Mzungu kakataa Mimba

Mzungu kakataa Mimba

SIjui huwa anatuchukuliaje watu na maisha yetu? 🤣🤣🤣
Maana mleta stori siku zote stori zake ni zile za high level of life. Alafu huwa zinamtesa sana na sijui kwann huwa habadiriki.

Story zetu zinaeleweka kubeti, simu yangu infinix inapata sana joto, nimeibiwa pochi kwenye daladala na mwendokasi unachelewa sana kuja kituoni 😂😂😂
Usilazimishe tufanane maisha kijana
 
Kuna mdada mmoja ngeli ilikuwa inampinga chenga ila anajifanya mjuaji na dharau hatari.

wahuni tukawa tunamchora tu kwenye side mirror, sasa Kuna siku akakutana na mzungu napita zangu nashangaa binti ananiita eti nimsaidie kuongea na mzungu yeye hamuelew.

Mimi nikamwambia Ili mambo yasiwe mengi wewe usiongee naye maneno mengi sema tu " One Dollar"

Basi Kila mzungu akiongea demu anajibu one dollar, mzungu akamshika mkono akaingia naye room demu akapewa 1 dollar yake anaenda kubadilisha anashangaa anapewa Tzs 2500/= basi mpaka Leo tunamuita 1 dollar na hana hamu Tena na wazungu.
Wengi wanaona kila mzungu anayo pesa .
 
Wanawake wengi wa kiafrica wana ubinafsi. Kubeba mimba bila kumshirikisha mwenzio sio mchongo. Wengine hawajajiandaa kuwa kina baba au kuongeza watoto so dada zetu hili mlijue
 
Ukajibebesha mimba chap ukajua umeula kwa mzungu, hata wazungu wamatumbi (Kataa ndoa) wapo 😹😹🤣🤣
 
Mjungu...........hapo ndio ujue jamaa alikuwa for fun wakati wewe umepania...........unafikiri kira visa inatoa yai mengine kichina............masikini kaichapa weweeeee na hivi alijua kuwa mmekutana tagged ..........not seriously dating site............pole yako mwaego.........lakini si ushapata ki half cast chako kilee kitakusaidia baadaye
 
Hi guys,

Nahitaji advice , ndugu yangu met a guy from a dating site , ni mzungu ( sitaki kutaja country) and he is aged enough , things were going well na mwanaume alikua anaonesha upendo Ana care na Ana take care of her expenses ( spoiling her) .

Sasa the guy akataka ndugu yangu amvisit, so aka book flight for her and ndugu yangu went and they met and they were both happy . She stayed kwa mwezi Mzima ( playing housewife) .

Alaf uyo mzungu Ana one child ni a teenager na ana claim kuwa alisha divorce na mke wake .

So ndugu yangu akarudi Tanzania and unfortunately akaja kufind out kuwa she is pregnant, Sasa shida kamawambia uyo mzungu kuhusu iyo mimba, Ila the guy anaikataa iyo mimba , anasema sio mtoto wake, can you imagine? Na ameacha kutuma money for expenses.

Ndugu yangu yupo depressed sana mpaka anafikiria atoe iyo mimba ila nimemshauri asifanye ivyo but haelewi . Alaf kingine ndugu yangu hana kazi ambayo itamsaidia kumtunza uyo unborn child.
Tamaa za wazungu; hakuwaona watanzania wenzake?
 
"sio mimbaaa mamaa, unaikosea jina lake. inaitwa MIMMBAAAAA"
 
Huyu ni wewe! Ushauri wangu Lea mimba zaa pambana na maisha! angalau unabakiwa na ukumbusho wa kudangia wazungu
 
Hi guys,

Nahitaji advice , ndugu yangu met a guy from a dating site , ni mzungu ( sitaki kutaja country) and he is aged enough , things were going well na mwanaume alikua anaonesha upendo Ana care na Ana take care of her expenses ( spoiling her) .

Sasa the guy akataka ndugu yangu amvisit, so aka book flight for her and ndugu yangu went and they met and they were both happy . She stayed kwa mwezi Mzima ( playing housewife) .

Alaf uyo mzungu Ana one child ni a teenager na ana claim kuwa alisha divorce na mke wake .

So ndugu yangu akarudi Tanzania and unfortunately akaja kufind out kuwa she is pregnant, Sasa shida kamawambia uyo mzungu kuhusu iyo mimba, Ila the guy anaikataa iyo mimba , anasema sio mtoto wake, can you imagine? Na ameacha kutuma money for expenses.

Ndugu yangu yupo depressed sana mpaka anafikiria atoe iyo mimba ila nimemshauri asifanye ivyo but haelewi . Alaf kingine ndugu yangu hana kazi ambayo itamsaidia kumtunza uyo unborn child.
Unfortunately 😕
 
Hahaha kuna jamaa yangu ana tutoto tuwili tushombe twa kufikia twa kizungu!..mzungu alipiga mashine akalala mbele akamuacha single maza na tutoto
 
Back
Top Bottom