wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Basi karibu tuanze kupica cappucino na machiato na americano na juice tamu tamu [emoji41][emoji41]
Zinapunguza nguvu za kiume hizo,zinawafaa wanaume wa dar hizo mzee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi karibu tuanze kupica cappucino na machiato na americano na juice tamu tamu [emoji41][emoji41]
Nimeacha pia nakunywa juice na whisky kidogo kukata mafuta
Sina company
Marafiki zangu wameokoka
Pole mdau nikajua na ww hangover zimekuchosha.
Ni uamuzi mzuri kama utaushikilia japo ulipoanza kunywa hukutwambia. Kila la heri mwanangu mlevi msataafu kkkkkkkkkkNimekuwa mnywaji nisiye na kiasi, hivyo naona pombe siyo salama tena kwangu, hivyo kuanzia leo Jumatano tarehe 25 August 21 nimeamua kuacha pombe bye bye Safari lager
Upungufu wa nguvu za kiume unaendana na speed ya maendeleo 😀😀😀😀 ndio maana wanaume wa Dar wameendelea zaidi kuliko mikoaniZinapunguza nguvu za kiume hizo,zinawafaa wanaume wa dar hizo mzee.
Upungufu wa nguvu za kiume unaendana na speed ya maendeleo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ndio maana wanaume wa Dar wameendelea zaidi kuliko mikoani
Wa mikoani mnatuone tu wivu hamna lolote.. ndio mkija kazi yenu kubwa mnaombaga tuwatembeze mshangae mji 😎😎😎Hahahah cha ajabu 80% ya watu wa dar wanaishi kwny umaskini,sasa sijui Hata maendeleo gani waliyonayo.
Nikiachaga kimya kimya huwa nadumu hata miezi miwili[emoji854]
Kumbe umeshafika.Huu ushakuwa wimbo wa taifa kwa walevi na wanywaji [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hazard CFC kumbe hakuacha kuna kipindi alisema ameacha kabisaKumbe umeshafika.
Nilivyoona huu uzi nikakukumbuka[emoji1],na zile Amen mlikuwa mnapeana matumaini na Hazard CFC [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Naachaga mkuuunaachaga au unapumzika tu [emoji3][emoji3]
Kumbe umeshafika.
Nilivyoona huu uzi nikakukumbuka[emoji1],na zile Amen mlikuwa mnapeana matumaini na Hazard CFC [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app