Na hizi ndio NDOA ZENU: Mwamba kashaangukiwa na chuma kizito

Kama wew hujisikii oa waache walioa waishi maisha yao kwanza rafiki yako unamuanikaje hapa

Pia hata iyo yako ya uzeeni unaweza kupata majnaga vilevile muhimu kustiriana tu ndo maana nyumba zikajengwa na chumba Cha wanandoa kikawa na upekee
 
Na sisi ambao ndoa zetu ni tamu tusemeje?jamani ndoa tamuuu
 
Acha kuwadanganya wenzako kama wewe na huyu jembe wako mmekutana na malaya sio wote watakutana na malaya kama nyie .

Ni hivi nimeona ndoa za kawaida tu watuwanapanga chumba kimoja na vyumba double na wanaishi poa tu na wake zao .

Jingine hawa watu wanafuraha na wanajaliana sana .
Ngumi hakuna kisa kila mtu anamwelewa mwingine.

Ndoa is the beutiful thing my sister ameolewa na anafurahia sana familia yake.
Kama umeoa kahaba pole, kama umeoa mwanamke hajielewi pole, ila ukihitaji kuolewa / kuoa mshirikishe Mungu ndio mambo yote
Unaoa tu umewahi piga magoti nakumuomba Mungu akupe hitaji la moyo wako.
Hapana. Unaoa tu halafu yakikukuta eti kamuonyesha makucha hapana hukumuomba Mungu akupe ishara huyu ni wako Mungu wala akucheleweshi .
Anakupa hitaji la moyo wako.
 
Asiyetaka kuoa anataka kuolewa yeye.
 
Asiyetaka kuoa anataka kuolewa yeye.
Kuoa sio lazima.
Ni wengi sanaa duniani
1. Walioa wakaacha ndoa na kuishi single
2. Hawakuona sababu ya kuoa na kuamua kutokuoa.

All in all IS THE LIFE CHOICE.

#YNWA
 
Zakuambiwa changanya na zakwako. Tamaa pasipo kuchambua hasa serikali ya kichwani inamapungufu.
 
Kama wew hujisikii oa waache walioa waishi maisha yao kwanza rafiki yako unamuanikaje hapa

Pia hata iyo yako ya uzeeni unaweza kupata majnaga vilevile muhimu kustiriana tu ndo maana nyumba zikajengwa na chumba Cha wanandoa kikawa na upekee
We mwalimu wa moja wapo ya Wilaya ndani ya Mkoa wa Songwe?

#YNWA
 
Aaah nyie wapinga ndoa ndio mnatujiaga na ma-id yenu mengine kujipambanua eeh? Tumewastukia.
 
Si ndio maana tunasema ndoa ni kwaajili ua wanaume wenye akili tu!!
 
Si ndio maana tunasema ndoa ni kwaajili ua wanaume wenye akili tu!!
Hao wenye akili wanateseka balaa humo.
Umesikia yule mwimbaji wa injili from Nigeria kafa kwasababu ya kipigo ndani ya ndoa?

Aliolewa akidhani ni baraka kumbe kajipeleka kwa muuaji wake.

Hizo ndio ndoa.

#YNWA
 
Hao wenye akili wanateseka balaa humo.
Umesikia yule mwimbaji wa injili from Nigeria kafa kwasababu ya kipigo ndani ya ndoa?

Aliolewa akidhani ni baraka kumbe kajipeleka kwa muuaji wake.

Hizo ndio ndoa.

#YNWA
Elewa kwanza, sio kila alieoa ana akili timamu, wengine ni wagonjwa wa akili na ndio kama huyo. Ila ndoa ni kwaajili ya wanaume wenye akili tu, ukishajijua zimepungua we tulia tu uwe kama akina liverpool VPN.
 
Elewa kwanza, sio kila alieoa ana akili timamu, wengine ni wagonjwa wa akili na ndio kama huyo. Ila ndoa ni kwaajili ya wanaume wenye akili tu, ukishajijua zimepungua we tulia tu uwe kama akina liverpool VPN.
Jenga hoja achana na PESSIMISM na PERSONAL ATTACK.

Asilimia kubwa ya wanandoa wanalia na ndoa zao na wengine mpaka kufikia kujuta kwanini walioa.

#YNWA
 
Amechomwa na kitu chenye ncha kali
 
Ndoa sio ya kila mtu kwa maana ya kumudu, kuna wengine zinawashinda mapema na kuna wengine wanachagua kuishi na magumu muda wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…