Ana moyo sana anaona sio za kwake jamaa sijui alimpa zawadi nini?eeh bana,kuna waislam wameiva aisee.
yule bwana alitangaza ameokota kibegi kina mzigo wa $ ambao ukibadilishwa kama wa 150ml,halafu akatangaza vigezo,kwamba ukija useme kibegi kilikuwa na nini na nini zaidi ya hela zilizokuwepo,ni cha rangi gani,na pia kilisahaulika wapi[emoji1][emoji1]
jamaa alipatikana kama wiki baadae hivi.[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa sababu ni mzungu aliyeangusha moja kwa moja umewaza zina madini.[emoji1787]
Shuka chini, nilizifuta pale juukasen9e ani hizo pete sisi tunazo?
weka picha
Kweli kabisaMbona kama Ni white gold ambayo imenakshiwa na diamonds???Mawazo yangu ni kwamba zingekuwa ni Pete ambazo hazina thamani angezivaa,wala asingezivua aziweke kwenye kipochi
Ok wakishasema wanatafuta pakwenda kuuza, inakuwaje baada ya hapoHii mbinu umeibadilisha kidogo. Wenzio huwa wanasema wazungu/watalii wamepata ajali so wameokota pete wanatafuta pa kwenda uza
Ni kireno au ki italianoHivyo ni vitabu vya sheria jamaa yangu na kila mtu anapaswa kujua hayo bila kujali kasoma sheria au hajasoma, ukiwa na uelewa wa kitu fulani waelimishe wenzako wasije kuingia matatizoni kwa kutukujua maana kwenye sheria neno ' nilikuwa sijui ' sio kinga '' (IGNORANTIA JURIS NON EXCUSANT)
Waislamu kivipieeh bana,kuna waislam wameiva aisee.
yule bwana alitangaza ameokota kibegi kina mzigo wa $ ambao ukibadilishwa kama wa 150ml,halafu akatangaza vigezo,kwamba ukija useme kibegi kilikuwa na nini na nini zaidi ya hela zilizokuwepo,ni cha rangi gani,na pia kilisahaulika wapi[emoji1][emoji1]
jamaa alipatikana kama wiki baadae hivi.[emoji23]
Ni kireno au ki italiano
Unaniacha njia panga Tena yani niende google translate
Jasiri hufa mara moja na ndio kifo chake cha kweli, ila muoga hufa mara nyingi kabla kifo chake cha kweli hakija mfika. Kila kitu hupangwa na Mungu kijana hajaiba ameokota na aangalie thamani ya hivyo vitu ikiwa viko ndani ya uwezo wake kuvimiliki basi anaweza kuvirudisha lakini kama hana uwezo wa kuvimiliki kwa nguvu zake basi asirudi nyuma.Maisha bado yapo kumbuka hasi na chanya tunazitengeneza wenyewe ...Karma is bitch...!!!!
Umeshasahau kuwa wahujumu uchumi wanafutiwa kesi kwa kurudisha kiasi kidogo ya kile walichoiba!?Mmh hizo shortcuts siyo bana! Wala Siye mmiliki azirudishe alipookota. Ova
Kuvuliwa nnrudisha mkuu sku hizi mnavuliwa kirais