Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Some People survive very Long...walikuaga wanani chora...mambo ya ujana ila yeye mwenyewe aliniambia na aliniambia kabisa sikuelewa baada ya miaka Saba kupita siku Moja NDIO nikajua kumbe alikua ananiambia ukwel mchungu 🥶🥶Ukimwi usikie kwa mwenzako
SawaSome People survive very Long...walikuaga wanani chora...mambo ya ujana ila yeye mwenyewe aliniambia na aliniambia kabisa sikuelewa baada ya miaka Saba kupita siku Moja NDIO nikajua kumbe alikua ananiambia ukwel mchungu 🥶🥶
HIV/AIDS IS REAL
Mwarabu je?Tukumbushane kila siku mara kwa mara 24/7 kuwa wazungu hawana kitu chochote cha bure kwetu hata kimoja, kama ukiona wanakupa cha bure jiulize tena na tena na tena swali la kwanini wamenipa, kwanini sisi, wanataka nini kwako, wanataka nini kwetu kwaajili gani.
Kama ukiona deal lao ni zuri sana fikiria mara mbili kwanza kabla ya kupokea.
Waliileta ili wafanye Biashara !Wao ndio wameileta kwa hio wanalipa gharama
✍️
we jamaa wewe toka huko uliko haraka. Dawa wanazotumia wao wenyewe ni bora mara 70 kuliko dawa tunazozitumia sisi huku.Hawa jamaa tunawachukia bure lakini wametusaidia sn, technlojia imeanzia kwao na kila kitu ni wao. Madawa karibu yote hospital yameandikwa USA Aid n.k
Ni kweliTukumbushane kila siku mara kwa mara 24/7 kuwa wazungu hawana kitu chochote cha bure kwetu hata kimoja, kama ukiona wanakupa cha bure jiulize tena na tena na tena swali la kwanini wamenipa, kwanini sisi, wanataka nini kwako, wanataka nini kwetu kwaajili gani.
Kama ukiona deal lao ni zuri sana fikiria mara mbili kwanza kabla ya kupokea.
Wao ndio walioleta HIV.Na maradhi mengine mengi.bila wazungu HIV ingemaliza watu, wazungu wana mambo mengi sn mazuri kuliko mabaya yao, Waraabu, wahindi na wachina ni takataka kabisa
Waarabu wana pesa na maendeleo.Sasa kwanini mmeamua kukabidhi nchi kwa mwarabu awatawale upya?
Wewe unataka kula tu bila kuliwa hata kidogo??Tukumbushane kila siku mara kwa mara 24/7 kuwa wazungu hawana kitu chochote cha bure kwetu hata kimoja, kama ukiona wanakupa cha bure jiulize tena na tena na tena swali la kwanini wamenipa, kwanini sisi, wanataka nini kwako, wanataka nini kwetu kwaajili gani.
Kama ukiona deal lao ni zuri sana fikiria mara mbili kwanza kabla ya kupokea.
Waliileta lini? Waliletaje? Hakuna magonjwa yaliyoletwa na Watu weusi?Wao ndio wameileta kwa hio wanalipa gharama
[emoji3578]
Usisahau kua ndio hao hao wanawaleteeni vilainishibila wazungu HIV ingemaliza watu, wazungu wana mambo mengi sn mazuri kuliko mabaya yao, Waraabu, wahindi na wachina ni takataka kabisa
Kwanza ungekuta imeisha maana yupo aliyegunduaga dawa ila akafa na haikujulikana nn chanzobila wazungu HIV ingemaliza watu, wazungu wana mambo mengi sn mazuri kuliko mabaya yao, Waraabu, wahindi na wachina ni takataka kabisa
Hii ni silaha ya uchumi we mjinga hujui kwamba ARV nchi inalipa au kwa sabab unaonaga wameandika USAID unanzan ni bure hakuna cha bure, nataka ujue kitu kimoja ukisikia wanasema nchi imepata msaada hilo ni deni we mjinga,,,ki nchi deni tunatumia neno msaadabila wazungu HIV ingemaliza watu, wazungu wana mambo mengi sn mazuri kuliko mabaya yao, Waraabu, wahindi na wachina ni takataka kabisa
Nini chimbuko la HIV?bila wazungu HIV ingemaliza watu, wazungu wana mambo mengi sn mazuri kuliko mabaya yao, Waraabu, wahindi na wachina ni takataka kabisa
Mpinzani ukimpa nchi hii, ushauri wa kwanza atakaopokea kutoka kwa mzungu ni wapunguze ukubwa wa jeshi kama wanataka wapewe msaada.Hawa jamaa tunawachukia bure lakini wametusaidia sn, technlojia imeanzia kwao na kila kitu ni wao. Madawa karibu yote hospital yameandikwa USA Aid n.k
Wewe dada tuliaMpinzani ukimpa nchi hii, ushauri wa kwanza atakaopokea kutoka kwa mzungu ni wapunguze ukubwa wa jeshi kama wanataka wapewe msaada.