sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Si mara moja wala mara mbili nimekuwa nikiiona hii hali kwenye sehemu tofauti.
Unakuta mzungu akienda ofisi ya serikali anashughulikiwa ki V.I.P unakuta swala lake linahughulikiwa kwaumakini wa hali ya juu sana.
Akipita mtaani watu anaopishana nao wanampa sana salamu na hata wale wa mbali wanamsalimia. mzungu mambo, mzungu nipe tano, mzungu uko poa.
Kukiwa na foleni, unakuta mzungu anaweza kupishwa kwamba ana haraka na watu wakakubali kiroho safi, huwa wanatembea njiani na mzungu, n.k.
Mtu akiwa na rafiki wa kizungu inakuwa ni kama kacheo flani hivi kwamba anatembelewa na mzungu nyumbani kwake.
Mzungu akiendesha basi hata akikimbiza, abiria watalala fofofo, wanasema ni mtaalam wa magari.
Unakuta mzungu akienda ofisi ya serikali anashughulikiwa ki V.I.P unakuta swala lake linahughulikiwa kwaumakini wa hali ya juu sana.
Akipita mtaani watu anaopishana nao wanampa sana salamu na hata wale wa mbali wanamsalimia. mzungu mambo, mzungu nipe tano, mzungu uko poa.
Kukiwa na foleni, unakuta mzungu anaweza kupishwa kwamba ana haraka na watu wakakubali kiroho safi, huwa wanatembea njiani na mzungu, n.k.
Mtu akiwa na rafiki wa kizungu inakuwa ni kama kacheo flani hivi kwamba anatembelewa na mzungu nyumbani kwake.
Mzungu akiendesha basi hata akikimbiza, abiria watalala fofofo, wanasema ni mtaalam wa magari.