Na hizi ndio NDOA ZENU: Mwamba kashaangukiwa na chuma kizito

Na hizi ndio NDOA ZENU: Mwamba kashaangukiwa na chuma kizito

Acha kuwadanganya wenzako kama wewe na huyu jembe wako mmekutana na malaya sio wote watakutana na malaya kama nyie .

Ni hivi nimeona ndoa za kawaida tu watuwanapanga chumba kimoja na vyumba double na wanaishi poa tu na wake zao .

Jingine hawa watu wanafuraha na wanajaliana sana .
Ngumi hakuna kisa kila mtu anamwelewa mwingine.

Ndoa is the beutiful thing my sister ameolewa na anafurahia sana familia yake.
Kama umeoa kahaba pole, kama umeoa mwanamke hajielewi pole, ila ukihitaji kuolewa / kuoa mshirikishe Mungu ndio mambo yote
Unaoa tu umewahi piga magoti nakumuomba Mungu akupe hitaji la moyo wako.
Hapana. Unaoa tu halafu yakikukuta eti kamuonyesha makucha hapana hukumuomba Mungu akupe ishara huyu ni wako Mungu wala akucheleweshi .
Anakupa hitaji la moyo wako.
Ndoa inasiri kubwa sana huenda hata huyo sister wako yupo kwenye kuvumilia unadhani kunamwanandoa yupo tayari kukuonyesha jinsi anavyojua kutukana,kupigana, kushinda na njaa haya yote hujulikana baada ya maamuzi magumu ya mmojawapo kuamua either kuachana au kufanyiwa tukio but % kubwa ya ndoa za kiafrika hazina furaha kwasababu tunaoana sio kwa mapenzi ila Sababu mbadala
-anapesa
-anakazi Fulani
Kifupi tunaoana Ili kukomboana kiuchumi
 
huku kitaa kuna mwamba kakikbiwa na mke wake ,kabeba kila kituu ndani kahamia kwa bwana na kamuachia mtto wa miaka 7 ,walikua nawatoto wawili mmoja mdogo wa mgongoni kasepa nae ,jamaa kabaki na empty house na mtoto wake wa kiume mke kasepa , kuna mda hii kampeni inaingia akilini sana hasa nikiunganisha mtukio ya huku mtaani nnayo yaona ndoa za vijana ni matatizo na si salama kwa vijana wanao hustle na wataftaji, wanawake wana tamaa mnoo sjui shuda inakuaga nini,,ukiingia huko maofisini wake zawatu wanavyo dinywa mpaka unashangaa why!,,hawa watu shida inakuaaga ni nini kwani?
 
Ndoa inasiri kubwa sana huenda hata huyo sister wako yupo kwenye kuvumilia unadhani kunamwanandoa yupo tayari kukuonyesha jinsi anavyojua kutukana,kupigana, kushinda na njaa haya yote hujulikana baada ya maamuzi magumu ya mmojawapo kuamua either kuachana au kufanyiwa tukio but % kubwa ya ndoa za kiafrika hazina furaha kwasababu tunaoana sio kwa mapenzi ila Sababu mbadala
-anapesa
-anakazi Fulani
Kifupi tunaoana Ili kukomboana kiuchumi
Humjui mjeda wetu wewe angekuwa na shida tungeleta shida anafuraha sana kwakweli .

Mume anamuheshimu wanaheshimiana.
Wakwe zakwe zake wanaheshima sana .
Watu wanahela za kawaida ila wanafuraha mume kazi yake ni anaduka la jumla sister ni sekretari katika shirika la serikali na analipwa kidogo sana.

Ila wanaopendana sana sana tu .
Mimi naona maelewano nijambo lenye maana katika ndoa .

Wewe unadhani utaoa kama unampendea mtu kitu na humjifunzi sister kasoma na huyu jamaa na mahusiano ya awali yalikuwa ni marafiki .
Ila walipoangalia wakaona haina haja ya kuwatafuta wenzi na wao wanaelewana wakaoana nakumbuka mjomba aliwaambia jambo kama mmependana na mnatakana na mnaelewana hili ni jambo la heri .

Wakaoana nakumbuka familia ya kijana walilipa mahari saivi sio duka moja analo anamaduka hadi ya hardwares 3 sasa kwa sababu wanaelewana na wanajua wanataka nini in life.

Kama hujui mwenza wako what she needs or what he needs ni mbaya sana.
Good day
 
Sikia hii habari

INTRO
Nyie mabaharia kwani u-single unawashinda nini? Hivi mnajua kuoa ni kutafuta matatizo. Kuna baharia mwenzetu yashamkuta huku.

FLASH BACK
Nilianza kumjua 2019 baada ya kuhamia pale ofisini. Alikuja akiwa na demu (mchumba) kwa kipindi hicho walikua na miaka mi3 wapo pamoja.

2020 akaleta kadi za harusi/michango anataka kumuoa. Kwenye mahojiano yetu as "Men talks" alisema kashamchunguza vya kutosha hivyo anataka kumuoa.

Huyo mwanamke ni mwalimu na kwa madai yake "Walimu ndio huwa wake Bora"

Michango tukatoa na harusi ikafanyika, ila mi nilimuonea huruma sanaa mwamba kwa kuamua kuoa.

SCENARIO
1. Mwaka jana kwenye mwezi wa 10 nilianza kuhisi utofauti wa yule demu/mwalimu/shemeji.

Kuna siku nilikua nakula zangu mingo nikamkuta kavaa blauzi ya net na suruali ya mchaniko mapajani. Kwa hiyo brauzi ya net aliyoivaa ilikua unaona kila kitu kasoro vile vilivyofunikwa na sidiria tu.

Sasa Kwa ninavyomjua mwamba ni mtu strictly sanaa, nikawaza "Mwamba kamruhusu mke avae nguo hizi kweli halafu atembee nazo mjini!"

Zile nguo za ajabu ziliendelea siku baada ya siku, raia tukawa tuna shangaa na kujiuliza maswali yasiyo na majibu!

Kwa kuwa hayanihusu "Nilipiga buyuuu"

2. Mwaka huu mwamba alianza kubadilika kimisemo.

Katikati ya maongezi yetu alikua anatoa kauli nzito na ngumu hasaaa..

Alikua akitoa kauli kama:

i. Ndoa muda mwengine ni upuuzi tu
ii. Wengine tupo kwenye ndoa sababu ya watoto tu.
iii. Mlioa nawashauri msioe
iv. Wanawake wapuuzi sanaa.

Mnaweza kuwa kwenye utani wanaume mnaongelea mademu ye akatoa kauli ngumu hasaaa.

THE TRUTH
Siku hizi braza anapost sanaa majuto ya ndoa kwenye WhatsApp status yake.
Hii inajidhihirisha kuwa kwenye ndoa yake "Kuna Majanga"

Status zake za WhatsApp ni manung'uniko na majuto ya ndoa. Kila siku lazima atoe dongo.

Na jana nilivyoona zimezidi ili bidi nimfate inbox na alichonijibu "Braza mi sina ndoa Tena!"

UBISHI
Huyu mwamba aliishi na demu miaka mi3
Alihisi miaka mi3 inatosha kumjua mwalimu na kumuoa

Mwalimu alivyoolewa ndani ya miaka mi2 akaamua kuonyesha mapembe. Na sasa mapembe yanamuumiza baharia mwenzangu.

Huyu ni mmoja wa wanaume wabishi ambao waligoma kuelewa ile slogan ya "USIOE" ye akahisi sisi ambao ambao hatujaoa ni mapimbii na sasa yamemkuta.

Na asichokujua hili limeanza kumuumiza mpaka kazini, maana ofisini hakai, na akikaa hakuna anachofanya. Dah kwakuwa wanaume huwa tunabebana then huwa tunafanya mpaka Kazi zake!

Mkiambiwa msioe muwe mnaelewa.

FINALIZING
Anyway tuendelee kutafuta hela.
If you think money does not bring happiness, nenda kawaulize waliopata ajira za TRA juzi hapo!

Money brings everything in life!

#YNWA
Nashawishika kusupport hii movement yako ili kunusuru vifo vya mapema na magonjwa ambayo siyo ya kuambukiza wala kurithi.

Kuna ushahidi dhahiri hali ni mbaya wazazi sasa inabidi tuvunje ukimya.

Yani pata picha mama yenu ananipeleka puta halafu mtoto wangu naye kakimbilia ndoa anabulutwa kama jembe la plau, hivi hiyo familia mkikutana si ni kama mazezeta tupu baba na mtoto yamekutana?😄😄
 
Sikia hii habari

INTRO
Nyie mabaharia kwani u-single unawashinda nini? Hivi mnajua kuoa ni kutafuta matatizo. Kuna baharia mwenzetu yashamkuta huku.

FLASH BACK
Nilianza kumjua 2019 baada ya kuhamia pale ofisini. Alikuja akiwa na demu (mchumba) kwa kipindi hicho walikua na miaka mi3 wapo pamoja.

2020 akaleta kadi za harusi/michango anataka kumuoa. Kwenye mahojiano yetu as "Men talks" alisema kashamchunguza vya kutosha hivyo anataka kumuoa.

Huyo mwanamke ni mwalimu na kwa madai yake "Walimu ndio huwa wake Bora"

Michango tukatoa na harusi ikafanyika, ila mi nilimuonea huruma sanaa mwamba kwa kuamua kuoa.

SCENARIO
1. Mwaka jana kwenye mwezi wa 10 nilianza kuhisi utofauti wa yule demu/mwalimu/shemeji.

Kuna siku nilikua nakula zangu mingo nikamkuta kavaa blauzi ya net na suruali ya mchaniko mapajani. Kwa hiyo brauzi ya net aliyoivaa ilikua unaona kila kitu kasoro vile vilivyofunikwa na sidiria tu.

Sasa Kwa ninavyomjua mwamba ni mtu strictly sanaa, nikawaza "Mwamba kamruhusu mke avae nguo hizi kweli halafu atembee nazo mjini!"

Zile nguo za ajabu ziliendelea siku baada ya siku, raia tukawa tuna shangaa na kujiuliza maswali yasiyo na majibu!

Kwa kuwa hayanihusu "Nilipiga buyuuu"

2. Mwaka huu mwamba alianza kubadilika kimisemo.

Katikati ya maongezi yetu alikua anatoa kauli nzito na ngumu hasaaa..

Alikua akitoa kauli kama:

i. Ndoa muda mwengine ni upuuzi tu
ii. Wengine tupo kwenye ndoa sababu ya watoto tu.
iii. Mlioa nawashauri msioe
iv. Wanawake wapuuzi sanaa.

Mnaweza kuwa kwenye utani wanaume mnaongelea mademu ye akatoa kauli ngumu hasaaa.

THE TRUTH
Siku hizi braza anapost sanaa majuto ya ndoa kwenye WhatsApp status yake.
Hii inajidhihirisha kuwa kwenye ndoa yake "Kuna Majanga"

Status zake za WhatsApp ni manung'uniko na majuto ya ndoa. Kila siku lazima atoe dongo.

Na jana nilivyoona zimezidi ili bidi nimfate inbox na alichonijibu "Braza mi sina ndoa Tena!"

UBISHI
Huyu mwamba aliishi na demu miaka mi3
Alihisi miaka mi3 inatosha kumjua mwalimu na kumuoa

Mwalimu alivyoolewa ndani ya miaka mi2 akaamua kuonyesha mapembe. Na sasa mapembe yanamuumiza baharia mwenzangu.

Huyu ni mmoja wa wanaume wabishi ambao waligoma kuelewa ile slogan ya "USIOE" ye akahisi sisi ambao ambao hatujaoa ni mapimbii na sasa yamemkuta.

Na asichokujua hili limeanza kumuumiza mpaka kazini, maana ofisini hakai, na akikaa hakuna anachofanya. Dah kwakuwa wanaume huwa tunabebana then huwa tunafanya mpaka Kazi zake!

Mkiambiwa msioe muwe mnaelewa.

FINALIZING
Anyway tuendelee kutafuta hela.
If you think money does not bring happiness, nenda kawaulize waliopata ajira za TRA juzi hapo!

Money brings everything in life!

#YNWA
Pamoja na hayo yote kuoa nijambo bora, kuwa single ni dalili ya kuogopa maisha
 
WANAWAKE WANAMPINGA MTOA MADA WANAOGOPA KUISHIA KUWA WASIMBE

KAMA WANAUME WOTE TUTAGOMA [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji39]
 
Nashawishika kusupport hii movement yako ili kunusuru vifo vya mapema na magonjwa ambayo siyo ya kuambukiza wala kurithi.

Kuna ushahidi dhahiri hali ni mbaya wazazi sasa inabidi tuvunje ukimya.

Yani pata picha mama yenu ananipeleka puta halafu mtoto wangu naye kakimbilia ndoa anabulutwa kama jembe la plau, hivi hiyo familia mkikutana si ni kama mazezeta tupu baba na mtoto yamekutana?😄😄
venossah

#YNWA
 
Sikia hii habari

INTRO
Nyie mabaharia kwani u-single unawashinda nini? Hivi mnajua kuoa ni kutafuta matatizo. Kuna baharia mwenzetu yashamkuta huku.

FLASH BACK
Nilianza kumjua 2019 baada ya kuhamia pale ofisini. Alikuja akiwa na demu (mchumba) kwa kipindi hicho walikua na miaka mi3 wapo pamoja.

2020 akaleta kadi za harusi/michango anataka kumuoa. Kwenye mahojiano yetu as "Men talks" alisema kashamchunguza vya kutosha hivyo anataka kumuoa.

Huyo mwanamke ni mwalimu na kwa madai yake "Walimu ndio huwa wake Bora"

Michango tukatoa na harusi ikafanyika, ila mi nilimuonea huruma sanaa mwamba kwa kuamua kuoa.

SCENARIO
1. Mwaka jana kwenye mwezi wa 10 nilianza kuhisi utofauti wa yule demu/mwalimu/shemeji.

Kuna siku nilikua nakula zangu mingo nikamkuta kavaa blauzi ya net na suruali ya mchaniko mapajani. Kwa hiyo brauzi ya net aliyoivaa ilikua unaona kila kitu kasoro vile vilivyofunikwa na sidiria tu.

Sasa Kwa ninavyomjua mwamba ni mtu strictly sanaa, nikawaza "Mwamba kamruhusu mke avae nguo hizi kweli halafu atembee nazo mjini!"

Zile nguo za ajabu ziliendelea siku baada ya siku, raia tukawa tuna shangaa na kujiuliza maswali yasiyo na majibu!

Kwa kuwa hayanihusu "Nilipiga buyuuu"

2. Mwaka huu mwamba alianza kubadilika kimisemo.

Katikati ya maongezi yetu alikua anatoa kauli nzito na ngumu hasaaa..

Alikua akitoa kauli kama:

i. Ndoa muda mwengine ni upuuzi tu
ii. Wengine tupo kwenye ndoa sababu ya watoto tu.
iii. Mlioa nawashauri msioe
iv. Wanawake wapuuzi sanaa.

Mnaweza kuwa kwenye utani wanaume mnaongelea mademu ye akatoa kauli ngumu hasaaa.

THE TRUTH
Siku hizi braza anapost sanaa majuto ya ndoa kwenye WhatsApp status yake.
Hii inajidhihirisha kuwa kwenye ndoa yake "Kuna Majanga"

Status zake za WhatsApp ni manung'uniko na majuto ya ndoa. Kila siku lazima atoe dongo.

Na jana nilivyoona zimezidi ili bidi nimfate inbox na alichonijibu "Braza mi sina ndoa Tena!"

UBISHI
Huyu mwamba aliishi na demu miaka mi3
Alihisi miaka mi3 inatosha kumjua mwalimu na kumuoa

Mwalimu alivyoolewa ndani ya miaka mi2 akaamua kuonyesha mapembe. Na sasa mapembe yanamuumiza baharia mwenzangu.

Huyu ni mmoja wa wanaume wabishi ambao waligoma kuelewa ile slogan ya "USIOE" ye akahisi sisi ambao ambao hatujaoa ni mapimbii na sasa yamemkuta.

Na asichokujua hili limeanza kumuumiza mpaka kazini, maana ofisini hakai, na akikaa hakuna anachofanya. Dah kwakuwa wanaume huwa tunabebana then huwa tunafanya mpaka Kazi zake!

Mkiambiwa msioe muwe mnaelewa.

FINALIZING
Anyway tuendelee kutafuta hela.
If you think money does not bring happiness, nenda kawaulize waliopata ajira za TRA juzi hapo!

Money brings everything in life!

#YNWA
Kaazi kweli kweli
 
Back
Top Bottom