Bandiwe
JF-Expert Member
- Oct 19, 2013
- 9,530
- 3,556
....huku mbowe yuko ubaoni, zee la kunyata linatafakari mtoto wake na barmaid.Dar es salaam masika ni shida. Kiangazi ni shida. Kiongozi wao ndio kwanza anawasikiliza wanawake waliotelekezwa.
Na vile msukuma hana habari na miundombinu. Ye anapita V8 yake yenye kibendera utamwambia nini.?