Mzozo waibuka kuhusu Mazishi ya Rais wa Zamani wa Angola, Jose Dos Santos

Mzozo waibuka kuhusu Mazishi ya Rais wa Zamani wa Angola, Jose Dos Santos

Maadam mwili upo Hispania, serikali ya Angola haitaweza kuuchukua kwa nguvu kutoka mikononi mwa familia.

Labda wafanye bargain kwamba mwili ukirudishwe Angola hao wanafamilia watuhumiwa wafutiwe mashitaka, ili wakirejea nyumbani wasiishie korokoroni.
... na kimsingi familia "imenusa" hiyo possibility ya kuwekwa detention. Sio wajinga kukomalia baba yao azikwe Barcelona.
 
Familia ya Dos Santos imehusika pakubwa sana kuibia nchi ya Angola na wananchi wake. Rais aliepo Madarakani amechukua hatua ya kurejesha Mali ya umma na kuelekea kutaifisha Mali nyingi za familia ya Dos Santos. Hivyo wanafamilia Wana bifu na serikali pia wanaogopa kupelekwa mahakamani kujibu mashtaka ya ufisadi.
 
Familia ya Dos Santos imehusika pakubwa sana kuibia nchi ya Angola na wananchi wake. Rais aliepo Madarakani amechukua hatua ya kurejesha Mali ya umma na kuelekea kutaifisha Mali nyingi za familia ya Dos Santos. Hivyo wanafamilia Wana bifu na serikali pia wanaogopa kupelekwa mahakamani kujibu mashtaka ya ufisadi.
Lekache; Dos Santos aliacha ujamaa wa Akina Augustino Neto, akaenda kwenye "Crony Capitalism" yaani mashirika ya umma yanaonekana kama yanafanya biashara, lakini ni ndugu, watoto wa Rais na rafiki wa karibu ndio wanayendesha na kuyala na kuyafuja,kama hauko kwenye hiyo circle umekwisha! Ni looting mtindo mmoja.Dos Santos alidhani akimwachia nadhani waziri wa ulinzi ataendeleza system ya ulaji, jamaa amekuwa tofauti, kwa kifupi duru za habazi zinasema hakujua hata amwachie nani serikali,Waziri wa ulinzi ilikuwa ni kufanya serikali isipinduliwe.
Anyway umaskini wa nchi za kiafrika kwa sehemu kubwa ni wa kujitakia wenyewe.
 
Watoe hata kucha wazike huko maana kiongozi wa nchi lazima azikwe kwao.

Mmoja juzi hapo wamezika jino.
 
Huyo anaogopa Baba yake kuzikwa Angola kwani atashindwa kuhudhuria mazishi kwasababu akikanyaga Angola tu atakamatwa na kufunguliwa mashitaka ya corruption nk,

Na hii ndio sababu kubwa Isabella kwanza kapigwa pini UK hawezi kutoka.
 
Lekache; Dos Santos aliacha ujamaa wa Akina Augustino Neto, akaenda kwenye "Crony Capitalism" yaani mashirika ya umma yanaonekana kama yanafanya biashara, lakini ni ndugu, watoto wa Rais na rafiki wa karibu ndio wanayendesha na kuyala na kuyafuja,kama hauko kwenye hiyo circle umekwisha! Ni looting mtindo mmoja.Dos Santos alidhani akimwachia nadhani waziri wa ulinzi ataendeleza system ya ulaji, jamaa amekuwa tofauti, kwa kifupi duru za habazi zinasema hakujua hata amwachie nani serikali,Waziri wa ulinzi ilikuwa ni kufanya serikali isipinduliwe.
Anyway umaskini wa nchi za kiafrika kwa sehemu kubwa ni wa kujitakia wenyewe.
Huyu Santos kaiacha familia yake kwenye hali ngumu........bora aliachia madaraka mapema kwa hiyari maana angefia madarakani hali ingekuwa mbaya zaidi.
 
Hao watoto wehu na kama baba yao alisema kweli bac wote wamezingua... n ngumu sana kwa rais/mfalme/malkia kuzikwa nje ya ardhi yake hata kama alisema.
Rais wa zamani Dos Santos alikuwa na ugomvi na rais wa sasa, ndiyo maana alikimbia nchi.

Binti yake mmoja kafilisiwa na rais wa sasa.

Hao watoto wa Dos Santos wanatakiwa Angola wafanywe kitu mbaya, na wao wamestukia ndiyo maana hawataki kwenda kumzika baba yao huko, wanataka kumzika Uhispania.

Rais wa sasa anakosea kulazimisha familia ya Dos Santos kumzika baba yao Angola, wana uhuru wa kujiamulia wamzike wapi baba yao.
 
Kwa Mantiki yako Wanaigeria washukuru kwa Mamilioni aliyowaibia Sani Abacha, Wazimbabwe washukuru kwa Mama Mugabe kuitwa Guchi kufanya shopping za hali juu Singapore huku wanakufa njaa, yeye akiwa kajilimbikizia hata mashamba ambayo walishindwa kuwapa wakulima maskini, Wazaire washukuru kwa mamilioni aliyochota Mobuti, kisa kaawachia kucheza license! Kweli Waafrika tuna kazi! Labda nikuulize kisa cha Mada hii ni kipi hasa? Kwa nini Wstoto wa Santos hawataki mwili wa Baba urudi Angola? Maana hiki ndicho kiini cha Mada hii..
Kwahiyo una mpangia mtu matumizi yake? Ww kwa akili yako unaweza kuwa MASIKINI wakati ni RAIS??
 
Sijui tujifariji kwa lipi hapa,jamaa kafia Spain alipokimbilia baada ya kutoka uongozini,aliyebaki kachukua fagio kusafisha ufisadi aluoufanya na kufunga mtoto wake, na mwingine aliyejulikana ni tajiri Afrika kataifishiwa mali zake, na anasubiri mkondo uchukue sheria akirudi nyumbani.Labda watoto wahakikishiwe trauma za kufutwa! Halafu kuna Mbongo ana uchungu kuliko Rais aliyeachiwa madaraka na Santos, nashangazwa kwa upofu huu!
Akili za kimasikini siku zote haziwezi zaa TAJIRI. Kiongozi amekaa madarakani miaka 30+ afu atoke awe masikini kama wewe??

Magufuli amekaa miaka 5 tu, lkn utajiri wake haukamatiki itakuwa mtu aliyekaa miaka 30 madarakani?

Una akili sawasawa wewe?? We jamaa ni rahisi mno kushawishiwa na wazungu ukaua ndugu zako, una roho ya kimasikini, na nina imani huna kazi ya maana kwa roho hiyo ya kichawi uliyonayo.

How possible mtu atawale miaka 30 na bado awe masikini??
 
Kwahiyo una mpangia mtu matumizi yake? Ww kwa akili yako unaweza kuwa MASIKINI wakati ni RAIS??
Nina kapingiwa matumizi...nani kasema anashutumiwa kwa kuwa tajiri!....Nadhani hujuwi unaloliandika...Hata Tanzania tuna Maadili au miko ya uongozi...haikatazi kabisa kuwa Kiongozi kuwa tajiri....Nigeria waliomba Mali za Sani Abacha zirudishwe, ni kwamba licha ya kuwa ni Rais, mali aliyojilimbikizia mabenki ya Uswisi ni zaidi ya kipato chake akiwa Rais, Utajiri wa Mobutu kabisa kufuta madeni ya nje yote ya Zaire, Na Uswisi walirudisha pesa hizo, na bado zinatafutwa mpaka leo! Unadhani Waangola ni wapumbavu,hawajui Isabela alipata wapi pesa za kumfanya awe Mwanamke tajiri Afrika? Au kumfunga mtoto wa kiume wa Do Santos?
 
Nina kapingiwa matumizi...nani kasema anashutumiwa kwa kuwa tajiri!....Nadhani hujuwi unaloliandika...Hata Tanzania tuna Maadili au miko ya uongozi...haikatazi kabisa kuwa Kiongozi kuwa tajiri....Nigeria waliomba Mali za Sani Abacha zirudishwe, ni kwamba licha ya kuwa ni Rais, mali aliyojilimbikizia mabenki ya Uswisi ni zaidi ya kipato chake akiwa Rais, Utajiri wa Mobutu kabisa kufuta madeni ya nje yote ya Zaire, Na Uswisi walirudisha pesa hizo, na bado zinatafutwa mpaka leo! Unadhani Waangola ni wapumbavu,hawajui Isabela alipata wapi pesa za kumfanya awe Mwanamke tajiri Afrika? Au kumfunga mtoto wa kiume wa Do Santos?
During dos Santos's long rule large amounts of the country's oil and diamond wealth were siphoned off. More than $4 billion in oil revenue vanished from Angolan state coffers between 1997 and 2002 when dos Santos was in power, New York-based Human Rights Watch said in a 2004 report, based on an analysis of figures from the International Monetary Fund.(Independent UK News)
 
During dos Santos's long rule large amounts of the country's oil and diamond wealth were siphoned off. More than $4 billion in oil revenue vanished from Angolan state coffers between 1997 and 2002 when dos Santos was in power, New York-based Human Rights Watch said in a 2004 report, based on an analysis of figures from the International Monetary Fund.(Independent UK News)
Waangola wajua ni nani Kakomba hizo...More than $4 billion in Oil Revenue..nani aliku anasimamia Shirika la Mafuta la Angola....Isabella...
 
Waangola wajua ni nani Kakomba hizo...More than $4 billion in Oil Revenue..nani aliku anasimamia Shirika la Mafuta la Angola....Isabella...
Kama Mzee Santos alishindwa kuwalinda na Sasa hayupo tena huenda hii familia ikapitia magumu mno labda wasirudi tena Angola
 
During dos Santos's long rule large amounts of the country's oil and diamond wealth were siphoned off. More than $4 billion in oil revenue vanished from Angolan state coffers between 1997 and 2002 when dos Santos was in power, New York-based Human Rights Watch said in a 2004 report, based on an analysis of figures from the International Monetary Fund.(Independent UK News)
Go to hell nigga....

Yaan wazungu ndio wawe wachunguzi wa watu weusi siku zote?? Eleza wewe namna gani unaweza jilimbikizia mali kama Rais.

Unaongea kama mlevi, usipende kuokoteza habari hasa za chuki hasa kwa watu weusi mkuu.

Rais ana mshahara, Posho, ana package iliyowekwa na kupitishwa na Bunge. Kwako ww Rais wa Nchi haruhusiwi kuzaa mtoto tajiri?? Kuna Rais yeyote wa Marekani au Ulaya ambaye ni Masikini??

Tembea uone acha kudandia vijarida vya Uingereza, HUNA AKILI.
 
Go to hell nigga....

Yaan wazungu ndio wawe wachunguzi wa watu weusi siku zote?? Eleza wewe namna gani unaweza jilimbikizia mali kama Rais.

Unaongea kama mlevi, usipende kuokoteza habari hasa za chuki hasa kwa watu weusi mkuu.

Rais ana mshahara, Posho, ana package iliyowekwa na kupitishwa na Bunge. Kwako ww Rais wa Nchi haruhusiwi kuzaa mtoto tajiri?? Kuna Rais yeyote wa Marekani au Ulaya ambaye ni Masikini??

Tembea uone acha kudandia vijarida vya Uingereza, HUNA AKILI.
Kwa hiyo Rais Wa Angola kadandia vijarida vya Uingereza, Really I don't understand your line of arguments! Ni Serikali ya Angola kuamua kuondoa Ufisadi nchini kwao ni Mada kuu! Don't blame me Cardless, naona kwa mantiki hii Waafrika hatutafika mbali, it seems unachukia sana Angola wakijaribu kuisafisha nchi yao! Come with solid arguments my friend!
 
Kama Mzee Santos alishindwa kuwalinda na Sasa hayupo tena huenda hii familia ikapitia magumu mno labda wasirudi tena Angola
Iko hivi, Afrika hatuna utamaduni wa kutambua mchango wa viongozi waliotangulia, always tunawaweka kama watu walioharibu nchi, hii hali ndio inapelekea nchi zetu kuzidi kuwa masikini kwa maana hatuna muendelezo.

Dos Santos kapambana kuibadilisha Angola iliyokuwa na umasikini pamoja na Vita ya wenyewe kwa wenyewe. Nusu ya utawala wa Dos Santos ulikuwa katika vita ya wenyewe kwa wenyewe.

Mara ya kwanza nafika Angola, Luanda 1996 hapakuwa vizuri sana na hii ilichangiwa na ukosefu wa amani ambapo SAVIMBI na kundi lake walikuwa wanahatarisha sana usalama.

Miaka ya 2000s ndio Angola ikachipukia na sasa ni moja ya nchi zenye chumi imara.

Rejea BOTSWANA, Rais mstaafu Bw. IAN KHAMA ambaye aliibadilisha Botswana kuwa nchi nzuri leo anaandamwa kwamba hafai, hakuwa Raia halisi, fisadi nk.

Afrika tuna ujinga mwingi sana vichwani, na hii huambukiza watu wengine kama wewe.

Leo hii ukipata URAIS utataka umshtaki Rais Samia, Kikwete nk bila kukaa nao na kuangalia namna bora ya kuendeleza nchi yenu.

AFRICA WILL ALWAYS BE POOR.
 
Kwa hiyo Rais Wa Angola kadandia vijarida vya Uingereza, Really I don't understand your line of arguments! Ni Serikali ya Angola kuamua kuondoa Ufisadi nchini kwao ni Mada kuu! Don't blame me Cardless, naona kwa mantiki hii Waafrika hatutafika mbali, it seems unachukia sana Angola wakijaribu kuisafisha nchi yao! Come with solid arguments my friend!
Soma hapo juu nimekujibu. Afu unabishana na mtu aliyeishi nchi nyingi sana. Tulia ujifunze, hatuwezi kuendelea kwa kuwapora watu mali, bali tunaweza kuendelea kwa kutengeneza sheria ambazo hatotokea mtu akawa na mali bila nyia sahihi.

Afrika tuna Dunia yetu, aliyeko madarakani anaona aliyemtangulia hakufanya kitu. Hapa TANZANIA ni KIKWETE tu ndio alitambua KAZI YA MTANGULIZI WAKE BEN MKAPA.
 
Iko hivi, Afrika hatuna utamaduni wa kutambua mchango wa viongozi waliotangulia, always tunawaweka kama watu walioharibu nchi, hii hali ndio inapelekea nchi zetu kuzidi kuwa masikini kwa maana hatuna muendelezo.

Dos Santos kapambana kuibadilisha Angola iliyokuwa na umasikini pamoja na Vita ya wenyewe kwa wenyewe. Nusu ya utawala wa Dos Santos ulikuwa katika vita ya wenyewe kwa wenyewe.

Mara ya kwanza nafika Angola, Luanda 1996 hapakuwa vizuri sana na hii ilichangiwa na ukosefu wa amani ambapo SAVIMBI na kundi lake walikuwa wanahatarisha sana usalama.

Miaka ya 2000s ndio Angola ikachipukia na sasa ni moja ya nchi zenye chumi imara.

Rejea BOTSWANA, Rais mstaafu Bw. IAN KHAMA ambaye aliibadilisha Botswana kuwa nchi nzuri leo anaandamwa kwamba hafai, hakuwa Raia halisi, fisadi nk.

Afrika tuna ujinga mwingi sana vichwani, na hii huambukiza watu wengine kama wewe.

Leo hii ukipata URAIS utataka umshtaki Rais Samia, Kikwete nk bila kukaa nao na kuangalia namna bora ya kuendeleza nchi yenu.

AFRICA WILL ALWAYS BE POOR.
Nadhani unahitaji msaada, huo sio uzalendo ni ujinga! Na vile hujua historia, viongozi wengi walitupatia Uhuru miaka ya 60 unajua wapi walipotufikisha! Unataka nikupe orodha...Hivyo kwa sababu tu walitutoa kwa mkoloni tuwape free pass ya looting! Sijui uelewa wako na elimu yako,Africa tuna safari ndefu Sana! Kwa hiyo kina Bokassa, Nguema, Mobutu the list is endless, tunaonekana wajinga kimataifa na Africa kwa mawazo kama yako! In short hasira zako ziko Kwa serikali ya Angola! Kwa nini imeamua kusafisha nchi yao! Nimekuelewa vizuri your twisted logic of thinking! Nashindwa kuelewa kuna watanzania bado wana utindio wa ubongo kuhusu kiasi hiki!
 
Nadhani unahitaji msaada, huo sio uzalendo ni ujinga! Na vile hujua historia, viongozi wengi walitupatia Uhuru miaka ya 60 unajua wapi walipotufikisha! Unataka nikupe orodha...Hivyo kwa sababu tu walitutoa kwa mkoloni tuwape free pass ya looting! Sijui uelewa wako na elimu yako,Africa tuna safari ndefu Sana! Kwa hiyo kina Bokassa, Nguema, Mobutu the list is endless, tunaonekana wajinga kimataifa na Africa kwa mawazo kama yako! In short hasira zako ziko Kwa serikali ya Angola! Kwa nini imeamua kusafisha nchi yao! Nimekuelewa vizuri your twisted logic of thinking! Nashindwa kuelewa kuna watanzania bado wana utindio wa ubongo kuhusu kiasi hiki!
Nimekuambia tembea uone, usijifungie na vijarida, hapa tulikuwa na Magufuli, muda wote anajiona yy ndio anafanya vitu vya maana kuliko mtangulizi wake.

Angola iliendelea sana enzi za mzee Dos Santos, mfano mwingine nenda South Africa, Thabo Mbeki alikuwa bonge la Rais na nchi ile ilikuwa mbali sana kiuchumi, na kwa Afrika ndio ilikuwa inaongoza karibu kila nyanja. Figisu za kijinga za mawazo kama yako na kuamini katika kufeli kwa wengine ile nchi sana inadidimia mdogomdogo.
 
Nadhani unahitaji msaada, huo sio uzalendo ni ujinga! Na vile hujua historia, viongozi wengi walitupatia Uhuru miaka ya 60 unajua wapi walipotufikisha! Unataka nikupe orodha...Hivyo kwa sababu tu walitutoa kwa mkoloni tuwape free pass ya looting! Sijui uelewa wako na elimu yako,Africa tuna safari ndefu Sana! Kwa hiyo kina Bokassa, Nguema, Mobutu the list is endless, tunaonekana wajinga kimataifa na Africa kwa mawazo kama yako! In short hasira zako ziko Kwa serikali ya Angola! Kwa nini imeamua kusafisha nchi yao! Nimekuelewa vizuri your twisted logic of thinking! Nashindwa kuelewa kuna watanzania bado wana utindio wa ubongo kuhusu kiasi hiki!
Watu wa Angola wanatambua Mchango wa Dos Santos, ndio maana Wanataka kumfanyia Mazishi ya Heshima,lakini wanatambua pia he was a looter yeye na familia yake,Zimbabwe pia walitambua mchango wa Mugabe wa kupigania uhuru, na walitaka kumzika makaburi ya mashujaa Grace na wanaye wakakataa! Lakini walitambua pia Mugabe aliyowanyia hata kutaka kumpa mkewe urais! Sasa wewe naona una uchungu mno na familia ya Dos Santos,Waangola wanajua wanachokifanya.
 
Back
Top Bottom