Panga viragoMimi nitahamia BURUNDI!
Unakula MatapishiRede + mdako bila kusahau makidamakida
Huu ni muda wa kufanya uzalishaji. Mnapataje muda wa kujadili mipira?
Hao SIO wengine bali ni YangaHao sasa ndo wale wanaitwaga VIGOGO WA SOKA BARANI AFRIKA
Mwasibu umekuja kutoka ulipojificha? πHuu ni muda wa kufanya uzalishaji. Mnapataje muda wa kujadili mipira?
Mpaka waeleweTuendelee na uzi? Au tuuache?
Tumalize kwa kusemaLigi ya wanaume tena wababe,sio kule kwa wacheza rede.
Naona mmeenda kucheza rede mwaka huu, na ole wenu msifike fainali ya kuonesha chupi aka redeLigi ya wanaume tena wababe,sio kule kwa wacheza rede.
Wale wa luzaz kapu tuonane!-Kwenye Top 10 ya vilabu bora Afrika, Ni timu moja tu (Pyramids) ndio ipo Shirikisho (CAFCC) huku Petro Atletico de Luanda wakiwa hawashiriki michuano ya CAF baada ya kutolewa hatua ya makundi.
Timu zingine 8 zote zipo Kombe la Mabingwa (CAFCL).
[emoji1093]Al Ahly - πππππ
[emoji1173]Wydad AC - πππππ
[emoji1249]Esperance - πππππ
[emoji1173]Raja AC - πππππ
[emoji1221]Mamelodi Sundowns - πππππ
[emoji1026]CR Belouizdad - πππππ
[emoji1241]Simba - πππππ
[emoji1029]Petro Atletico [emoji777]
[emoji1026]Js Kabyle - πππππ
[emoji1093]Pyramids - βπΈπ½ββ
Katika timu 8 zilizoingia hatua ya robo fainali ya CAFCL ni timu mbili tu ndizo zinatoka timu zenye watu wengi weusi
Mamelodi Sundowns - South Africa
Simba Sc - Tanzania.
Timu zingine zote 6 zinatoka Kaskazini (Waarabu)
Al Ahly - Misri
Wydad AC - Morocco
Esperance - Tunisia
Raja AC - Morocco
CR Belouizdad - Algeria
Js Kabyle - Algeria
Ligi ya wanaume tena wababe,sio kule kwa wacheza rede.
Rede mchanganyiko na mdako
Naona muda unakimbia kwa kasi ya ajabu kweli kweli!! πHapa watapita kimya kimya tu utafikiri hawapo kumbe wamejaa tele!
Ndio Simba SC yupo sasa hivi hukoRede mchanganyiko na mdako
Hawa rage alikuwa sahihi kuwapa lile jinaNaona muda unakimbia kwa kasi ya ajabu kweli kweli!! π
Ambayo Simba SC sasa hivi yeye anashiriki ππππiyo ndo michezo ya mabinti.
Hizi takwimu ndio zinawafanya nyinyi mwakani mcheze shirikisho-Kwenye Top 10 ya vilabu bora Afrika, Ni timu moja tu (Pyramids) ndio ipo Shirikisho (CAFCC) huku Petro Atletico de Luanda wakiwa hawashiriki michuano ya CAF baada ya kutolewa hatua ya makundi.
Timu zingine 8 zote zipo Kombe la Mabingwa (CAFCL).
[emoji1093]Al Ahly - πππππ
[emoji1173]Wydad AC - πππππ
[emoji1249]Esperance - πππππ
[emoji1173]Raja AC - πππππ
[emoji1221]Mamelodi Sundowns - πππππ
[emoji1026]CR Belouizdad - πππππ
[emoji1241]Simba - πππππ
[emoji1029]Petro Atletico [emoji777]
[emoji1026]Js Kabyle - πππππ
[emoji1093]Pyramids - βπΈπ½ββ
Katika timu 8 zilizoingia hatua ya robo fainali ya CAFCL ni timu mbili tu ndizo zinatoka timu zenye watu wengi weusi
Mamelodi Sundowns - South Africa
Simba Sc - Tanzania.
Timu zingine zote 6 zinatoka Kaskazini (Waarabu)
Al Ahly - Misri
Wydad AC - Morocco
Esperance - Tunisia
Raja AC - Morocco
CR Belouizdad - Algeria
Js Kabyle - Algeria
Naunga mkono hojaVijana wakacheze rede sasa πππ
Ni kweli ni kombe la wajanekombe la wajane
Mnataka tuwepo ili iweje