Mzungu kasahau kipochi chenye pete. Hivi zinaweza kuwa na thamani gani?

Mzungu kasahau kipochi chenye pete. Hivi zinaweza kuwa na thamani gani?

eeh bana,kuna waislam wameiva aisee.

yule bwana alitangaza ameokota kibegi kina mzigo wa $ ambao ukibadilishwa kama wa 150ml,halafu akatangaza vigezo,kwamba ukija useme kibegi kilikuwa na nini na nini zaidi ya hela zilizokuwepo,ni cha rangi gani,na pia kilisahaulika wapi[emoji1][emoji1]

jamaa alipatikana kama wiki baadae hivi.[emoji23]
Ana moyo sana anaona sio za kwake jamaa sijui alimpa zawadi nini?
 
Mbona kama Ni white gold ambayo imenakshiwa na diamonds???Mawazo yangu ni kwamba zingekuwa ni Pete ambazo hazina thamani angezivaa,wala asingezivua aziweke kwenye kipochi
Kweli kabisa
 
Hii mbinu umeibadilisha kidogo. Wenzio huwa wanasema wazungu/watalii wamepata ajali so wameokota pete wanatafuta pa kwenda uza
 
Hii mbinu umeibadilisha kidogo. Wenzio huwa wanasema wazungu/watalii wamepata ajali so wameokota pete wanatafuta pa kwenda uza
Ok wakishasema wanatafuta pakwenda kuuza, inakuwaje baada ya hapo
 
Acha wizi kijana, fanya mchakato wa kurudisha amana za watu
 
Hivyo ni vitabu vya sheria jamaa yangu na kila mtu anapaswa kujua hayo bila kujali kasoma sheria au hajasoma, ukiwa na uelewa wa kitu fulani waelimishe wenzako wasije kuingia matatizoni kwa kutukujua maana kwenye sheria neno ' nilikuwa sijui ' sio kinga '' (IGNORANTIA JURIS NON EXCUSANT)
Ni kireno au ki italiano
 
eeh bana,kuna waislam wameiva aisee.

yule bwana alitangaza ameokota kibegi kina mzigo wa $ ambao ukibadilishwa kama wa 150ml,halafu akatangaza vigezo,kwamba ukija useme kibegi kilikuwa na nini na nini zaidi ya hela zilizokuwepo,ni cha rangi gani,na pia kilisahaulika wapi[emoji1][emoji1]

jamaa alipatikana kama wiki baadae hivi.[emoji23]
Waislamu kivipi
 
Maisha bado yapo kumbuka hasi na chanya tunazitengeneza wenyewe ...Karma is bitch...!!!!
Jasiri hufa mara moja na ndio kifo chake cha kweli, ila muoga hufa mara nyingi kabla kifo chake cha kweli hakija mfika. Kila kitu hupangwa na Mungu kijana hajaiba ameokota na aangalie thamani ya hivyo vitu ikiwa viko ndani ya uwezo wake kuvimiliki basi anaweza kuvirudisha lakini kama hana uwezo wa kuvimiliki kwa nguvu zake basi asirudi nyuma.
 
Back
Top Bottom