Na hizi ndio NDOA ZENU: Mwamba kashaangukiwa na chuma kizito

Na hizi ndio NDOA ZENU: Mwamba kashaangukiwa na chuma kizito

Mpango wa shetani n kuhakikisha dunian hakuna ndoa. Ambako kutapelekea watoto weng kuzaliwa pasipo ndoa kitu ambacho kitapekelea uzinifu mwisho tunaingia motoni.
Wengne n mawakala wa shetani.
Kuiahi peke yako n vizuri ila usiingie dhambin hasa ya kuzini ama kutaka kupata mtoto ilihali huna mke.

Ushauri mwingne tuupime tuuangalie katika pande zote yan za kiroho na kimwili
 
Ndoa tamu mkuu,
Usipotoshe wanaume wenzio[emoji4]
Wengne n mawakala wa shetani. Mtu anaweza kuwa wakala wa shetan kwa kujijua ama pasipojijua.
Mungu aliposema zaeni mkaijaze dunia sidhan na sijawah fikiria kuwa alikuwa mjinga.
Mtu ka hujampata mtu sahihi ngojea mpaka mambo yawe sawaaa then ndoa itakuwa tamu.
Tusifundiahaje ujinga jamaniiii

Mtoa post kakosea sana katka hili sema kwakuwa anafanya kaz ya shetan. Kashetan katamwambia uko sawaa
 
Jamaa waliopata ajira juzi Kwa kweli wanna furaha Dana nimeitwa juzi kusherekea wanangu watatu tumefurai japo ni joblesss

Anyway ndoa bado ni mtihani Kwa kweli ila muhimu sana japo sio lazima
Na mkono wa ibilisi u katika ndoa katka uzao sasaaaa hapo ndipo jarbu kuu lilipo.
 
Mimi Mtabiri nasema

Ndoa ya jamaa ilivunjika toka siku ya kwanza anamuoa huyo Binti mwalimu .Kilichokuja kutokea huku mwishoni ni matokeo tuu brother believe me.
Waliishi miaka mi3 demu akiwa so faithfully ila baada ya ndoa pembe zikatokeza.
Na sasa pembe Zina muumiza baharia.

#YNWA
 
Nikweli ila kuzaa pasipo ndoa hapo n uzinifu tuu. Watoto wa nje ya ndoa ndio tatizo la kesho. Watoto wa upotevuni
Wengi tu wamezaliwa nje ya ndoa na ni watu wenye mafanikio lukuki.
Na wengi wao ndio hufanikiwa sanaa kuliko waliozaliwa kwenye ndoa.

Fanya hii research.
Chunguzaa wa baba wenye watoto nje ya ndoa, utakuta waliozaliwa nje ya ndoa ndio huwa Bora sanaa kwenye maisha.


#YNWA
 
Wengi tu wamezaliwa nje ya ndoa na ni watu wenye mafanikio lukuki.
Na wengi wao ndio hufanikiwa sanaa kuliko waliozaliwa kwenye ndoa.

Fanya hii research.
Chunguzaa wa baba wenye watoto nje ya ndoa, utakuta waliozaliwa nje ya ndoa ndio huwa Bora sanaa kwenye maisha.


#YNWA
So tuhalalishe watu wazinii?
 
Sikia hii habari

INTRO
Nyie mabaharia kwani u-single unawashinda nini? Hivi mnajua kuoa ni kutafuta matatizo. Kuna baharia mwenzetu yashamkuta huku.
Huyo mwanamke ni mwalimu na kwa madai yake "Walimu ndio huwa wake Bora"

Walimu wa kike hapa ndio hufanya wavimbe kichwa. Mbona Wengine mama zetu sio walimu na ni wanawake Bora katika ndoa zao na malezi mazuri? Kwanza mimi siamini eti walimu ni wife material. Wengi wao wanalazimisha ndoa na wakiingia katika ndoa wanageuka incubator tu ushahidi tunao. Sina ugomvi nao lakini wife material sio Lazima awe mwalimu
 
Sikia hii habari

INTRO
Nyie mabaharia kwani u-single unawashinda nini? Hivi mnajua kuoa ni kutafuta matatizo. Kuna baharia mwenzetu yashamkuta huku.

FLASH BACK
Nilianza kumjua 2019 baada ya kuhamia pale ofisini. Alikuja akiwa na demu (mchumba) kwa kipindi hicho walikua na miaka mi3 wapo pamoja.

2020 akaleta kadi za harusi/michango anataka kumuoa. Kwenye mahojiano yetu as "Men talks" alisema kashamchunguza vya kutosha hivyo anataka kumuoa.

Huyo mwanamke ni mwalimu na kwa madai yake "Walimu ndio huwa wake Bora"

Michango tukatoa na harusi ikafanyika, ila mi nilimuonea huruma sanaa mwamba kwa kuamua kuoa.

SCENARIO
1. Mwaka jana kwenye mwezi wa 10 nilianza kuhisi utofauti wa yule demu/mwalimu/shemeji.

Kuna siku nilikua nakula zangu mingo nikamkuta kavaa blauzi ya net na suruali ya mchaniko mapajani. Kwa hiyo brauzi ya net aliyoivaa ilikua unaona kila kitu kasoro vile vilivyofunikwa na sidiria tu.

Sasa Kwa ninavyomjua mwamba ni mtu strictly sanaa, nikawaza "Mwamba kamruhusu mke avae nguo hizi kweli halafu atembee nazo mjini!"

Zile nguo za ajabu ziliendelea siku baada ya siku, raia tukawa tuna shangaa na kujiuliza maswali yasiyo na majibu!

Kwa kuwa hayanihusu "Nilipiga buyuuu"

2. Mwaka huu mwamba alianza kubadilika kimisemo.

Katikati ya maongezi yetu alikua anatoa kauli nzito na ngumu hasaaa..

Alikua akitoa kauli kama:

i. Ndoa muda mwengine ni upuuzi tu
ii. Wengine tupo kwenye ndoa sababu ya watoto tu.
iii. Mlioa nawashauri msioe
iv. Wanawake wapuuzi sanaa.

Mnaweza kuwa kwenye utani wanaume mnaongelea mademu ye akatoa kauli ngumu hasaaa.

THE TRUTH
Siku hizi braza anapost sanaa majuto ya ndoa kwenye WhatsApp status yake.
Hii inajidhihirisha kuwa kwenye ndoa yake "Kuna Majanga"

Status zake za WhatsApp ni manung'uniko na majuto ya ndoa. Kila siku lazima atoe dongo.

Na jana nilivyoona zimezidi ili bidi nimfate inbox na alichonijibu "Braza mi sina ndoa Tena!"

UBISHI
Huyu mwamba aliishi na demu miaka mi3.
Alihisi miaka mi3 inatosha kumjua mwalimu na kumuoa.

Mwalimu alivyoolewa ndani ya miaka mi2 akaamua kuonyesha mapembe. Na sasa mapembe yanamuumiza baharia mwenzangu.

Huyu ni mmoja wa wanaume wabishi ambao waligoma kuelewa ile slogan ya "USIOE" ye akahisi sisi ambao ambao hatujaoa ni mapimbii na sasa yamemkuta.

Na asichokujua hili limeanza kumuumiza mpaka kazini, maana ofisini hakai, na akikaa hakuna anachofanya. Dah kwakuwa wanaume huwa tunabebana then huwa tunafanya mpaka Kazi zake!

Mkiambiwa msioe muwe mnaelewa.

FINALIZING
Anyway tuendelee kutafuta hela.
If you think money does not bring happiness, nenda kawaulize waliopata ajira za TRA juzi hapo!

Money brings everything in life!

#YNWA
Kuoa ni njema kama utapata mwanamke, mwema mwenye busara upendo na uvimilivu..... Kuolewa ni kuzuri kama ukipata mwanaume mwenye upendo, utimamu na mwenye kuijua thamani ya mwanamke......Kuoa au Kuolewa hua ni bahati njema ikidondokea kwa watu wema..... Lkn ikidondokea kwa watu majeuri hakuna ndoa hapo..... Kweny swala la ndoa kuvunjika na kuvurugika... Huenda huyo rafik ako pia alikua chanzo cha ndoa yake kuharibika...... Haya mambo ni kuomba tu Mungu.... Tusiwashauri vijana wenzetu wasiingie kweny ndoa tuwahimize upendo, uvimilivu na hekima.... Na tuwape mifano ya ndoa ambazo zimedumu

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Sikia hii habari

INTRO
Nyie mabaharia kwani u-single unawashinda nini? Hivi mnajua kuoa ni kutafuta matatizo. Kuna baharia mwenzetu yashamkuta huku.

FLASH BACK
Nilianza kumjua 2019 baada ya kuhamia pale ofisini. Alikuja akiwa na demu (mchumba) kwa kipindi hicho walikua na miaka mi3 wapo pamoja.

2020 akaleta kadi za harusi/michango anataka kumuoa. Kwenye mahojiano yetu as "Men talks" alisema kashamchunguza vya kutosha hivyo anataka kumuoa.

Huyo mwanamke ni mwalimu na kwa madai yake "Walimu ndio huwa wake Bora"

Michango tukatoa na harusi ikafanyika, ila mi nilimuonea huruma sanaa mwamba kwa kuamua kuoa.

SCENARIO
1. Mwaka jana kwenye mwezi wa 10 nilianza kuhisi utofauti wa yule demu/mwalimu/shemeji.

Kuna siku nilikua nakula zangu mingo nikamkuta kavaa blauzi ya net na suruali ya mchaniko mapajani. Kwa hiyo brauzi ya net aliyoivaa ilikua unaona kila kitu kasoro vile vilivyofunikwa na sidiria tu.

Sasa Kwa ninavyomjua mwamba ni mtu strictly sanaa, nikawaza "Mwamba kamruhusu mke avae nguo hizi kweli halafu atembee nazo mjini!"

Zile nguo za ajabu ziliendelea siku baada ya siku, raia tukawa tuna shangaa na kujiuliza maswali yasiyo na majibu!

Kwa kuwa hayanihusu "Nilipiga buyuuu"

2. Mwaka huu mwamba alianza kubadilika kimisemo.

Katikati ya maongezi yetu alikua anatoa kauli nzito na ngumu hasaaa..

Alikua akitoa kauli kama:

i. Ndoa muda mwengine ni upuuzi tu
ii. Wengine tupo kwenye ndoa sababu ya watoto tu.
iii. Mlioa nawashauri msioe
iv. Wanawake wapuuzi sanaa.

Mnaweza kuwa kwenye utani wanaume mnaongelea mademu ye akatoa kauli ngumu hasaaa.

THE TRUTH
Siku hizi braza anapost sanaa majuto ya ndoa kwenye WhatsApp status yake.
Hii inajidhihirisha kuwa kwenye ndoa yake "Kuna Majanga"

Status zake za WhatsApp ni manung'uniko na majuto ya ndoa. Kila siku lazima atoe dongo.

Na jana nilivyoona zimezidi ili bidi nimfate inbox na alichonijibu "Braza mi sina ndoa Tena!"

UBISHI
Huyu mwamba aliishi na demu miaka mi3.
Alihisi miaka mi3 inatosha kumjua mwalimu na kumuoa.

Mwalimu alivyoolewa ndani ya miaka mi2 akaamua kuonyesha mapembe. Na sasa mapembe yanamuumiza baharia mwenzangu.

Huyu ni mmoja wa wanaume wabishi ambao waligoma kuelewa ile slogan ya "USIOE" ye akahisi sisi ambao ambao hatujaoa ni mapimbii na sasa yamemkuta.

Na asichokujua hili limeanza kumuumiza mpaka kazini, maana ofisini hakai, na akikaa hakuna anachofanya. Dah kwakuwa wanaume huwa tunabebana then huwa tunafanya mpaka Kazi zake!

Mkiambiwa msioe muwe mnaelewa.

FINALIZING
Anyway tuendelee kutafuta hela.
If you think money does not bring happiness, nenda kawaulize waliopata ajira za TRA juzi hapo!

Money brings everything in life!

#YNWA
Angalia asijekujinyonga
 
Back
Top Bottom