Mzungu akikupa cha bure kwa mkono wa kulia piga jicho mkono wake wa kushoto

Mzungu akikupa cha bure kwa mkono wa kulia piga jicho mkono wake wa kushoto

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Tukumbushane kila siku mara kwa mara 24/7 kuwa wazungu hawana kitu chochote cha bure kwetu hata kimoja, kama ukiona wanakupa cha bure jiulize tena na tena na tena swali la kwanini wamenipa, kwanini sisi, wanataka nini kwako, wanataka nini kwetu kwaajili gani.

Kama ukiona deal lao ni zuri sana fikiria mara mbili kwanza kabla ya kupokea.
 
Tupate burudani kidogo 😊🤓

Hiki kipande nakipenda......

Bora ni Enjoy (Mmmmmh)
Maisha mafupi ni simple
Yanini niteseke roho
Jiunge nami upoze koo
Bora ni Enjoy
Maisha mafupi ni simple
Yanini niteseke roho (Ooh yanini yanini)
Jiunge nami upoze koo (Mmmh khoo khoo khoo khoo)

Kama kupendaaa
Bora nimpende mama yangu (Mmmh)
Kama kupendwaa mimi iih
Nitajipenda peke yangu (Ooooh)
Kilichoniponza ufala
Kujiona simba kumbe swala
Nikazama kwenye penzi uchwala
Badala ya kusaka miamala
Aiii yooooooo oh
Toka ni date pesa (Enhee)
Sa napendeza (Enhee)
Na tena naenjoy (Enhee)
Na wanangu ma homeboy (Enhee)
Ooooh account inasoma (Enhee)
Na kamwili kananona (Enhee)
We mwenyewe si unaona yani (Enhee)
Ai nasema boraaaa
umetishaa
 
bila wazungu HIV ingemaliza watu, wazungu wana mambo mengi sn mazuri kuliko mabaya yao, Waraabu, wahindi na wachina ni takataka kabisa
Kulikuwa na MAJANGA makubwa tu zaidi ya UKIMWI

Na dunia ikasurvive

Na hivi unajua kuwa UKIMWI haupo hata kwenye TOP 20 ya magonjwa hatari zaidi Duniani

Mpk sasa dunia ina watu kama mln 45 walokuwa na maambukizi ya ukimwi.

Hivi unajua kwa MWAKA watu wanaokufa kwa 7bu ya ALCOHOL ni wengi kushinda wanaokufa kwa ukimwi.

Na watu wanaokufa 7bu kuvuta sigara ni mara 3 ya wtu wanaokufa 7bu ya ukimwi kwa mwaka

Kama haujui nenda ukakafute 7bu ya ZUMA kuwekewa FIGISU kwenye urais wake SOUTH AFRICA
Box zikiija na ARV zikirudi azirudi Empty box

Wazungu walibrush watu mind lkn sasa tumejanjaruka na ndo maana ukaona CORONA ikayeyuka yayu
 
90% ya misaada yao inalenga kukufanya wewe ufanikishe jambo lao kwa:\

1. Uache kuunga mkono jambo fulani lisilo na maslahi kwao

2. Kuunga mkono jambo lenye maslahi kwao

3. Kukubali jambo lao

4. Ukae kimya au

5. Wanatimiza nia/agenda ovu au utafiti wao kwa siri/kificho.
 
bila wazungu HIV ingemaliza watu, wazungu wana mambo mengi sn mazuri kuliko mabaya yao, Waraabu, wahindi na wachina ni takataka kabisa
HIV ni mradi wa wazungu kama walivyotaka kwa COVID 19. Sasas sijui hayo mambo yao mazuri ktk HIV ni yapi! Yaani mtu akutengenezee tatizo, alishughulikie mwenyewe bila kukuruhusu kutafuta dawa yake then umsifie tena!!!?? kwa kweli wazungu wametushika akili.
 
Back
Top Bottom