Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli unashida mahali , hivi umesoma historia ya upatikanaji wa ukimwi eh! Ulijua wangapi wamekufa kila kitu kibaya wazungu wameleta hadi utumwa wao , uharibifu wa africa ,asia wao , hakuna mahali ambapo hawajaaribu mpaka afya zetu USAID isingekuwepo , wazungu ni wachawi balaa humuwezi mzungu kwa sekta yeyote .bila wazungu HIV ingemaliza watu, wazungu wana mambo mengi sn mazuri kuliko mabaya yao, Waraabu, wahindi na wachina ni takataka kabisa
Wataenda honeymoon bila ndoa soonUkraine wanapewa bure na Marekani $200 billion bure bure bure
Wewe nae,mwarabu ni miongoni mwa mataifa yaliyochukua watumwa weusi wengi sana,why hawapo uarabuni kama walivyo ulaya na marekani,waliwaua woote,inamaana hujiulizi why ni ngumu sana kumkuta mbongo kaoa mwarabu ila ni rahisi kukuta mzungu kaolewa na mmasai,ubaguzi huanzia kwenye mahusianoKweli unashida mahali , hivi umesoma historia ya upatikanaji wa ukimwi eh! Ulijua wangapi wamekufa kila kitu kibaya wazungu wameleta hadi utumwa wao , uharibifu wa africa ,asia wao , hakuna mahali ambapo hawajaaribu mpaka afya zetu USAID isingekuwepo , wazungu ni wachawi balaa humuwezi mzungu kwa sekta yeyote .
Waarabubwametukwa na wazungu kututeka namutufanya watumwaWewe nae,mwarabu ni miongoni mwa mataifa yaliyochukua watumwa weusi wengi sana,why hawapo uarabuni kama walivyo ulaya na marekani,waliwaua woote,inamaana hujiulizi why ni ngumu sana kumkuta mbongo kaoa mwarabu ila ni rahisi kukuta mzungu kaolewa na mmasai,ubaguzi huanzia kwenye mahusiano
Akili yako haina akili, kama kila jambo la wazungu ni baya, computer alileta mumeo? magari n.kKweli unashida mahali , hivi umesoma historia ya upatikanaji wa ukimwi eh! Ulijua wangapi wamekufa kila kitu kibaya wazungu wameleta hadi utumwa wao , uharibifu wa africa ,asia wao , hakuna mahali ambapo hawajaaribu mpaka afya zetu USAID isingekuwepo , wazungu ni wachawi balaa humuwezi mzungu kwa sekta yeyote .
Hiyo HIV yenyewe imeletwa na Wazungu kwa lengo lao maalumu!!bila wazungu HIV ingemaliza watu, wazungu wana mambo mengi sn mazuri kuliko mabaya yao, Waraabu, wahindi na wachina ni takataka kabisa
Ndio Ally Hassan MwinyiAkili yako haina akili, kama kila jambo la wazungu ni baya, computer alileta mumeo? magari n.k
SawaNdio Ally Hassan Mwinyi
Kwanini tusiikatae?Hiyo HIV yenyewe imeletwa na Wazungu kwa lengo lao maalumu!!
Hivi imeishia wapi tenaCovid19
Tukiikataa HIV lazima watupige na EBOLA, Mzungu hakosi mbinu akitaka Raw material kutoka Africa!!Kwanini tusiikatae?
SawaTukiikataa HIV lazima watupige na EBOLA, Mzungu hakosi mbinu akitaka Raw material kutoka Africa!!
sio bure lengo lao kumtumia ukrain kumpiga urusi na madhara ipate ukrain wao wabaki salamaUkraine wanapewa bure na Marekani $200 billion bure bure bure
Viongozi wetu wengi Afrika wanatumikia nchi za Magharibi. Sio chaguzi zote za kidemokrasia ni za kidemokrasia. Issue ya Niger ndio ushahidi kamili kuwa wakoloni hawakuondoka Afrika.Mbona Russian kampa zimbabwe helkopter,mbona sisi juzi hapa tuliisaidia ulaya( uturuki) usd milioni moja,