Mzungu ana nyota kali ya mvuto? Kwanini watanzania wengi huwanyenyekea na hujipendekeza kwao?

Mzungu ana nyota kali ya mvuto? Kwanini watanzania wengi huwanyenyekea na hujipendekeza kwao?

Mzungu akitoa nyimbo kufika billion YouTube views ni rahisi sana ukilinganisha na ngozi nyingine,,,,hata movie zao mauzo kufika billion huko ni rahisi kuliko movie za watu wengine,hawafanyi vitu kwa kukurupuka!
 
Ni mfumo wa serikali yao ndiyo umefanya iwe hivyo, angalia mzungu popote pale akiwa mistreated serikali yao inaingilia kati, ndiyo maana watu huogopa kuwatreat ovyo hakuna cha mvuto wala nini
 
Dunia nzima ndivyo ilivyo
Katika platforms zote za kutafuta marafiki mtandaoni dunia nzima search for westerners,
Huko Japan na uchina wadada ndoto zao ni kuzalishwa na wazungu.
Deep down lazma kuna sababu za kiroho kabisa ktk hili...
Mungu kuna kitu amewapa cha ziada ni sawa na waisrael na wahaya na watutsi kuna Mambo ya ziada MUNGU amewapa
Wahaya wamepewa maji
 
Back
Top Bottom