LAPSE RATE
Member
- Oct 18, 2015
- 79
- 98
- Thread starter
- #21
Nimeona anasema kwamba akitokea mwafrika akakataa mitego Yao lazima afe. Sasa viongozi gn hawaogopi kifo hapo😆Africa viongozi wetu ndio tatizo kubwa. Wao ndio wanaruhusu yote haya kwa maslahi yao binafsi. Sio kwamba hata sisi hatujui lengo la wazungu, tunajua vizuri hawataki Africa iendelee au kuelimika zaidi itakua ni tatizo kubwa.
Ila viongozi wetu wanawaendekeza tu