Na hizi ndio NDOA ZENU: Mwamba kashaangukiwa na chuma kizito

Was waiting for this comment...
 
Liverpool, you will never walk alone.
 
Hata wakitumia watoto kama kinga, lazima watoke tu.
 
Sio uchoyo, sasa hela si ni zangu? Akale za baba yake.
 
Jamaa waliopata ajira juzi Kwa kweli wanna furaha Dana nimeitwa juzi kusherekea wanangu watatu tumefurai japo ni joblesss

Anyway ndoa bado ni mtihani Kwa kweli ila muhimu sana japo sio lazima
Ulihitimu lini chuo? Kozi ipi?
 
Ndoa ni very outdated institution. Asilimia kubwa ya watu wengi huingia huko kwa ssb ya social conformity.
 
Kama rafiki mwema....sikuona haja ya kutoa uzi wa rafiki yako kwa namna ya kumnanga......
Sina urafiki nae, ila ni jamaa yangu tu.
Sio kila mfanyakazi mwenzako ni rafiki yako, huwa ni jamaa tu.

Nimetoa Uzi ili wananchi wa JF wajifunze.

ndoa haina formula......
Inayo formula.
Na formula pekee ni USIOE.
ndio maana unaambiwa ukiona mwenzako ananyolewa zako tia maji......dunia duara,
Sina haja ya kutia maji ikiwa sina mpango wa kuingia saloon.
yaliyomkuta yanaweza kukukuta wewe.....
Hayawezi kwasababu sina mpango wa kuoa.
na makubwa hata zaid yaliyomkuta yeye.....tuwe na huruma kwa wenzetu wanapopitia magumu
Mkiambiwa msioe muwe mnaelewa.

#YNWA
 
Mkuu wewe marafiki zako ni wa hovyo hovyo tu.... Sijui unawatoa wapi....
Mimi naona vijana wanaoa huku wanasaidiana wanapendana, wanafanikiwa kabisa......
Jichuchunguze mkuu....
 
Mkuu wewe marafiki zako ni wa hovyo hovyo tu.... Sijui unawatoa wapi....
Mimi naona vijana wanaoa huku wanasaidiana wanapendana, wanafanikiwa kabisa......
Jichuchunguze mkuu....
Soma tena...
Alihamia kazini then nimemjulia kazini.
Si rafiki yangu kiasi hicho NIMUITE JAMAA.
Tukiwa kazini hatuna marafiki ni majamaa tu.

#YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…