Mzungu arekodiwa akieleza jinsi wamejinga kuendelea kuididimiza Afrika

Mzungu arekodiwa akieleza jinsi wamejinga kuendelea kuididimiza Afrika

hahahaaaaa
Watu weusi ni mizigo mitupu. Kila siku kudeka utumwa mara mzungu. shenzi kabisa. mibabu yao iliuza wenzao kazi kuwalaumu waarabu na wazungu. mi ndio maana sitaki kuleta kiumbe cha kiafrika hapa duniani. nikifa basi uzao wangu umekomea hapo.
 
Kuna haja sana tukaanza kujifunza namna yakujitegemea. Kwanzia dawa tunazoagiza nje na mbegu/ mbolea ambazo hivi ndovinagusa maisha yetu Moja Kwa moja. Tusipoamka Sasa nidhahiri Africa hatuna future. Kama jinsi wao wanawafunza watoto wao na vijana Toka chini namna yakutunyonya, nasisi tuanze kujifunza namna yakujilinda.
 
Sasa wao hata wasingehangaika si mbona tunaangushana wenyewe wao wakae pembeni waangalie mchezo
 
mleta thread upimwe akili , jukumu la kukusanya kodi lipo chini ya viongozi wenu na pia wao ndo wana jukumu la kusimamia maliasili zenu inakuwaje swala la maendeleo yenu mutake wazungu ndo wawajibike ?
Hapo sasa suala la mm kupimwa akili limekujaje? Ina maana mm ndo mkusanya kodi? Kwani anyeongea ni kiongozi wetu au ni Europian
 
Back
Top Bottom