Uwe kristo usiwe kristo yote sawa tu. Swali. Kwanini watu wakisema wale siyo waisrael na hamsemi waisrael ni kina nani na wapo wapi kwa Sasa?.na wakati wapi walikua wapi?. Maana ni Kama mnamaanisha waisrael hawapo duniani kwa Sasa. Ila mnaogopa kupigwa maswali mkashindwa kujibu.
Israel wanafanya sawa, wanasahihisha makosa ya kihistoria yaliywafanya kwenda uhamishoni. Kwa sasa wanarudisha kilicho chao.
Mungu wa Israel anaitwa
''BWANA WA VITA''
Ndilo jina lake na ameapa kuwapigania Israel milele.
Kwa mkristo asiyeitakia amani Israel bado hajui
Kuna wimbi la''wakristo koko" mitandaoni hasa jf, wanajiita Wakirsto hali sio.
Wanaibua na kuleta mijadara mbalimbali kwa lengo la kuupinga ukristo, jihadharini nao hao ndugu zangu wana jiefu.
Wewe tulia, ushahidi tutaongea baada ya kipigo mujarab.Kilicho chao uliwapa wewe ?? lete ushahidi
Wewe tulia, ushahidi tutaongea baada ya kipigo mujarab.
Sawa na kusema Tanzania sio Taifa ni watu?. Watu ni watanzania Tanzania ni Taifa. Sawa na Waisraeli ni watu. Israeli ni TaifaIsraeli si Taifa ni watu
Unafikiri jamii ambayo ni kubwa inaweza kutoweka kirahisi hivyo mkuu?. Kama vita tu ya Hitler aliwauwa zaidi ya milioni sita miaka 80 tu iliyopita. Je nirahisi kizazi kitpotee kwa Miaka michache hivyo?Kwa fikra yangu yenye mipaka pure ethnicities haziwezi kuwepo Karne na Karne.
Mfano mdogo tu hapa Tanzania tuna miaka 60 tu ila katika makabila 120 tuliyoambiwa yalikuwepo Kuna baadhi yameanza kupoteza au yamepoteza utambulisho wake kutokana na muingiliano na jamii nyingine Sasa sembuse Israel ambayo ilikuwa kitu cha ustaarabu na shughuli za kiuchumi?
HahahahaaaaaaaaWaisraeli wa asili ni sisi wamasai.
Kwa hili tu ungekua na akili usingeandika hii post, kwa uelewa wako afu unakuja kutuaminisha. Jibu maswali uliyoulizwa wanaisrael wamepotelea wapi?Kwa fikra yangu yenye mipaka pure ethnicities haziwezi kuwepo Karne na Karne.
Mfano mdogo tu hapa Tanzania tuna miaka 60 tu ila katika makabila 120 tuliyoambiwa yalikuwepo Kuna baadhi yameanza kupoteza au yamepoteza utambulisho wake kutokana na muingiliano na jamii nyingine Sasa sembuse Israel ambayo ilikuwa kitu cha ustaarabu na shughuli za kiuchumi?
Huna ukristo wowote wewe, wewe ni maalimu wa msikiti wa ManzeseNinajua Wapalestina sio wakazi halisi wa ile ardhi hilo linafahamika ila shida ni hawa wazungu wa Ulaya ya Mashariki na Kaskazini kujifanya wao ndo Waisraeli na kuwauza wenzao ilhali wamewakuta pale.
Eti wanajinasibu wao ndo wazawa wa ardhi ile kisa wanaongea Kiebrania na kutenda tamaduni za kiyahudi, mchezo wa kitoto sana huu, basi tu kwa kuwa mungu wao marekani ana hela ila natamani leo kesho wasambaratike
Shida ni moja kuhusu Wapalestina wamejinasibisha wao wapo upande wa Uarabuni na Uislamu, ninafahamu Palestina ina wakristu wengi kuliko Israeli ila hawana sauti wala nafasi alawakbalu ni nyingi sana kuliko diplomasia na mataifa ya ulimwengu
Ila Israeli siipendi jamani daah
Hizo ni assumptions tu kwamba watu wakiamua kuchukulia jamii fulani wajiite Israel lakini ukweli ni Israel doesn't existUnafikiri jamii ambayo ni kubwa inaweza kutoweka kirahisi hivyo mkuu?. Kama vita tu ya Hitler aliwauwa zaidi ya milioni sita miaka 80 tu iliyopita. Je nirahisi kizazi kitpotee kwa Miaka michache hivyo?
Yerusalemu, Yerusalemu, muuaji wa manabii na ambaye huwapiga kwa mawe wale waliotumwa kwake . . . Tazama! Nyumba yenu mmeachiwa hali ya ukiwa.” (Mathayo 23:37, 38)Mkristo yeyoye anayeichukia Israel amelaaniwa,kanisa lolote linaloichukia Israel nalo limelaaniwa.
Biblia iko wazi sana,Israel ni ardhi ya Mungu,kile ndio kiwanja chake hapa duniani,Israel wamewekwa pale wakilimde tu na kukitunza.Wakati wa uyawala wa miala 1000 duniani, Bwana atakaa Israel,na mataifa yote yatakuwa yakienda pale kumwabudu.
Huo ndo ukweli,kama ukichulia na wewe unajiita Mkristo,hilo ni tatizo lako.
Sawa na kusema Tanzania sio Taifa ni watu?. Watu ni watanzania Tanzania ni Taifa. Sawa na Waisraeli ni watu. Israeli ni Taifa
Wewe mtu ujaribugi kujielimisha. Waislamu wakiongozwa na waarabu wao ni mabigwa wa propaganda za uongo, inaitwa Taqqya kama haujui. Israel ni Democracy ambapo kila jamii na watu wa dini yeyote wanakubaliwa kuishi. Wapo Waislamu waarabu, wapo Bedouin wapo Druze na wapo wasioabudu mungu (atheists). Idadi ya wakristo israel imekuwa ikiongezeka mpaka sasa hivi inafika kama laki 3.Ninajua Wapalestina sio wakazi halisi wa ile ardhi hilo linafahamika ila shida ni hawa wazungu wa Ulaya ya Mashariki na Kaskazini kujifanya wao ndo Waisraeli na kuwauza wenzao ilhali wamewakuta pale.
Eti wanajinasibu wao ndo wazawa wa ardhi ile kisa wanaongea Kiebrania na kutenda tamaduni za kiyahudi, mchezo wa kitoto sana huu, basi tu kwa kuwa mungu wao marekani ana hela ila natamani leo kesho wasambaratike
Shida ni moja kuhusu Wapalestina wamejinasibisha wao wapo upande wa Uarabuni na Uislamu, ninafahamu Palestina ina wakristu wengi kuliko Israeli ila hawana sauti wala nafasi alawakbalu ni nyingi sana kuliko diplomasia na mataifa ya ulimwengu
Ila Israeli siipendi jamani daah