Mzungu akikupa cha bure kwa mkono wa kulia piga jicho mkono wake wa kushoto

Mzungu akikupa cha bure kwa mkono wa kulia piga jicho mkono wake wa kushoto

Ukimwi usikie kwa mwenzako
Some People survive very Long...walikuaga wanani chora...mambo ya ujana ila yeye mwenyewe aliniambia na aliniambia kabisa sikuelewa baada ya miaka Saba kupita siku Moja NDIO nikajua kumbe alikua ananiambia ukwel mchungu 🥶🥶

HIV/AIDS IS REAL
 
Some People survive very Long...walikuaga wanani chora...mambo ya ujana ila yeye mwenyewe aliniambia na aliniambia kabisa sikuelewa baada ya miaka Saba kupita siku Moja NDIO nikajua kumbe alikua ananiambia ukwel mchungu 🥶🥶

HIV/AIDS IS REAL
Sawa
 
Sio mzungu, mwarabu au race yoyote wa kukupa kitu kwa huruma tuu
Hakunaga free lunch
Take care!!
 
Tukumbushane kila siku mara kwa mara 24/7 kuwa wazungu hawana kitu chochote cha bure kwetu hata kimoja, kama ukiona wanakupa cha bure jiulize tena na tena na tena swali la kwanini wamenipa, kwanini sisi, wanataka nini kwako, wanataka nini kwetu kwaajili gani.

Kama ukiona deal lao ni zuri sana fikiria mara mbili kwanza kabla ya kupokea.
Mwarabu je?
 
Hawa jamaa tunawachukia bure lakini wametusaidia sn, technlojia imeanzia kwao na kila kitu ni wao. Madawa karibu yote hospital yameandikwa USA Aid n.k
we jamaa wewe toka huko uliko haraka. Dawa wanazotumia wao wenyewe ni bora mara 70 kuliko dawa tunazozitumia sisi huku.
 
Ujue ameshakunyonya vya kutosha, anakuonea huruma kwa kukurudishia angalau kitu kidogo. Hivyo hajakupa bure Ila anakurudishia kidogo kati ya alivyochukuwa. Mf. Anavyonunua pamba kutoka Afrika, anapata faida kubwa sana kiasi cha kutoa msaada kwa Afrika. Sio msaada Ila anarudisha kidogo kati ya faida aliyopata.
 
Tukumbushane kila siku mara kwa mara 24/7 kuwa wazungu hawana kitu chochote cha bure kwetu hata kimoja, kama ukiona wanakupa cha bure jiulize tena na tena na tena swali la kwanini wamenipa, kwanini sisi, wanataka nini kwako, wanataka nini kwetu kwaajili gani.

Kama ukiona deal lao ni zuri sana fikiria mara mbili kwanza kabla ya kupokea.
Ni kweli
 
Tukumbushane kila siku mara kwa mara 24/7 kuwa wazungu hawana kitu chochote cha bure kwetu hata kimoja, kama ukiona wanakupa cha bure jiulize tena na tena na tena swali la kwanini wamenipa, kwanini sisi, wanataka nini kwako, wanataka nini kwetu kwaajili gani.

Kama ukiona deal lao ni zuri sana fikiria mara mbili kwanza kabla ya kupokea.
Wewe unataka kula tu bila kuliwa hata kidogo??
 
bila wazungu HIV ingemaliza watu, wazungu wana mambo mengi sn mazuri kuliko mabaya yao, Waraabu, wahindi na wachina ni takataka kabisa
Hii ni silaha ya uchumi we mjinga hujui kwamba ARV nchi inalipa au kwa sabab unaonaga wameandika USAID unanzan ni bure hakuna cha bure, nataka ujue kitu kimoja ukisikia wanasema nchi imepata msaada hilo ni deni we mjinga,,,ki nchi deni tunatumia neno msaada
Nikuulize unafikiri kwanini waathrika wanawaweka iwe siri na wanapigania iwe hivyo hii yote ili kuendeleza kuambukiza tena elewa kwenye jamii zetu ukimwi unaongezeka ila kitaifa wanapunguza idadi wanatupa takwimu za uongo tutakuja kushituka wakati tanzania nzima tunaukimwi na watatutawala mkizingua hawaleti ARV kuna haja ya kufanya sensa ya kupima HIV na atakayegundulika kupewa alama isiyofutika kama ambavyo virus havitamtoka ili kukomesha hii HIV, bila ya hivi ukimwi hautapungua wala kuisha,,, yani wewe naona akili zako zipo kama mama
 
Sio mzungu, mwarabu au race yoyote wa kukupa kitu kwa huruma tuu
Hakunaga free lunch
Take care!!
Actually mwambie hata mtoto wako, mwanafunzi, muumini na wahudumu kuwa hakunaga Cha bure from anybody, be care.
 
Hawa jamaa tunawachukia bure lakini wametusaidia sn, technlojia imeanzia kwao na kila kitu ni wao. Madawa karibu yote hospital yameandikwa USA Aid n.k
Mpinzani ukimpa nchi hii, ushauri wa kwanza atakaopokea kutoka kwa mzungu ni wapunguze ukubwa wa jeshi kama wanataka wapewe msaada.
 
Back
Top Bottom