sam, Siasa ni unafiki mkubwa, he is no longer a public asset but a huge liability. Ukweli ni kwamba sasa hivi wanafukia madhambi yake, cha maana cha alichofanya ni kusimamisha vita na kuanza kutajirisha yeye na familia yake! Hastahili kabisa kufanyiwa mazishi ya Kitaifa, imebidi waanze mwanzo tena, na utajiri wote wa mafuta, wanaanza upya! So sad! Kutomfanyia mazishi ya Kitaifa linaweza kuwa ni somo kubwa, kuliko kudanganya Waangola kuwa ni Hero! Uovu wake umefuta kabisa mema yake.
Kwa upande wa watoto wa Dos Santos, iko upande wao, lakini ndugu yao yuko Jela angola kwa ubadhirifu wa wa mali, dada yao mkubwa anaweza hata kupigwa mawe akitokea msibani na ana arrest warrant, Je utataka Mzee wako azikwe huko? Serikali ya Angola isiwe na unafiki, itaonekana kituko ulimwenguni, angalau watoto wameamua kuwa wakweli na wana sababu ya msingi kwa Mzee Santos kutozikwa Angola.
Umewahi kufika ANGOLA?? Au unasikia kwenye vilabu vya mbege??

Acha ujinga Angola wana uchumi imara sana kwa sera za huyo mzee, shida ilikuwa vita ya msituni ya SAVIMBI alivyouawa basi na Angola imekaa njema, hiwezi linganisha na huu ujinga Wa TZ.

Fika Angola ujione nchi ilivyojengeka haswa, bidhaa bei nafuu na uzalishaji wa Mafuta.
 
Umewahi kufika ANGOLA?? Au unasikia kwenye vilabu vya mbege??

Acha ujinga Angola wana uchumi imara sana kwa sera za huyo mzee, shida ilikuwa vita ya msituni ya SAVIMBI alivyouawa basi na Angola imekaa njema, hiwezi linganisha na huu ujinga Wa TZ.

Fika Angola ujione nchi ilivyojengeka haswa, bidhaa bei nafuu na uzalishaji wa Mafuta.
Kwani alijenga Santos...unajua Mreno aliwaacha katika hali gani kwenye infrastructures...mkuu huwa hatuangalii majengo, the guy was corrupt to the core, kwani nini baada ya kuondoka alienda kujifika Spain, nini anachokifanya aliyeingia badala yake? Unadhani ana wazimu! Au visasi..hata kufunga watoto wa aliyemwachia madarKa na kutaifisha mali zao!
 
Kwani alijenga Santos...unajua Mreno aliwaacha katika hali gani kwenye infrastructures...mkuu huwa hatuangalii majengo, the guy was corrupt to the core, kwani nini baada ya kuondoka alienda kujifika Spain, nini anachokifanya aliyeingia badala yake? Unadhani ana wazimu! Au visasi..hata kufunga watoto wa aliyemwachia madarKa na kutaifisha mali zao!

OFFSHORE SECRECY​

Web of corruption around Isabel dos Santos still being untangled two years after Luanda Leaks​

The Pandora Papers shed new light on the offshore dealings of powerful figures close to Angola’s former president who were recently sanctioned by the U.S.
By Will Fitzgibbon
Image: Marwen Ben Mustapha - Inkyfada / ICIJ
January 24, 2022
facebooktwitterlinkedinemail

JES-IDS-Twt.jpg

Powerful Angolan political figures accused of embezzling billions of dollars can now be linked to at least 20 more secretive companies in the United States and other tax havens, exposing new financial hideaways of the impoverished African country’s former ruling elite.
Isabel dos Santos, the daughter of Angola’s former authoritarian president, José Eduardo dos Santos, as well as former senior presidential advisors and generals, Leopoldino Fragoso do Nascimento and Manuel Hélder Vieira Dias Júnior, owned offshore companies and bank accounts in Europe and the Middle East, leaked records from the Pandora Papers investigation show.
Last month, the United States government sanctioned Isabel dos Santos and the two former generals for what it called “significant corruption.” Under the new measures, dos Santos and members of her family cannot enter the United States.
The State Department also barred Nascimento, President dos Santos’ former head of communications, and Dias, a powerful former Angolan general. The U.S. Treasury Department placed Nascimento, Dias and his wife, Luisa de Fatima Giovetty, under economic sanctions.
“Bringing kleptocrats’ shady deals to light is key to defending human rights,” said Karina Carvalho, executive director of Transparency International in Portugal. “Angola is a resource rich country but the majority of its people live in poverty, prevented from accessing health, education and decent life conditions because of people who take the country’s wealth as their....
 
Kwani alijenga Santos...unajua Mreno aliwaacha katika hali gani kwenye infrastructures...mkuu huwa hatuangalii majengo, the guy was corrupt to the core, kwani nini baada ya kuondoka alienda kujifika Spain, nini anachokifanya aliyeingia badala yake? Unadhani ana wazimu! Au visasi..hata kufunga watoto wa aliyemwachia madarKa na kutaifisha mali zao!
Hizo fix kila utawala utalalamikiwa tu, yaan utawale miaka 30+ afu uwe masikini?? Una akili sawasawa wewe??

Ukitawala miaka 5 tu huwezi masikini sembuse miaka 30??

Aliyekwambia Ureno walijenga sana ni nani?? Mimi nimefika Angola miaka ya 90s nchi haikaliki kisa SAVIMBI na vikundi kadhaa vya Uasi nchini Angola.

Angola imepata utulivu miaka 2000s kama ulikuwa hujui. Acha propaganda na penda bara lako, akili za kimasikini hizo kwamba kila tajiri ni fisadi.
 
Hizo fix kila utawala utalalamikiwa tu, yaan utawale miaka 30+ afu uwe masikini?? Una akili sawasawa wewe??

Ukitawala miaka 5 tu huwezi masikini sembuse miaka 30??

Aliyekwambia Ureno walijenga sana ni nani?? Mimi nimefika Angola miaka ya 90s nchi haikaliki kisa SAVIMBI na vikundi kadhaa vya Uasi nchini Angola.

Angola imepata utulivu miaka 2000s kama ulikuwa hujui. Acha propaganda na penda bara lako, akili za kimasikini hizo kwamba kila
 
Acha uchuro...kwamba wa uzalendo wa kipumbavu, Kwa hiyo Usiwaseme kina Mobutu,Nguema na walichokifanyia wananchi wao kisa mapenzi ya uafrika,Somalia wanashindwa kabisa kutoka kwenye failed state.Waafrika tunashangaza sana, pence sifa toa credit, walipoboronga sema wazi,na jifunze kutoka na makosa yao! Hakuna anayekataa mchango wa Dos Santos, hasa wa kumaliza vita, baada ya hapo alifanya nini! Nchi ya pili kwa utajiri wa mafuta, iko wapi leo! Tunasema hayo hayo kwa Nigeria, wingi wa mafuta na population! Lipi kubwa tunalojifunza Nigeria! Be objective mapenzi ya aina hiyo yanayoua fikra ni aina ya limbwata fulani vile, Tulimpenda Mugabe kwa mapenzi yote, kaifikisha wapi Zimbambwe,leo waliomfuata wanashindwa waanzie wapi. Naakuliza tena, hivi Rais wa sasa ana Visa na Dos Santos! Hana mapenzi na aliyemwachia madarak
 
Acha uchuro...kwamba wa uzalendo wa kipumbavu, Kwa hiyo Usiwaseme kina Mobutu,Nguema na walichokifanyia wananchi wao kisa mapenzi ya uafrika,Somalia wanashindwa kabisa kutoka kwenye failed state.Waafrika tunashangaza sana, pence sifa toa credit, walipoboronga sema wazi,na jifunze kutoka na makosa yao! Hakuna anayekataa mchango wa Dos Santos, hasa wa kumaliza vita, baada ya hapo alifanya nini! Nchi ya pili kwa utajiri wa mafuta, iko wapi leo! Tunasema hayo hayo kwa Nigeria, wingi wa mafuta na population! Lipi kubwa tunalojifunza Nigeria! Be objective mapenzi ya aina hiyo yanayoua fikra ni aina ya limbwata fulani vile, Tulimpenda Mugabe kwa mapenzi yote, kaifikisha wapi Zimbambwe,leo waliomfuata wanashindwa waanzie wapi. Naakuliza tena, hivi Rais wa sasa ana Visa na Dos Santos! Hana mapenzi na aliyemwachia madarak
Acha ujinga, jifunze kushukuru kwa ukipatacho, unajua uzalishaji wa mafuta umeanza lini pale Angola?? Ujuaji wa kipumbavu unakusaidia nini wewe kilaza??
 
Acha ujinga, jifunze kushukuru kwa ukipatacho, unajua uzalishaji wa mafuta umeanza lini pale Angola?? Ujuaji wa kipumbavu unakusaidia nini wewe kilaza??
Kwa Mantiki yako Wanaigeria washukuru kwa Mamilioni aliyowaibia Sani Abacha, Wazimbabwe washukuru kwa Mama Mugabe kuitwa Guchi kufanya shopping za hali juu Singapore huku wanakufa njaa, yeye akiwa kajilimbikizia hata mashamba ambayo walishindwa kuwapa wakulima maskini, Wazaire washukuru kwa mamilioni aliyochota Mobuti, kisa kaawachia kucheza license! Kweli Waafrika tuna kazi! Labda nikuulize kisa cha Mada hii ni kipi hasa? Kwa nini Wstoto wa Santos hawataki mwili wa Baba urudi Angola? Maana hiki ndicho kiini cha Mada hii..
 
Umewahi kufika ANGOLA?? Au unasikia kwenye vilabu vya mbege??

Acha ujinga Angola wana uchumi imara sana kwa sera za huyo mzee, shida ilikuwa vita ya msituni ya SAVIMBI alivyouawa basi na Angola imekaa njema, hiwezi linganisha na huu ujinga Wa TZ.

Fika Angola ujione nchi ilivyojengeka haswa, bidhaa bei nafuu na uzalishaji wa Mafuta.
Wabongo broda ni wasemaji sana lakin ni weupe. Na bahati mbaya hatutaki ukweli ni kujifariji tu.
 
Idd Amin naye alizikwa Saudia
Kinyungu, usije Shangaa Dos Santos kuzikwa Spain,huko ndiko alipojimbilikizia mali, huko Angola sidhani kabakiza mtoto,labda aliyeko jela, ndio viongozi wa Kiafrika hao, labda watoto wa Santos wa bargain kufutiwa kesi au tuhuma za wizi ili mwili wa baba yao urudi! Naona ndio njia iliyobaki,hawawezi kuchukua mwili kwa nguvu! Waafrika tunaonekana matahiira duniani.
 
Wabongo broda ni wasemaji sana lakin ni weupe. Na bahati mbaya hatutaki ukweli ni kujifariji tu.
Sijui tujifariji kwa lipi hapa,jamaa kafia Spain alipokimbilia baada ya kutoka uongozini,aliyebaki kachukua fagio kusafisha ufisadi aluoufanya na kufunga mtoto wake, na mwingine aliyejulikana ni tajiri Afrika kataifishiwa mali zake, na anasubiri mkondo uchukue sheria akirudi nyumbani.Labda watoto wahakikishiwe trauma za kufutwa! Halafu kuna Mbongo ana uchungu kuliko Rais aliyeachiwa madaraka na Santos, nashangazwa kwa upofu huu!
 
Sijui tujifariji kwa lipi hapa,jamaa kafia Spain alipokimbilia baada ya kutoka uongozini,aliyebaki kachukua fagio kusafisha ufisadi aluoufanya na kufunga mtoto wake, na mwingine aliyejulikana ni tajiri Afrika kataifishiwa mali zake, na anasubiri mkondo uchukue sheria akirudi nyumbani.Labda watoto wahakikishiwe trauma za kufutwa! Halafu kuna Mbongo ana uchungu kuliko Rais aliyeachiwa madaraka na Santos, nashangazwa kwa upofu huu!
Huyo rais yeye aliiba peke yake? Huyo aliyepo madarakan c waliiba pamoja chief. Kuna jipya gan hapo.
 
Hulioni? Basi iko kazi..kweli tunasafari ndefu
Na Labda alipoondoka madarakani ilibidi wamtoe kafara kutuliza hasira ya wananchi! Ila kama walikula naye wameamua kumruka, that is politics, mgogoro huu using kuwepo kama wao wasingeibua tuhuma dhidi ya uongozi wake...na tuhuma zilikuwepo muda mrefu, jamaa kichini chini alitawala kwa mkono wa chuma,wasingethubutu! Alipotoka na alijua upepo si mzuri akaelekea Spain..ndio maana mimi na wewe tuko kwenye Mada hii.
 
Back
Top Bottom