Sheria hizi Zina Faida kuliko kitu chochote.
Angalia, ukifanya mapenzi na mke wa mtu, utapelekea ndoa kuvunjika na pia malezi ya familia hayatokuwepo.
Leo hii ukitembea na wanawake wengi na ukazaa na Kila mwanamke bila kumuoa, atapatwa na fedheha ambayo itamuumiza nafsi yake na inaweza pelekea ajiue au apate pyschological disorder au watoto wasilelewe vizuri.
Mungu aliona mbali mno kuweka sheria zile angalau zinaleta ustaraabu.
Mfano kama ushoga ungeruhusiwa, unadhani watu wangefika bilioni 8? Unajua hasara ya kukosa rasilimali watu?