Mzungu akikupa cha bure kwa mkono wa kulia piga jicho mkono wake wa kushoto

Mzungu akikupa cha bure kwa mkono wa kulia piga jicho mkono wake wa kushoto

Siyo mzungu ndo kanuni ya dunia,mzazi anakuzaa ili uje umsaidie,iwe kifedha au kivingine,
 
Mbona Russian kampa zimbabwe helkopter,mbona sisi juzi hapa tuliisaidia ulaya( uturuki) usd milioni moja,
 
bila wazungu HIV ingemaliza watu, wazungu wana mambo mengi sn mazuri kuliko mabaya yao, Waraabu, wahindi na wachina ni takataka kabisa
Kweli unashida mahali , hivi umesoma historia ya upatikanaji wa ukimwi eh! Ulijua wangapi wamekufa kila kitu kibaya wazungu wameleta hadi utumwa wao , uharibifu wa africa ,asia wao , hakuna mahali ambapo hawajaaribu mpaka afya zetu USAID isingekuwepo , wazungu ni wachawi balaa humuwezi mzungu kwa sekta yeyote .
 
Kweli unashida mahali , hivi umesoma historia ya upatikanaji wa ukimwi eh! Ulijua wangapi wamekufa kila kitu kibaya wazungu wameleta hadi utumwa wao , uharibifu wa africa ,asia wao , hakuna mahali ambapo hawajaaribu mpaka afya zetu USAID isingekuwepo , wazungu ni wachawi balaa humuwezi mzungu kwa sekta yeyote .
Wewe nae,mwarabu ni miongoni mwa mataifa yaliyochukua watumwa weusi wengi sana,why hawapo uarabuni kama walivyo ulaya na marekani,waliwaua woote,inamaana hujiulizi why ni ngumu sana kumkuta mbongo kaoa mwarabu ila ni rahisi kukuta mzungu kaolewa na mmasai,ubaguzi huanzia kwenye mahusiano
 
Wewe nae,mwarabu ni miongoni mwa mataifa yaliyochukua watumwa weusi wengi sana,why hawapo uarabuni kama walivyo ulaya na marekani,waliwaua woote,inamaana hujiulizi why ni ngumu sana kumkuta mbongo kaoa mwarabu ila ni rahisi kukuta mzungu kaolewa na mmasai,ubaguzi huanzia kwenye mahusiano
Waarabubwametukwa na wazungu kututeka namutufanya watumwa
 
Kweli unashida mahali , hivi umesoma historia ya upatikanaji wa ukimwi eh! Ulijua wangapi wamekufa kila kitu kibaya wazungu wameleta hadi utumwa wao , uharibifu wa africa ,asia wao , hakuna mahali ambapo hawajaaribu mpaka afya zetu USAID isingekuwepo , wazungu ni wachawi balaa humuwezi mzungu kwa sekta yeyote .
Akili yako haina akili, kama kila jambo la wazungu ni baya, computer alileta mumeo? magari n.k
 
Mbona Russian kampa zimbabwe helkopter,mbona sisi juzi hapa tuliisaidia ulaya( uturuki) usd milioni moja,
Viongozi wetu wengi Afrika wanatumikia nchi za Magharibi. Sio chaguzi zote za kidemokrasia ni za kidemokrasia. Issue ya Niger ndio ushahidi kamili kuwa wakoloni hawakuondoka Afrika.
 
Back
Top Bottom