Ni kweli, kila dini ina mungu wake kabisaKila Imani inamungu wao waliijitengenezea wenyewe
Lakini waumini wote wa hizo Imani ambao ni binaadam Mungu wao ni mmoja tu ambae ndio aliyewaumba wao , na vyakula vyao wanavyokula na hi Dunia wanayoishi
Jibu ni kwamba Mungu ni mmoja tu ila Kuna watu wengine hawamjui huyo Mungu wao ambaye ni mmoja tu
Na hawamjui Kwa sababu hawataki kumjua Kwa sababu Mungu alishaa jifunua kupitia manabii na vitabu
Kwani wewe ukitaka kwenda posta kupitia Morogoro road baadae ukajua kumbe Ali Hassan Mwinyi road hakuna foleni ukaamua kupitia huko, inakuondolea kupajua posta? au kuijua Morogoro roadhahahahah! Ukisema zinabadilika unamuondolea mungu hiyo sifa ya kujua kila kitu. Au hauamini kama kweli anajua kila kitu?
Alafu hiya sifa mimi simpi, tayari anayo nachofanya mimi ni kukubaliana nayohahahahah! Ukisema zinabadilika unamuondolea mungu hiyo sifa ya kujua kila kitu. Au hauamini kama kweli anajua kila kitu?
Hayo mabaya kama hayapendi yeye si Mungu muweza wa vyote, Alishindwaje Kuto kuumba Dunia isiyo na mabaya??Hapendi mabaya sio wanaofanya mabaya ndio maana tukitubu tunaamini tunasamehewa angekua hatupendi asingetusamehe na asingepatikana asiye na mabaya sababu hatuna ukamilifu ndio maana tumepewa nafasi ya kujutia mabaya na kutubu.
mimi nipo mwanza but i've got your point. Mkuu naongelea hatima ya mtu either jehanamu au peponi na kwa mfano wako umeongelea kupajua tu kwa majina na sio kufika au kupapitiaKwani wewe ukitaka kwenda posta kupitia Morogoro road baadae ukajua kumbe Ali Hassan Mwinyi road hakuna foleni ukaamua kupitia huko, inakuondolea kupajua posta? au kuijua Morogoro road
Samahani kama sio mwenyeji dar kwa huu mfano, utambia niikupe mwingine kama hujaelewa
Kwanza unajuaje kwamba uliumbwa?Okay, swali langu ni hili.... Mtu pamoja na designed systems zote zilizopo kwenye mwili wake kwa ufahamu wako, zina Designer au hazina?
Lakini hamna kitu ambacho binadamu atafanya kinachostahili kuungua milele. Hii adhabu imewekwa na dini ili kuendesha watu. Hazikuwepo katika agano la kale. Ndo maana wanajua kwa hii adhabu wote mtakubali kuendeshwa na wanaosema dini imewafata waoMi naona adhabu ziko wazi ivo ni maamuzi yako kuchagua ukosee au ufanye yanayompendeza sababu ukifanya mazuri kuna zawadi na ukifanya mabaya kuna adhabu. Na pia kuna option ya kutubu sababu hakuna mkamilifu ila yeye tu.
So it's your choice and you must pay the price for your selection
Ndo maana ninakuambia husomi Biblia. Soma story ya Nuhu afu utaona hivi vitu. Wakristo wengi wanakubali dini Yao ya ukweli wakati hawajawahi soma Biblia kiundani. Ni sawa na kusaini mkataba bila kuusoma.Kina nani wanasema upinde wa mvua ni msamaha wa Mungu,... Na kina nani wanasema mvua inamwagika kutoka madirisha ya Mbinguni?
Ukisoma Sayansi juu juu utasema hakuna Mungu Muumbaji..., Lakini ukiiingia deep zaidi Utajua kuna Mungu Muumbaji. View attachment 2603884
Bro. Hii paradox inaitwa paradox of omniscient na freewill. Huwezi sema Mungu anajua kila kitu afu at the same time ukasema binadamu wanamaamuzi.mimi nipo mwanza but i've got your point. Mkuu naongelea hatima ya mtu either jehanamu au peponi na kwa mfano wako umeongelea kupajua tu kwa majina na sio kufika au kupapitia
Kumbuka mungu ndio muumba sio tupo under him kabla hajakuumba anajua wewe ni wa jehanamu tu so huwezi change na ikitokea yeye alijua kuwa ni wa jehanamu ila ulipozaliwa ukatumia maombi kama ulivyodai ukaenda peponi hapo tunaiterm kama alikuwa hajui maana yeye kabla haujazaliwa alijua wewe ni wa jehanamu but umebadilisha ukawa wa peponi kwa maamuzi yako but something that's impossible
Hauwezi kuchange hatima anayoijua mungu since he is your designer you can never go beyond his expectations buddy!
siamini pia kama kweli kuna huo moto wa mileleLakini hamna kitu ambacho binadamu atafanya kinachostahili kuungua milele. Hii adhabu imewekwa na dini ili kuendesha watu. Hazikuwepo katika agano la kale. Ndo maana wanajua kwa hii adhabu wote mtakubali kuendeshwa na wanaosema dini imewafata wao
sijasema kuwa binadamu wana maamuzi binadamu hatuna maamuzi ila ni kwa maelezo ya jamaa anayedai kuwa mtu anaweza kuichange kwa kuombaBro. Hii paradox inaitwa paradox of omniscient na freewill. Huwezi sema Mungu anajua kila kitu afu at the same time ukasema binadamu wanamaamuzi.
Designer yupi sasa mkuu?????? Mbona sheria za dini hazifanani.Sheria za Allah ni tofauti na sheria za Yehova na ni tofauti na sheria za MbakasoHizi sheria, ni Designer Mkuu wa Universe ndo ameziweka, Kwa wanadamu ndo maana kwa Kila dini unaona sheria za maadili zinafanana maana Kila mtu amewekewa utashi wa kujua jema na mabaya.
Kuna kitu ukifanya unahisi msuto Fulani hivi ila ukizidi kufanya na kurudia ile aibu inakutoka sasa ile aibu ndo Muumba ameweka.
MUNGU YUPI SASA??????MUNGU WA WAARABU AU MUNGU WA WAYAHUDI AU MUNGU WA WABANTU????????NA VITABU VIPI SASA??????VITABU VYA WAARABU AU WAYAHUDI AU WAHINDU AU WABUDHA????Kila Imani inamungu wao waliijitengenezea wenyewe
Lakini waumini wote wa hizo Imani ambao ni binaadam Mungu wao ni mmoja tu ambae ndio aliyewaumba wao , na vyakula vyao wanavyokula na hi Dunia wanayoishi
Jibu ni kwamba Mungu ni mmoja tu ila Kuna watu wengine hawamjui huyo Mungu wao ambaye ni mmoja tu
Na hawamjui Kwa sababu hawataki kumjua Kwa sababu Mungu alishaa jifunua kupitia manabii na vitabu
umenena vyema brother!Binafisi siamini katika habari za moto wa milele kwamba kuna sehemu roho za binadamu zitachomwa milele.
Hizi habari za mbinguni na motoni ni aina ya reward and punishment system iliyowekwa ili kuleta hofu na kuweza kutawala watu kwa njia nyepesi. Kwamba ukifanya kama tunavyotaka utazawadiwa na ukifanya kinyume basi utaadhibiwa.
Na ili kukamata watu zaidi wakamtengeneza mungu wa kufikirika na kusema yeye ndio mwazilishi wa hayo yote, na kulazisha watu wamuani huyo mungu na kumuacha Mungu wa kweli.
Kwa kifupi Mungu hayupo kama wanavyo muelezea kwenye vitabu vingi vya kiimani.
Kuna mtu aliwahi kuniambia njia nzuri ya kujifunza mambo ya kiimani ni through experience, achana na mambo ya kusoma rundo la vitabu ambavyo vimeyumbishwa na wanadamu kwa maslai binafsi.
Nafikiri kuna baadhi ya biblia za lugha zingine zina vitabu zaidi ya 66,
Tunarudi palepale wewe na adam ni mfano kwa nini unataka ukamilifu usio wako... utashi wako ndio ukamilifu wako... kutenda makosa na kulazishwa kukili na kuomba msamaha kwa maelekezo ya aliyekuumba, kudhibitiwa ukikaidi au kumiminiwa baraka ikimpendeza aliyekuumba ndio ukamilifu wako.. unadai ukamilifu upi ili iweje kwa manufaa ya nani? Anaekumiliki anataka uwe hivyo we unakuja na tuakili twako twa kibinadamu kumpangia almight? Kweli?SIna reference ya kwenye Biblia lakini tufanye tu mfano wa kibinadamu.
Kama Adam angeumbwa akiwa na option ya utii pekee bila kuwekewa option ya uovu pembeni basi huyo Adam angekuwa mkamilifu/timilifu sana.
Pia angekuwa hasinzii,hachoki,hahisi njaa n.k
Waarabu, wazungu, Wayahudi na wabantu wote Mungu wao ni mmoja ndio aliyewaumbaMUNGU YUPI SASA??????MUNGU WA WAARABU AU MUNGU WA WAYAHUDI AU MUNGU WA WABANTU????????NA VITABU VIPI SASA??????VITABU VYA WAARABU AU WAYAHUDI AU WAHINDU AU WABUDHA????
Kwasababu ni miungu tofauti, mmoja wapo ndo wa ukweli, .Designer yupi sasa mkuu?????? Mbona sheria za dini hazifanani.Sheria za Allah ni tofauti na sheria za Yehova na ni tofauti na sheria za Mbakaso
Ni maoni yakoBinafisi siamini katika habari za moto wa milele kwamba kuna sehemu roho za binadamu zitachomwa milele.
Hizi habari za mbinguni na motoni ni aina ya reward and punishment system iliyowekwa ili kuleta hofu na kuweza kutawala watu kwa njia nyepesi. Kwamba ukifanya kama tunavyotaka utazawadiwa na ukifanya kinyume basi utaadhibiwa.
Na ili kukamata watu zaidi wakamtengeneza mungu wa kufikirika na kusema yeye ndio mwazilishi wa hayo yote, na kulazisha watu wamuani huyo mungu na kumuacha Mungu wa kweli.
Kwa kifupi Mungu hayupo kama wanavyo muelezea kwenye vitabu vingi vya kiimani.
Kuna mtu aliwahi kuniambia njia nzuri ya kujifunza mambo ya kiimani ni through experience, achana na mambo ya kusoma rundo la vitabu ambavyo vimeyumbishwa na wanadamu kwa maslai binafsi.
Kila mwamba ngoma huvutia kwakeKwasababu ni miungu tofauti, mmoja wapo ndo wa ukweli, .
I bore down and worship my GOD - JEHOVA... kila sekunde na kila saa.. Matendo yake ni ya Ajaabu....Wakuu poleni kwa upambanaji.
Binafsi mimi kuna mda huwa nikitulizaga kichwa changu huwa naanza kujiuliza maswali mengi sana kuhusu mimi (binadamu) na ulimwengu kiujumla (Universe).
Maswali kama sisi (binadamu) ni kina nani,tumetoka wapi asili yetu, kwanini tupo (dhumuni la kuishi), mwisho wetu ama hatima yetu ni nini, Ulimwengu wa vitu je kama sayari, nyota, galaxies zimekuwepo vipi na nini hasa mwisho wake.
Hapo juu ni baadhi tu ya maswali ambayo huwa naiuliza sana akili yangu ikiwaga katika hali ya utulivu.
Lakini cha kusikitisha ni kwamba, katika maswali yote hayo ambayo huwa najiuliza, sijawahi kupata jibu la uhakika kuniridhisha kuhusu hayo maswali yangu.
Nimekuwa nikifanya bidii kubwa sana kupata majibu ya maswali yangu kupitia usomaji wa majarida au vitabu vihusuvyo historia,sayansi, dini na Falsafa lakini kote bado sijapata majibu ya kuniridhisha tofauti na kuambulia majibu ya kinadharia tu ambayo yana strength kiasi chake lakini pia yana weakness sehemu nyingi tu.
Na nikiri wazi tu kuwa katika usomaji wangu wa nadharia hizo zote (historia, sayansi, dini, falsafa) sehemu ambayo nimeanza kuiamini kunipa majibu ya maswali yangu ni kwenye DINI.
Nikiwa na maana nimeanza kuamini kwamba uwepo na sisi tuliohai na visivyo hai hapa ulimwenguni ni matokea ya Uumbaji ya nguvu kubwa sana inayoitwa MUNGU/ALLAH kama ambavyo dini nyingi zinaelezea nguvu hiyo.
Na leo maswali yangu yanajikita huko kwenye hiyo nguvu (Mungu) maana nimeanza kuiamini lakini pia kila nisomapo BIBLIA (mimi mkristo) inanipa maswali chungu nzima.
Sasa leo swali langu limejikita kwenye UKAMILIFU wa MUNGU.
Naombeni wasomaji mnielewe kuwa sina maana ya kukufuru (maana mara nyingi niulizapo maswali kuhusu MUNGU huwa naambiwa nakufuru) bali mimi nataka kujifunza zaidi kumuhusu huyu Mungu.
Dini nyingi (hasa Ukristo na uislamu) zimekuwa zikimwelezea Mungu kuwa ni Mkamilifu sana,mwenye nguvu nyingi sana, uwezo na akili zake hazichunguziki, hashindwi na chochote n.k.
Je hilo lina ukweli ? kupitia Biblia mimi nimeanza kudhani kwamba huenda kweli Mungu ana nguvu nyingi sana ila siyo zote, ana uwezo mkubwa sana ila siyo uwezo wote,ana maarifa mengi sana ila siyo maarifa yote, ana ukamilifu mwingi sana ila siyo ukamilifu wote n.k
Nasema haya ni kutokana na maswali yafuatayo :
1. Kama Mungu ana ukamilifu wote, kwanini sasa alimuumba malaika (Lucifer/shetani) alafu badae akaja kumuasi?
Kama Shetani/Lucifer aliasi maana yake ni kwamba Mungu alimuumba huyu kiumbe akiwa na madhaifu kadhaa na ndiyo maana alishindwa kuitii amri/mamlaka ya muumbaji wake.
Kama Mungu angelikuwa na ukamilifu wote, basi malaika wote wangelikuwa wameumbwa katika namna ya utii pekee, uasi usingetokea na huo uasi unadhihirisha kwamba Mungu aliwaumba hawa malaika wakiwa na udhaifu flani, hawakuwa na uimara wote.
2. Uumbaji wa Eva (Hawa) unaonesha kulikuwa na madhaifu pia.
Katika Biblia takatifu kwenye kitabu cha mwanzo, kuna mistari inaeleza kuwa "Mungu alimpa usingizi mzito Adam, alafu akabandua sehemu ya ubavu wake na kumfanya/kumuumba mwanamke (Hawa/Eva)".
Alafu Mungu akamwambia Adam kuwa huyu mwanamke atakuwa msaidizi wako
Lakini ni huyo huyo mwanamke ambae shetani (kwenye umbo la nyoka) alienda kumdanganya akachukua matunda ya mti walioambiwa asile yeye akala na akampelekea na mumewe (Adam) pia akala.
Lakini Mungu alivyomuuliza Adam kwanini umekula matunda ya mti ambao nilikwambia usile, Adam alijibu kuwa "Ni huyo mwanamke uliyenipa ndiye aliyeniletea nikala".
Tukio hili linadhihirisha kuwa Mungu alimpa Adam msaidizi (Hawa) ambae ni dhaifu sana na ndiyo maana alisababisha dhambi ikaenda hadi kwa Adam.
Na huenda kama Mungu angelikuwa amempa Adam msaidizi imara asiye na madhaifu basi ile dhambi ya kula tunda ingeepukika.
Uko wapi sasa ukamilifu wote wa Mungu ikiwa aliweza kuwaumba malaika dhaifu (ambao walikuja kumuasi) na pia bado akampa Adam msaidizi dhaifu kabisa ambaye alisababisha dhambi imwendee hadi Adam?
Kwa leo naombeni comment zenu zinifunze kuhusu hilo tu (La ukamilifu wa Mungu) alafu mengine nitauliza siku nyingine, na mengine nitakuwa nauliza humo humo kwenye comments zenu.
NB: Naamini Mungu yupo, kutokana na baadhi ya vitu ninavyoviona ulimwenguni (hasa uumbaji/creation) ambapo kuna baadhi ya vitu hasa sayansi inakosa majibu ya kuridhisha, ila shida yangu kubwa ni sifa za Mungu ambazo anapewa na wanadamu naona kama zinashindwa kujidhihirisha kwenye baadhi ya mambo.
Karibuni mnifunze.