Hivi hujui kuwa wayahudi walitawanyika mataifa mbali mbali na ndo maan siku ya pentecoste walinena kwa lugha za kigeni wale waliokuwa Yerusalem na Yesu. Paul ni myahudi aliezaliwa Roma haimfanyi kutokuwa myahudi.Roman empire ipo wapi...Paulo ni mtu wa wapi.. hebu kuwa na data bac wayahudi ni Old testament mpaka gospels bac. Baada ya hapo ni Paul preaching all over Europe na Asia. Na John of Patmos ambae ni Greek.
Sure mkuu ile story ina ukakasi sana details nyingi haziko clear ngoj tuone kama itatokea hyo 2024 hawa jmaa wanadanganya ulimwengu kwa malengo mabaya sana watu hawajui tu.Trump alivokuwa madarakani alisema mwaka 2020 atawarudisha wamarekani mwezini, lakini mpaka ametoka madarakani hakufanya.
NASA wenyewe wakaja wakasema wamesogeza mbele from 2020 to 2022 kwa sababu mambo flani flani ya kiufundi hayajaenda sawa lakini bado 2022 hawakufanya tena.
Wakaja wakasogeza tena hadi 2024, ndo tunasubiri wakifanya kweli basi tutaamini 1969 walienda siyo maigizo.
Ila wasipofanya, tutaanza kuamini huko nyuma walikuwa wanafanya HOLY WOOD.
Nnavyojua mimi, dhana ya Ma-piramidi ya misri kujengwa na wayahudi kipindi cha utumwa wao wa miaka 430, hiyo dhana huwa wanayo zaidi ma-westerners kwa sababu huwa hawataki kabisa kukubali kuhusu civilization yoyote kuwepo Africa before colonial Era.Pyramidi walijenga wayahudi kipindi cha kutawaliwa au unabisha kuwa wayahudi hawajatawaliwa na misri tuanzie hapo
Yeah, na ukizingatia hayo mambo yalifanyika kipindi cha vita baridi, ambako mambo mengi sana yalikuwa yanaghushiwa kuliko uhalisia wenyewe ili tu upande mmoja uonekane uko mbele ya mwenzake.Sure mkuu ile story ina ukakasi sana details nyingi haziko clear ngoj tuone kama itatokea hyo 2024 hawa jmaa wanadanganya ulimwengu kwa malengo mabaya sana watu hawajui tu.
Sasa wayahudi kumbuka ni watumwa wa hao westerners walitawaliwa na kunyanyaswa kwahyo kwanini wakuzwe. Halafu mzee dunia inajidhihirisha yenyew tunaona wayahudi bado wanafanya maajabu ya kisayansi. Hivi unjua jamaa walikuwa normal sana katika jamii watu kama akina einstein walikuwa hawana kitu ila wanafanya mapinduzi.Nnavyojua mimi, dhana ya Ma-piramidi ya misri kujengwa na wayahudi kipindi cha utumwa wao wa miaka 430, hiyo dhana huwa wanayo zaidi ma-westerners kwa sababu huwa hawataki kabisa kukubali kuhusu civilization yoyote kuwepo Africa before colonial Era.
Na wazungu wengine wakaenda mbali zaidi wakasema yale ma-piramidi yalijengwa na ALLIENS na siyo watu (ELON MUSK ni miongoni mwa wanaoamini katika dhana hiyo).
Lakini wamisri wenyewe kwa historia yao wanasema hayo mapiramidi waliyajenga wenyewe kwa technolojia yao wenyewe hakuna cha Wayahudi wala ALIENS.
Ila ulimwengu wa mgharibi hukataa hilo kujengwa na wamisri wenyewe kwa sababu hawataki Africa kuonekane kulikuwa na civilization kabla yao .
Unajua haya mambo bhan yanahitaji fikra pevu kidogo.Sasa wayahudi kumbuka ni watumwa wa hao westerners walitawaliwa na kunyanyaswa kwahyo kwanini wakuzwe. Halafu mzee dunia inajidhihirisha yenyew tunaona wayahudi bado wanafanya maajabu ya kisayansi. Hivi unjua jamaa walikuwa normal sana katika jamii watu kama akina einstein walikuwa hawana kitu ila wanafanya mapinduzi..
Alafu kitu kingine, mimi sikatai kuwa wayahudi ni wabunifu.Sasa wayahudi kumbuka ni watumwa wa hao westerners walitawaliwa na kunyanyaswa kwahyo kwanini wakuzwe. Halafu mzee dunia inajidhihirisha yenyew tunaona wayahudi bado wanafanya maajabu ya kisayansi. Hivi unjua jamaa walikuwa normal sana katika jamii watu kama akina einstein walikuwa hawana kitu ila wanafanya mapinduzi.
Alafu kitu kingine, mimi sikatai kuwa wayahudi ni wabunifu.Sasa wayahudi kumbuka ni watumwa wa hao westerners walitawaliwa na kunyanyaswa kwahyo kwanini wakuzwe. Halafu mzee dunia inajidhihirisha yenyew tunaona wayahudi bado wanafanya maajabu ya kisayansi. Hivi unjua jamaa walikuwa normal sana katika jamii watu kama akina einstein walikuwa hawana kitu ila wanafanya mapinduzi.
Shintoisim (SHINTO) dini ya wajapanVitabu vya dini vinaeleza kwann nchi zilizoshika dini ndio hazina amani zaid?
Chukulia mfano Japan, ni nchi ambayo kwa asilimia kubwa haina dini. Ila ndio miongoni mwa nchi zenye amani zaidi...
Kwahio mwezi haupo? Au mwezi upoje... em elezea umachomaanisha ukisema kua story za mwezini ni za kutungaWewe muafrica kwann kabla ya kuja hyo dini usiwe na technlogy yako. Halafu hizo story za mwezini mbona nyingi tu ni za kutunga. Halafu alokwambia mbingu ipo hapo unapohisi wewe ni nani? Mungu anaishi nje ya upeo wa wanadamu. Wewe mwafrica sayansi nd kifo chako cha kwanza umepew smartphone ya kubishana jamii forums.
Asilimia kubwa hawa ipractice. Na kati ya hao asilimia ndogo wanaoipractice, wanafanya ivo kwasababu ya tamaduni tu ila sio kwamba wana imaniShintoisim (SHINTO) dini ya wajapan
Details haziko clear kivipi?Sure mkuu ile story ina ukakasi sana details nyingi haziko clear ngoj tuone kama itatokea hyo 2024 hawa jmaa wanadanganya ulimwengu kwa malengo mabaya sana watu hawajui tu.
Asilimia kubwa hawa ipractice. Na kati ya hao asilimia ndogo wanaoipractice, wanafanya ivo kwasababu ya tamaduni tu ila sio kwamba wana imani
Hapana asee... NASA haijasema kua wanampango wa kurudisha watu mwezini. Ninachokumbuka ni kua walisema kua hawana mpango wa kurudisha watu mwezini kwa sababu ya gharama. Inagharimu pesa nyingi sana na hakuna umuhimu wa kupeleka binadamu mwezini na ni risk kubwa. Kama ni utafiti unaweza kutuma vifaa vikatafiti vizuri tu bila kupeleka binadamu. Unajua China ndio ilikua nchi ya kwanza kupeleka vifaa kwenye far side ya mwezini?Trump alivokuwa madarakani alisema mwaka 2020 atawarudisha wamarekani mwezini, lakini mpaka ametoka madarakani hakufanya.
NASA wenyewe wakaja wakasema wamesogeza mbele from 2020 to 2022 kwa sababu mambo flani flani ya kiufundi hayajaenda sawa lakini bado 2022 hawakufanya tena.
Wakaja wakasogeza tena hadi 2024, ndo tunasubiri wakifanya kweli basi tutaamini 1969 walienda siyo maigizo.
Ila wasipofanya, tutaanza kuamini huko nyuma walikuwa wanafanya HOLY WOOD.
Mkuu wewe unaishi lini ?Hapana asee... NASA haijasema kua wanampango wa kurudisha watu mwezini. Ninachokumbuka ni kua walisema kua hawana mpango wa kurudisha watu mwezini kwa sababu ya gharama. Inagharimu pesa nyingi sana na hakuna umuhimu wa kupeleka binadamu mwezini na ni risk kubwa. Kama ni utafiti unaweza kutuma vifaa vikatafiti vizuri tu bila kupeleka binadamu. Unajua China ndio ilikua nchi ya kwanza kupeleka vifaa kwenye far side ya mwezini?
Kama hujui, kuna billionea (Jeff Bezos nafkir) alikua na mpango wa kupeleka watu mwezini kama watalii.. unalipia, unapewa tiket afu unapelekwa mwezini.
Una uhakika ni za 2004 mkuu ?Data za 2004... [emoji2365]
Ila still, Japan ni mostly atheist nation na ndio miongoni mwa nchi zenye amani zaidi. Hii pamoja na nchi zingine zenye majority ya atheists ndio proof kua hauhitaji mungu/miungu kua na amani. Pia 'shit hole' countries nyingi ukiangalia ni nchi zenye dini sana.
NASA ni shirika la serikali, nalitambua hilo. Na nawafuatilia kwa ukaribu sana. Hivi unajua kua NASA haihusiki na mambo ya space pekee...? Kwa kias kikubwa imefocus ktk aeronautics na sio kwenda mwezini...Mkuu wewe unaishi lini ?
Unaishi juzi,jana,leo au kesho ?
Kuwa current, ndiyo maana unasema unakumbuka ila hujui nini kiliendelea baada ya kutokukumbuka.
NASA siyo shirika la kibinafsi bali ni shirika la serikali ya marekani, Rais wa marekani akisema maana yake watekelezaji ni NASA na wala hawana mamlaka ya kusema bajeti ni kubwa maana bajeti wanapewa na serikali.
NASA wanajiandaa kurudi mwezini 2024 na gharama bajeti ya safari hiyo ni dolar bilion 28, na tayari rocket sasahivi inafanyiwa majaribio na Kampuni ya SPACE X ya Elon Musk ndiyo imepewa Zabuni ya kutengeneza rocket hiyo.
Hiyo rocket inaitwa ARTEMIS -1 na juzi tu hapa imetestiwa ikalipuka kwa hiyo bado mambo ya kiufundi hayajakaa sawa kwa asilimia zote, na usishangae walaja kusogeza tena mbele.
Na timu ya wana sayansi wa NASA watakaoenda mwezini kwenye hiyo safari tayari ishatajwa ina wana sayansi kama watano nadhani (mwanamke mmoja) na tayari sasahivi washaanza kupigishwa mazoezi ya kwenda kuwa adapt mazingira
Nina uhakika. Picha yenyew inaonesha hapo ni data za 2004Una uhakika ni za 2004 mkuu ?
Haya sio majibu ya Logic, hakuna logic bila reasoning na endapo uta reason tu mambo ya Imani utagundua kuwa huwezi kutoa majibu ya maanaNijaribu kukujibu. Kabla sijafanya hivyo nitoe angalizo kwamba maswali juu ya Mungu hayana empirical answers, isipokuwa logical answers. Ukilazimisha logical iwe empirical na kinyume chake basi ni vyema ukaacha kuamini uwapo wa Mungu na nguvu zake.
Swali lako juu ya shetani na nguvu zake: Uwapo wa shetani ndio unaodhihirisha uwapo wa Mungu, bila usiku mchana haupo, bila kulia kushoto hakutakuwapo. Bila adhabu zawadi haina maana. Kadhalika Mungu aliumba hao malaika, na moja akasaliti Mungu akamfanya awe adhabu ya milele itakayotofautisha walio wake na wasio wake. Ni kwa nguvu zake Mungu alimfanya Lucifer awe shetani, yaani nguvu kinzani. Na mara nyingi Mungu ameonyesha ushindi dhidi ya shetani. Ungeuliza pia kwanini Mungu anayesamehe kila Jambo hakumsamehe shetani, jibu ni hilo hapo juu: lazima kuwe na usiku ili tuujue mchana. Lazima kuwe na wovu tuujuwe wema. The two are separable but interdependent.
Swali kwamba Mungu alimpa Adam msaidizi dhahifu hadi akashawishiwa na nyoka kula tunda katazwa.
Ndugu, kwani aliyekuambia kwamba Adamu hakuwa dhahifu Nani? Unadhani Adamu alisamehewa dhambi kwasababu alipewa tu lile tunda? Wote walikuwa dhahifu na Mungu alijuwa hilo ndio maana akawaonya wasile tunda walilokatazwa. Yaani binadamu wote ni dhaifu tangu kuumbwa, kumbuka Mungu hakuumba binadamu kama malaika. Hata Yesu aliyeshuka kwa baba akavaa ubinadamu naye alikuwa dhahifu na akakili udhahifu wake mbele ya mitume wake.