Bro Biblia ilikuwepo miaka 600 kabla ya Qur'an Tukufu, Agano la Kale lilikuwepo Kwa zaidi ya miaka 600 huku Agano Jipya ni miaka 600Mkuu naona uko vizuri, hasa upande wa dini yako (uislam).
Na kweli unavyosema, mimi huwa nasoma maandiko mengi na mengine hata siyo biblia wala Qur'an lakini ni yahusuyo tu imani.
Sasa nikuulize tena kitu kimoja, nitatumia mbinu gani kupima kuwa hiki kitabu ni cha kweli na hiki siyo (mfano kati ya Qur'an na biblia) na ukizingatia vyote vinamzingatia Mungu muumbaji ?
Na je, unaweza kunambia kati ya Biblia na Qur'an ni kipi kilianza kuwepo ?
Ni kweli wanadamu tunamjua Mungu kwa kum-papasa (hatumwoni in physical means) ila wewe naona hata kwenye huo m-papaso haupo kabisa yaani bado:::::MKUU MBAKASO NDIO MUNGU WA WABANTU MKUU.....!!!!TATIZO WABANTU MMEKIMBILIA DINI ZA WAGENI WAKOLONI
HIvi imani na Dini ni kitu kile kile au ni vitu viwili tofauti ?Bro Biblia ilikuwepo miaka 600 kabla ya Qur'an Tukufu, Agano la Kale lilikuwepo Kwa zaidi ya miaka 600 huku Agano Jipya ni miaka 600
Kwa hiyo Bora uamini Wikipedia ambao Ina magoli ya Ronaldo mpaka ya Jana. Au Bora uamini kitabu ambacho hujui kimeandikwa na Nani au lini, na kinatetea utumwa, uuaji, kinasema dunia ni flat, kinasema mvua Ni madirisha ya mbinguni kufunguliwa. Bora uamini kipi Sayansi ambayo ilimpeleka mzungu mwezini au dini aliyotumia kukutawala na yeye kaiacha huku waafrica wakiendelea kuumizana na kuibiana makanisani:::::NI UONGO SABABU NYINGI NI TAFITI BINAFSI HAZINA USHAHIDI WA KINA
Nimeanza kuyaskia haya tangu nilivoanza kuwa na OPEN MIND na SIYO LIMITED MIND.Mungu Hayupo.
Ni mawazo na imaginations za watu tu.
Baada ya kushindwa kufahamu chanzo cha ulimwengu binadamu waka unda kiumbe na kukipa jina Mungu..
Kusema kweli Biblia haijachakachuliwa, maana maandishi ya zamani yaliyokutwa Qumran mwaka 1947 ya zamani sana ya Agano la Kale, walikuta ni maandishi Yale yale sawasawa na Biblia zilizopo.Duuh...mkanganyiko ni mwingi aisee.
Lakini kabla sijakubali kuwa Biblia imechakachuliwa naomba nikuulize kitu.
Nnavyojua mimi kupitia haya haya maandishi ya kidini ni kwamba:Roho (mfano malaika au chochote cha kiroho) kinaweza kufanya chochote cha kimwili ikiwa tu na chenyewe kimejibadilisha na kuwa kwenye form ya mwili muda huo, sasa kama wale malaika waliomwendea Ibrahimu walishajibadilisha na kwenda pale kimwili, unadhani walikuwa wanaweza kushindwa kula kweli kwenye hiyo hali ya kimwili waliyo kuwa nayo kwa muda huo ?
Exactly,our mind is limited.Nafikiri kutumia akili za mwanadamu kumtafakari Mungu ni kukimbiza upepo.
Akili za Mungu hazichunguziki. Isaya 40:28
Then why the stori is different in the same thing 😎Kusema kweli Biblia haijachakachuliwa, maana maandishi ya zamani yaliyokutwa Qumran mwaka 1947 ya zamani sana ya Agano la Kale, walikuta ni maandishi Yale yale sawasawa na Biblia zilizopo.
Hujanielewa.Hoja zinatungwa mkuu kuhalalisha andiko mkuu
sawaMpaka siku akijitokeza ndio utapata jibu.Kwa sasa kila dini inavutia upande wake.Subiri siku ajitokeze kama yupo mkuu
Sheria hizi Zina Faida kuliko kitu chochote.Vyovyote vile. Lakini hatakiwi kumuadhibu mtu kisa makosa yake mwenyewe. Unamuumba mtu na nyege afu akifanya mapenzi Ni dhambi mpaka sijui ndoa. Hizi sheria Ni za makabila ya kale sio Sheria za muumba yote
Mkuu wewe mwafrika.mbantu au una asili nyingine??????Mbona unadharau imani za babu zako???Ni kweli wanadamu tunamjua Mungu kwa kum-papasa (hatumwoni in physical means) ila wewe naona hata kwenye huo m-papaso haupo kabisa yaani bado
Ni vitu viwili tofauti.HIvi imani na Dini ni kitu kile kile au ni vitu viwili tofauti ?
MUNGU YUPI SASA ALIWEKA HIZI SHERIA??????? MAANA KILA MUNGU WA KILA DINI ANA SHERIA ZAKE MKUU...Sheria hizi Zina Faida kuliko kitu chochote.
Angalia, ukifanya mapenzi na mke wa mtu, utapelekea ndoa kuvunjika na pia malezi ya familia hayatokuwepo.
Leo hii ukitembea na wanawake wengi na ukazaa na Kila mwanamke bila kumuoa, atapatwa na fedheha ambayo itamuumiza nafsi yake na inaweza pelekea ajiue au apate pyschological disorder au watoto wasilelewe vizuri.
Mungu aliona mbali mno kuweka sheria zile angalau zinaleta ustaraabu.
Mfano kama ushoga ungeruhusiwa, unadhani watu wangefika bilioni 8? Unajua hasara ya kukosa rasilimali watu?
Ndo sio Sasa sheria za mtu. Haya Mimi Nina miaka 22 na demu wangu ana miaka 20. Tunafanya Mapenzi bila kucheat na tunatumia uzazi wa mpango. Haya kosa langu hapo Mimi Ni Nini.Sheria hizi Zina Faida kuliko kitu chochote.
Angalia, ukifanya mapenzi na mke wa mtu, utapelekea ndoa kuvunjika na pia malezi ya familia hayatokuwepo.
Leo hii ukitembea na wanawake wengi na ukazaa na Kila mwanamke bila kumuoa, atapatwa na fedheha ambayo itamuumiza nafsi yake na inaweza pelekea ajiue au apate pyschological disorder au watoto wasilelewe vizuri.
Mungu aliona mbali mno kuweka sheria zile angalau zinaleta ustaraabu.
Mfano kama ushoga ungeruhusiwa, unadhani watu wangefika bilioni 8? Unajua hasara ya kukosa rasilimali watu?
Mkuu mbona umekua mpole ghafla???sawa
FactsNimeanza kuyaskia haya tangu nilivoanza kuwa na OPEN MIND na SIYO LIMITED MIND.
But baada ya hapo nimekuja ku-coclude ni wapi nifate
Biblia na Qur'an zimeandikwa na watu tofauti na zama tofauti na desturi tofauti.Then why the stori is different in the same thing 😎