Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Usikute alikuwa ans date human traffickers atakujs nyonywa macho shauri zake[emoji1787][emoji2]Acha dating na watu usiowajua, watu ambao asimilimia za kukufanyia unyama ni nyingi kuliko upendo wa kweli.
Hivi kweli mtu mnaweza pendana kindezi namna hiyo kupitia mitandao tu, bora ingekua kitambo tena kipindi hiki ambacho ulaghai ni mwingi.
Kua makini, kaa chingo huenda unatengenezwa. Hatokuja yeye ila atakutaka wewe uende.
Bora sisi hatuui, hatutoi figo, hatupeleki wanawake kwenye madanguro, hatuwabebeshi sembeKm wanaume wetu tu huku, yaani balaa ni lile lile tu bora uhai.
I ain't bitter mama mia.[emoji2]Don't be that bitter for your own good[emoji23]..Relax bro!
Kunywa maji mwanangu[emoji1787]Ila kitu nimegundua walaqhi' hakuna watu bitter na wanafque kama baadhi ya wabongo wenzetu, Mungu atusaidie tu hakika doh'..!![emoji119]
Anaweza pia kuwa human trafficker dada yake akaja uzwa kwa bei sawa na kiroba cha pumbaAnaweza actually kuwa Mnigeria akiwa pale Enugu... Kuwa mwangalifu. Hapo Enugu kuna timu ya mpira mashuhuri inaitwa Enugu Rangers.
Usikute alikuwa ans date human traffickers atakujs nyonywa macho shauri zake[emoji1787][emoji2]
Ninyi mnafanyaje?Bora sisi hatuui, hatutoi figo, hatupeleki wanawake kwenye madanguro, hatuwabebeshi sembe
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Bora sisi hatuui, hatutoi figo, hatupeleki wanawake kwenye madanguro, hatuwabebeshi sembe
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Ninyi mnafanyaje?
Tunawagonga na kuwaacha na utamu wenu mkiwa na afya njema mkahudumie kwingineNinyi mnafanyaje?
Mpenzi wangu kimbisa mi ndo yule mzungu umeme huku ulikatika ndo umerudi leo fanya uni pm[emoji276]🥲
Na kurekodi videoTunawagonga na kuwaacha na utamu wenu mkiwa na afya njema mkahudumie kwingine
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Anaweza pia kuwa human trafficker dada yake akaja uzwa kwa bei sawa na kiroba cha pumba
Whites are more serious on that,wao kwao hiyo ni biashara wanakuwa kikundi wapo room na laptop zao na ndiyo kazi yao, na sio waafrika tu wanawafanyia hivyo hata wao kwa wao piaMagunia mawili yalichomwa na mwanaume, kupigwa mpk kuuliwa kunafanywa na wanaume wa hapahapa kina jackie cliff kidogo waozee jela kwa kubebeshana sembe na waume zao..so wabaya na wema wapo ulimwengu mzima ni kumuomba Mungu tu awe mtu sahihi.
Wewe ndio masikini unapokea hela from strangers kama dirty money je!? sina uhakika kama una shughuli yeyote ya kukukwamua na uchumi wakoSanaaa jamani why are we this bitter? Hii kitu tukiiendekeza inaweza kutufanya tukawa maskini.
Yah ukihitaji lakini hatuwalazimishiNa kurekodi video
Aah wapi zingine mnarekodi pasipo sisi kujua
Sisi ndio wabongo na wabongo ndio sisi[emoji2]Sio kila kitu ni negativehata wabongo wauaji wapo vile vile
Hapana huwa mnatuambia nipige picha nikiwa nakatika nasi tunawafotoa, nyingine mnajipiga selfie [emoji1702] zikiwa zinawaingiaAah wapi zingine mnarekodi pasipo sisi kujua