Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 10,017
- 18,537
Bila kushawishiwa na yeyote nimekaa nimeona imetosha Sasa. NAACHA RASMI POMBE ..Sigara niliacha zamani Sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila usiache kutupa darsa ulikutwa na nini hadi kufikia uamuzi huo.Bila kushawishiwa na yeyote nimekaa nimeona imetosha Sasa. NAACHA RASMI POMBE ..Sigara niliacha zamani Sana.
arBila kushawishiwa na yeyote nimekaa nimeona imetosha Sasa. NAACHA RASMI POMBE ..Sigara niliacha zamani Sana.
dronedrake fanya hima unapoteza member hukuNa mimi naacha punyeto rasmi. Ee Mungu nisaidie
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏Bila kushawishiwa na yeyote nimekaa nimeona imetosha Sasa. NAACHA RASMI POMBE ..Sigara niliacha zamani Sana.
Mzee anapanda juu ya meza?unapelea mjomba
View attachment 3181830
Bahati mbaya Sina namna ya kukuhakikishia kuwa nimeacha ... Pombe niliyokunywa ni nyingi sana nikikuwekea hapo unaweza maliza miaka 10 na usizimalize....Wapo waliopinga na ninakaa nao vilingini na sinywi...ila round nawazungushia fresh tu nikiwa fresh....kifupi Kuna dozi Moja ya IONOX ya ngozi nilimtumia siku 14 sinywi pombe nimeenda nimeongezewa dozi Tena ... Nimemaliza juzi ..hivyo nimekaa mwezi naenda wa pili ... Sioni Cha ajabu ...miwili umetulia na akili imetulia ....ya Nini kurudia Tena pombe.Mikwara ya mwaka mpya sio! Ukifika February nipo pale nimekaa
Kama ni majanga ningeshaacha kitambo sana .. nimeamua tu baada ya kukaa nje ya ulingo zaidi ya mwezi nikiwa nakunywa dawa ya ngozi ilikuwa inawasha na kama mabaka flani baada ya kukaa sana ziwani kufanya madoria ya Uvuvi Haram... Ni kuamua tu ..nilishafanyaga hivi nilikaa miaka2 na nikarudi .... Sasa hivi sitaki kurudi Tena ntabaki na mpepe tu ..Ila usiache kutupa darsa ulikutwa na nini hadi kufikia uamuzi huo.
Sidaiwi Kodi Mimi ndio nadai .... Ada imeshalipwa Bado mtoto mmoja .Ada, kodi, sikukuu lazma pombe uipige kikono....subiria march ndo utaiacha serious.
nunua kreti moja la serengeti Lite tujipongezw mkuuBila kushawishiwa na yeyote nimekaa nimeona imetosha Sasa. NAACHA RASMI POMBE ..Sigara niliacha zamani Sana.