Mzozo waibuka kuhusu Mazishi ya Rais wa Zamani wa Angola, Jose Dos Santos

Mzozo waibuka kuhusu Mazishi ya Rais wa Zamani wa Angola, Jose Dos Santos

Nimekuambia tembea uone, usijifungie na vijarida, hapa tulikuwa na Magufuli, muda wote anajiona yy ndio anafanya vitu vya maana kuliko mtangulizi wake.

Angola iliendelea sana enzi za mzee Dos Santos, mfano mwingine nenda South Africa, Thabo Mbeki alikuwa bonge la Rais na nchi ile ilikuwa mbali sana kiuchumi, na kwa Afrika ndio ilikuwa inaongoza karibu kila nyanja. Figisu za kijinga za mawazo kama yako na kuamini katika kufeli kwa wengine ile nchi sana inadidimia mdogomdogo.
Naomba usimwingize Magufuli
Nimekuambia tembea uone, usijifungie na vijarida, hapa tulikuwa na Magufuli, muda wote anajiona yy ndio anafanya vitu vya maana kuliko mtangulizi wake.

Angola iliendelea sana enzi za mzee Dos Santos, mfano mwingine nenda South Africa, Thabo Mbeki alikuwa bonge la Rais na nchi ile ilikuwa mbali sana kiuchumi, na kwa Afrika ndio ilikuwa inaongoza karibu kila nyanja. Figisu za kijinga za mawazo kama yako na kuamini katika kufeli kwa wengine ile nchi sana inadidimia mdogomdogo.
Nitembee niende wapi? Kama kutembea ndio kume twist akili yako namna hiyo,afadhali nibakie Chunya! Au Matombo...Naomba usibadili Mada, hujui misimamo yangu na politics za Tanzania.
 
Watu wa Angola wanatambua Mchango wa Dos Santos, ndio maana Wanataka kumfanyia Mazishi ya Heshima,lakini wanatambua pia he was a looter yeye na familia yake,Zimbabwe pia walitambua mchango wa Mugabe wa kupigania uhuru, na walitaka kumzika makaburi ya mashujaa Grace na wanaye wakakataa! Lakini walitambua pia Mugabe aliyowanyia hata kutaka kumpa mkewe urais! Sasa wewe naona una uchungu mno na familia ya Dos Santos,Waangola wanajua wanachokifanya.
Stori za kutunga tuondolee hapa, lini Grace aliandaliwa kuwa Rais?? Hizo ni propaganda kama zilivyotumika hapa kuwa Kikwete anataka kujiongezea muda nk
 
Stori za kutunga tuondolee hapa, lini Grace aliandaliwa kuwa Rais?? Hizo ni propaganda kama zilivyotumika hapa kuwa Kikwete anataka kujiongezea muda nk
Unajua kuliko Mnangagwa! Unajua kushinda Wazimbambwe! Ndio Maana nasema your thinking is twisted! Huna uzalendo wowote! Unajua kuliko Joao Lorenco Rais wa Angola, Unarudia rudia tembea uone! Kutembea ndio nini kama uwezo wako wa kufikiri umefungwa na finyu! Nawajua sana Watanzania waliotembea nje ya nchi lakini kiakili ni mbilikimo! Kuna Watanzania wametoka kama Walinzi na madereva ubalozini, wapishi na Mahausegel wa ubalozini, kuna Mabaharia wamezunguka dunia, lakini kwenye International politics, au geopolitcs hamna lolote! Kutembea sio tija, kama wigo wako wa kufikiri umefika kikomo! Unaweza kubakia Tanzania ukawa well informed hasa katika enzi hizi za mitandao. Unajua current trends za ulimwengu kwa kukaa, kutulia kujifunza kutoka kwa watu au taasisi mbali mbali. Unaweza kutembea kama unavyodai na kubakia kuangalia maghorofa marefu! na wapi viwanja vya kujirusha! Lakini dynamics za nchi unayotembelea ukashindwa kabisa kuzielewa! Ndio maana unarudia rudia mara Kikwete hakufanya hivi, mara Magufuli hakuenzi waliomtangulia! Sijui unataka kusema nini hasa! Toa mifano hata huko uliko tembea! Lets me streach your argument kwa kumalizia, ni kwamba Zaire wangemuenzi Mobutu, Nigeria Sani Abacha, Equtorial Guinea Macias Nguema, Bokasa na wengineyo! Badala ya kutuambia nini cha kujifunza na kuepuka, una thubutu kusema Africa haijui KUWAENZI VIONGOZI WAO! Tanzania Nyerere tunamuenzi, Karume pia, na hata Magufuli, sasa sijui unataka kusema nini hasa!\
Labda nikusadie, mojawapo ya matatizo yanayokabili nchi za kiafrika leo ni Corruption! Ubadhirifu wa pesa za wananchi, na viongozi wa nchi nyingi za Kiafrika hilo ni tatizo kubwa, tuna matatizo mengi yanayofanya tubakie maskini, hilo n tatizo kuu jawapo, lakini inaonekana wewe hulioni kabisa! Rais wa Angola - Joau Lourenco angalau kaamua kurebisha ubadhirifu mkubwa uliofanya na aliyemtangulia, na ndio imesababisha mada hii ikawepo, Wewe Mbongo imekuuma sana! Sasa Uzalendo wako ni nini! Hebu tueleza Wana Jamii Forum tatizo lako hasa ni nini! Labda vile unaumia ukisikia Jacob Zuma yuko matatani Africa kusini! Hebu tueleze kwa uzoefu wako wa kuzunguka dunia!
 
Unajua kuliko Mnangagwa! Unajua kushinda Wazimbambwe! Ndio Maana nasema your thinking is twisted! Huna uzalendo wowote! Unajua kuliko Joao Lorenco Rais wa Angola, Unarudia rudia tembea uone! Kutembea ndio nini kama uwezo wako wa kufikiri umefungwa na finyu! Nawajua sana Watanzania waliotembea nje ya nchi lakini kiakili ni mbilikimo! Kuna Watanzania wametoka kama Walinzi na madereva ubalozini, wapishi na Mahausegel wa ubalozini, kuna Mabaharia wamezunguka dunia, lakini kwenye International politics, au geopolitcs hamna lolote! Kutembea sio tija, kama wigo wako wa kufikiri umefika kikomo! Unaweza kubakia Tanzania ukawa well informed hasa katika enzi hizi za mitandao. Unajua current trends za ulimwengu kwa kukaa, kutulia kujifunza kutoka kwa watu au taasisi mbali mbali. Unaweza kutembea kama unavyodai na kubakia kuangalia maghorofa marefu! na wapi viwanja vya kujirusha! Lakini dynamics za nchi unayotembelea ukashindwa kabisa kuzielewa! Ndio maana unarudia rudia mara Kikwete hakufanya hivi, mara Magufuli hakuenzi waliomtangulia! Sijui unataka kusema nini hasa! Toa mifano hata huko uliko tembea! Lets me streach your argument kwa kumalizia, ni kwamba Zaire wangemuenzi Mobutu, Nigeria Sani Abacha, Equtorial Guinea Macias Nguema, Bokasa na wengineyo! Badala ya kutuambia nini cha kujifunza na kuepuka, una thubutu kusema Africa haijui KUWAENZI VIONGOZI WAO! Tanzania Nyerere tunamuenzi, Karume pia, na hata Magufuli, sasa sijui unataka kusema nini hasa!\
Labda nikusadie, mojawapo ya matatizo yanayokabili nchi za kiafrika leo ni Corruption! Ubadhirifu wa pesa za wananchi, na viongozi wa nchi nyingi za Kiafrika hilo ni tatizo kubwa, tuna matatizo mengi yanayofanya tubakie maskini, hilo n tatizo kuu jawapo, lakini inaonekana wewe hulioni kabisa! Rais wa Angola - Joau Lourenco angalau kaamua kurebisha ubadhirifu mkubwa uliofanya na aliyemtangulia, na ndio imesababisha mada hii ikawepo, Wewe Mbongo imekuuma sana! Sasa Uzalendo wako ni nini! Hebu tueleza Wana Jamii Forum tatizo lako hasa ni nini! Labda vile unaumia ukisikia Jacob Zuma yuko matatani Africa kusini! Hebu tueleze kwa uzoefu wako wa kuzunguka dunia!
Upupu, rudi jifunze uandishi vizuri. Zingatia sentensi na Aya.
Unaandika kama mtoto wa shule ya msingi.

Haya sasa, nimekuambia mzizi wa ujinga wenu ni kuhisi kila anayetoka hakufanya ilivyo sahihi. Haya huyo Mnangagwa mbona hawamtaki pia? Nchi imedorola kiuchumi vibaya mno.

The fact ni kuwa hatujifunzi kuendeleza mazuri, badala yake tunatumia nguvu kudeal na past issues.

Kama nchi inapaswa kufocus na mambo yajayo, huna haja ya kuanza mara kutaifisha mali za mtu mara ujinga.

Maendeleo ni kwenda mbele, sio Mwenzako amejenga hiki na ulikuwa humo kwenye Serikali lkn ukipata ww unaona mwenzako hakufanya kazi.

Rais wa Angola ametumia mbinu zilezile za Magufuli za kuponda wenzake ili yy aonekane malaika, ajijengee hekaya yake na kufuta mazuri ya aliyemtanguli.

Siasa za Dunia hii, nimeanza zifuatilia zamani sana, nchi pekee ambayo kidogo nimeona kuna muendelezo wa Mazuri ni Nigeria kutoka kwa Rais Obasanjo, Umaru Yar'dua, Goodluck Jonathan na huyu Muhammadu Buhari, hawana visasi na wanakaa wanajadiliana maendeleo ya nchi yao.

Hzi nchi zingine ni visasi tupu, kila uchao nchi inaanza upya kisa Rais anataka kuonesha yy ni bora kuliko mtangulizi.

Nadhani umenielewa nachomaanisha. Achana na dhana za kujihami za Uzalendo, wengi wanaingia kwa visasi na kutaka kuonekana ndio maana na wao wanafeli vibaya sana. Nimekupa mfano wa Botswana hapo lkn umeukwepa.
 
Kiheshima kiongozi anatakiwa azikwe kwenye nchi yake.
Fidel Castro wa Pili" Heshima yako Mkuu! Hakuna anayekataa au kupinga Dos asizikwe nchini kwake, na ndivyo inavyotakiwa, lakini Mzozo wa familia na Serikali umeletwa na nani hasa! Ni marehemu mwenyewe, alivyowalea watoto wake na kuwaachia free reign ya looting imekuja kumn'gata akiwa akiwa amekufa! Au alaumiwe Rais Joau Lourenco! sijui unasemaje Mwana Mapinduzi.
 
Upupu, rudi jifunze uandishi vizuri. Zingatia sentensi na Aya.
Unaandika kama mtoto wa shule ya msingi.

Haya sasa, nimekuambia mzizi wa ujinga wenu ni kuhisi kila anayetoka hakufanya ilivyo sahihi. Haya huyo Mnangagwa mbona hawamtaki pia? Nchi imedorola kiuchumi vibaya mno.

The fact ni kuwa hatujifunzi kuendeleza mazuri, badala yake tunatumia nguvu kudeal na past issues.

Kama nchi inapaswa kufocus na mambo yajayo, huna haja ya kuanza mara kutaifisha mali za mtu mara ujinga.

Maendeleo ni kwenda mbele, sio Mwenzako amejenga hiki na ulikuwa humo kwenye Serikali lkn ukipata ww unaona mwenzako hakufanya kazi.

Rais wa Angola ametumia mbinu zilezile za Magufuli za kuponda wenzake ili yy aonekane malaika, ajijengee hekaya yake na kufuta mazuri ya aliyemtanguli.

Siasa za Dunia hii, nimeanza zifuatilia zamani sana, nchi pekee ambayo kidogo nimeona kuna muendelezo wa Mazuri ni Nigeria kutoka kwa Rais Obasanjo, Umaru Yar'dua, Goodluck Jonathan na huyu Muhammadu Buhari, hawana visasi na wanakaa wanajadiliana maendeleo ya nchi yao.

Hzi nchi zingine ni visasi tupu, kila uchao nchi inaanza upya kisa Rais anataka kuonesha yy ni bora kuliko mtangulizi.

Nadhani umenielewa nachomaanisha. Achana na dhana za kujihami za Uzalendo, wengi wanaingia kwa visasi na kutaka kuonekana ndio maana na wao wanafeli vibaya sana. Nimekupa mfano wa Botswana hapo lkn umeukwepa.
Tuandikie kama Proffesor basi! Au tupe mawazo yako ya Kiitaluma! Umechukua muda mrefu kueleweka, Kumbe ni mbinu za Magufuli ndio zinazo kukera, Huko mimi siko huko! Hiyo ni Mada nyingine Kabisa! Sasa nimekuelewa, hutaniona na bishana na wewe! Ungesema toka Mwanzo Cardless tusingefika huku! Haya shusha madini kufuta upupu wangu! Inaonekana Magufuli alikuuma pabaya! Sikujua! Nawaachia Watetezi wa Magufuli! Mimi ni Mtanzania tu, Naipenda nchi yangu, naipenda Africa, I'm trying to analyze every situation realistically and objectively! I want to be driven by facts! Facts kutoka Angola ziko wazi! Nimekuelewa Cardless.
 
Tuandikie kama Proffesor basi! Au tupe mawazo yako ya Kiitaluma! Umechukua muda mrefu kueleweka, Kumbe ni mbinu za Magufuli ndio zinazo kukera, Huko mimi siko huko! Hiyo ni Mada nyingine Kabisa! Sasa nimekuelewa, hutaniona na bishana na wewe! Ungesema toka Mwanzo Cardless tusingefika huku! Haya shusha madini kufuta upupu wangu! Inaonekana Magufuli alikuuma pabaya! Sikujua! Nawaachia Watetezi wa Magufuli! Mimi ni Mtanzania tu, Naipenda nchi yangu, naipenda Africa, I'm trying to analyze every situation realistically and objectively! I want to be driven by facts! Facts kutoka Angola ziko wazi! Nimekuelewa Cardless.
Hakuniuma, nilimpenda na ndio maana hata Avatar yangu miaka nenda rudi unamkuta Magufuli, nachukia ile approach ya kuona waliokutangulia hawajafanya kitu. Na hiyo ndio sumu inayotumaliza Afrika.

Lazima tujifunze kwenda mbele, tuache visasi, Dos Santos ametoka kwa amani tu, ameenda kujipumzikia, kulikuwa na haja gani kusakama watoto wake?

Angetumia njia sahihi katika kurejebisha pale ambapo Dos Santos alifanya vibaya. Yes na nimekumbuka Msumbiji wako Njema sana katika kujenga nchi yao, hawatengani wanajadiliana kama marais kwa manufaa ya nchi.

Ukija kuelewa ninachokisema hapa utaona ni kwa jinsi gani imeathiri sana maendeleo ya nchi zetu.
 
Hakuniuma, nilimpenda na ndio maana hata Avatar yangu miaka nenda rudi unamkuta Magufuli, nachukia ile approach ya kuona waliokutangulia hawajafanya kitu. Na hiyo ndio sumu inayotumaliza Afrika.

Lazima tujifunze kwenda mbele, tuache visasi, Dos Santos ametoka kwa amani tu, ameenda kujipumzikia, kulikuwa na haja gani kusakama watoto wake?

Angetumia njia sahihi katika kurejebisha pale ambapo Dos Santos alifanya vibaya. Yes na nimekumbuka Msumbiji wako Njema sana katika kujenga nchi yao, hawatengani wanajadiliana kama marais kwa manufaa ya nchi.

Ukija kuelewa ninachokisema hapa utaona ni kwa jinsi gani imeathiri sana maendeleo ya nchi zetu.
Cardless, mimi nimekuelewa, ila sijui na mimi kama wewe umenielewa, Na chukia mno looting inayofanywa na viongozi wa Kiafrika, tuna miaka zaidi ya Sabini toka tujipatie uhuru kwa Wakoloni, lakini nchi nyingi ni kama tunazunguka mduara tu! Vicious circle of poverty! Na ukiondoa sababu za nje ambazo hatuna control nazo, sababu za ndani ni viongozi kama Dos Santos. Kafanya yale yale waliofanya kina Mobutu, Bokassa na kina Sani Abacha.

Napenda kukutarifu nimetembea Cardless, ufahamu wangu wa Nchi za Kiafrica si haba, na kwa taarifa yako hata sasa tunapowasiliana siko Tanzania. Naujua umaskini wa Waafrika ambao huwezi kabisa kuwalaumu wazungu! Kwa mtazamo wako unataka viongozi waliondoka Madarakani hata kama wamefanya mabaya wawe treated with kid gloves, with respect! Hapo naomba tutofautiane! Ni respect gani unaweza kuwapa watu kama kina Mobutu na kundi kama hilo, au akina Jacob Zuma! Ni kweli wametutoa mbali, lakini tena wakatupeleka kungine kabisa...tumeruka mkojo.....Unaiona Zaire, Chad, Equorial Guinea nk.

Huewezi kwenda mbele kwenye lolote lile kama kiongozi bila kuaangalia kwanza umefikaje hapo, kuna mambo utabadilisha kabisa, kuna mambo utayaendeleza, na kuna mambo utaondoa kabisa, na mengine utaanza upya. Naona wewe unataka tuendelee mbele bila kuangalia wapi tulipojikwaa. Mimi na msimamo wa kuangalia wapi nilipojikwaa kama nimeshindwa kufika nilipofika! Nadhani na Rais Joao Laourence amengalia wapi Angola ilipojikwaa, Kwa nini Angola imefika hapo! Wewe unaona wamefika mbali, lakini kwa utajiri walionao wangefika mbali zaidi!

Kuna watu wengi wameandika kuhusu umaskini wa nchi za kiafrika na jinsi ya kuondoka nao, ni wanazuoni toka nchi mbali mbali na hata Waafrika wenyewe, mojawapo ya sababu ni viongozi wa nchi za Kiafrika kuwa ni wafujaji wakubwa. Soma The State of Africa: A History of Fifty Years of Independence- Meredeth, ni muda umepita sasa toka kitabu hicho kitoke, mwandishi kajaribu kupitia kila nchi, unachoona tatizo la viongozi ni kubwa sana! Tafuta vitabu hata ambavyo ni current, na assessment zinazofanywa kuhusu bara letu, kwa kifupi Africa tuna matatizo, ni kila mwenye mapenzi mema na bara letu lazima aumize ubongo kipi kifanyike, na kujaribu kutoa mchango wake kadri ya nafasi yake inamvyomuwezesha.

Shukrani!
 
Lekache; Dos Santos aliacha ujamaa wa Akina Augustino Neto, akaenda kwenye "Crony Capitalism" yaani mashirika ya umma yanaonekana kama yanafanya biashara, lakini ni ndugu, watoto wa Rais na rafiki wa karibu ndio wanayendesha na kuyala na kuyafuja,kama hauko kwenye hiyo circle umekwisha! Ni looting mtindo mmoja.Dos Santos alidhani akimwachia nadhani waziri wa ulinzi ataendeleza system ya ulaji, jamaa amekuwa tofauti, kwa kifupi duru za habazi zinasema hakujua hata amwachie nani serikali,Waziri wa ulinzi ilikuwa ni kufanya serikali isipinduliwe.
Anyway umaskini wa nchi za kiafrika kwa sehemu kubwa ni wa kujitakia wenyewe.
Upo sahihi brother
 
Back
Top Bottom