hahahaaaaawako sahihi. binya kabisa hiyo kiumbe.
Watu weusi ni mizigo mitupu. Kila siku kudeka utumwa mara mzungu. shenzi kabisa. mibabu yao iliuza wenzao kazi kuwalaumu waarabu na wazungu. mi ndio maana sitaki kuleta kiumbe cha kiafrika hapa duniani. nikifa basi uzao wangu umekomea hapo.hahahaaaaa
Hapo sasa suala la mm kupimwa akili limekujaje? Ina maana mm ndo mkusanya kodi? Kwani anyeongea ni kiongozi wetu au ni Europianmleta thread upimwe akili , jukumu la kukusanya kodi lipo chini ya viongozi wenu na pia wao ndo wana jukumu la kusimamia maliasili zenu inakuwaje swala la maendeleo yenu mutake wazungu ndo wawajibike ?
Sawa mkuu, haya kale chele na nyama.yote hayo kwasabab ya uvivu wenu kuendana na kasi ya dunia