Hata mimi sijasema zinazungushwa na Mungu bali nimesema zinakuwa controled na DESIGNER huyo designer mimi jina simjui
Unasahau kuwa hapa tunamzungumzia Mungu wa Upendo?!!Iko hv mungu aliwaumba hao na kisha akawapa akili na utambuzi wa mema na mabaya yaani uhuru was kuchagua na si kuwanga ufahamu ili wamtii yeye tu
Basi baada ya kuwapa utashi Mungu mwenyewe kwa matakwa yake akaona kwenye utashi huo aliowapa basi watakao ishi mapenzi yake watakua wake na watao enda kinyume wataadhibiwa.
Mwisho nikukumbushe Kuna kitu kinaitwa madaraka yaan mtawala anakuwa na pawa ya kufanya chochote kimpendezacho yeye kwenye himaya yake
Kama ataamua mchinjane na watakao pona ndio raia wake it's ok pia
Kama ataamua watoto wote chini ya miaka mitano wauwawe it's ok pia rejea heroda na kuzaliwa kwa yesu.
Namaanisha tupige ibada tu mengine Ni ya Mungu mwenyewe!
Wow....Jamii Forums Ina Richard Dawkins mwenyeweSame thing. Umebadili kutoa Mungu kuweka designer tu.
Hii ni anthropic bias tu, una assume kwamba simple systems cannot evolve and increase complexity and give the appearance of design to you, where there is no design.
Hiyo idea kwamba kila kilicho complex kina designer itakupa ulimwengu ambao designer atahitaji designer wake, na designer wake atahitaji designer wake, ad infinitum, ad nauseam.
Kutojua logical fallacies ni so meta, meta ignorance.Bro finally humu mtu anaelewa logical fallacies. Coz religions ndo zinatumia Sana hizi..kitu hukielewi Mungu kafanya ukija kuelewa kazi ya Mungu inapungua mpaka mwishowe inaisha. Ndo Mambo ya god of the Gaps...haya watu hawaoni kwamba gaps zimepungua na watu wanazidi kujua why vitu vipo jinsi vilivyo
Mudi hakutaka kuwapa shida vijana wake,kwny msahafu kawanyooshia maelezo kabsaHakuna kitabu chenye utata kukielewa kama Biblia.
Kuna baadhi hadithi mule ukizisoma hazieleweki yaani kama zinaenda mbele au zinarudi nyuma.
Alafu kinachonichoshaga zaidi kina mafumbo kibao na hayo mafumbo unakuta kila kukundi wanatafsiri tofauti na kikundi kingine kwenye kitu kile kule.
MFANO : Kitabu cha ufunuo wa Yohana ni mafumbo matupu.
Sijajua kuhusu Quran kama nayo hadithi zake zinazikanyaga kanyaga kama za kwenye Biblia, na mafumbo pia sijui kwenye Quran kama yapo
Hizo ni jitihada za kumuelezea Mungu ambaye hayupo.Unasahau kuwa hapa tunamzungumzia Mungu wa Upendo?!!
Mbona unatoa mifano ya ovyo km vile mungu huwa anaamua kuswitch na kubehave km Hitler mida flani
Ndo shida ya vitabu vilivyoandikwa na wanadamu km sisi,ukiwa unayasema mapungufu ya biblia unaambiwa eti kuwa hujafunguliwa kuielewa biblia na bla bla km hizo,wakati Mungu mwnyw anasema kaiandika biblia ili kila mtu aielewe na haihitaji upesho wowote ili kuelewaHakuna kitabu chenye utata kukielewa kama Biblia.
Kuna baadhi hadithi mule ukizisoma hazieleweki yaani kama zinaenda mbele au zinarudi nyuma.
Alafu kinachonichoshaga zaidi kina mafumbo kibao na hayo mafumbo unakuta kila kukundi wanatafsiri tofauti na kikundi kingine kwenye kitu kile kule.
MFANO : Kitabu cha ufunuo wa Yohana ni mafumbo matupu.
Sijajua kuhusu Quran kama nayo hadithi zake zinazikanyaga kanyaga kama za kwenye Biblia, na mafumbo pia sijui kwenye Quran kama yapo
Kungekua na option ya bookmark basi ningeitunza hii post yakoCha kwanza inabidi ujue kuwa dini zimetengenezwa na binadamu ili waweze kujibu haya maswali unayouliza na pia ili kuendesha maisha ya watu
Cha Pili kuhusu Lucifer sijui na Eva hizi Ni story tu katika dini za ki Abraham ambazo zimetungwa kuelezea jinsi matatizo duniani yalivyoanza. Na yamemtumia mwanamke Kama chanzo Cha maovu duniani kwa sababu jamii zilizotunga hizi story zilikuwa zinachukulia wanawake Kama viumbe duni na nyoka pia walichukuliwa wanyama wabaya Sana ndo maana wakapewa hii story. Nadhani wagiriki na wamesapotamia Wana story Kama hii Tena za kwao Ni za zamani zaidi na pia dini zao ziliamini kuwa mwanamke alisababisha vyote.
Dini haiwezi kukupa majibu unayotaka Ila Sayansi imetoa majibu mengi na tumeweza jua kuhusu vitu vingine ulimwenguni na Kama unaona maswali yako yatajibiwa na kitabu kilichoandikwa kipindi ambacho watu hawakujua jua linaenda wapi usiku na watu walijua nyota zinaweza anguka duniani siku ya mwisho, Sawa Ni maamuzi yako pia
Wakristo, Waislam na Wahayahudi hawaabudu Mungu tofauti,....Na mimi naomba kuuliza ni kundi lipi linaabudu Mungu wa kweli kati ya wakristo na waslamu ama pia wachina,wahindu etc kwani kwa namna jinsi hizi dini zilivyo,historia zake,ibada zake na misingi yake haziabudu mungu mmoja kwa lugha rahisi Allah na Mungu wa wakristo ni wawili tofauti?!!
Kwanini iwe hivi?!!
Mkuu unakitu naendelea kufatilia replies zako,watu wangejua dini ni swala la kihistoria wasingekua wanasema hizi habari za mungu na ukuu wakeKitabu Cha ufunuo, wakristo wanakiita mafumbo kwa sababu hawataki kuamini kimeandikwa vitu vya uongo kuhusu nyota kuangushwa angani na mkia wa Dragon, viumbe vya ajabu na hivyo. Ndo maana wakristo wanakikimbia kile kitabu. We Nani kakuambia aliyeandika alisema Ni mafumbo. Basi mi nasema kitabu kizima mafumbo. Wakristo wanachagua wanachoamini na wasichoamini wanaita mafumbo ili watered dini Yao
Mimi nulishasema muda kuwa huyu na hateeb10 wana kitu na wanastahili kusikilizwa ๐ ๐ ๐Mkuu unakitu naendelea kufatilia replies zako,watu wangejua dini ni swala la kihistoria wasingekua wanasema hizi habari za mungu na ukuu wake
Mkuu Kwa mujibu wa maneno yako ambayo naimani ndio maneno ya Mungu kutokana na Dini yakoKWANINI MUNGU alimuumba Ibilis /lucifer?
Kabla ya kukimbilia kulijibu hili swali ni vema kujua ibilisi ni nani?
Iblis sio malaika kama watu wengi wanavyodhani, sifa kuu ya malaika ni kuwa hawamuasi MUNGU bali wanafanya yale wanayoamrishwa na Mungu.
Iblis ni kiumbe ktk jamii ya majini, ameumbwa kwa Moto. Amepewa utashi na uwezo wa kutii ama kuasi amri za Mungu.Jini huyu alipata bahati ya kulelewa na kukua ktk kundi la malaika huko mbinguni .Alikuja kupewa mtihani na Mungu wa kuwa amsujudie Adam mara baada ya kushindwa mtihani waliopewa pamoja na malaika na Adam .Malaika walitii amri ya Mola wao ila iblis aligoma hivyo kupelekea kulaaniwa.
Mambo mengine yamewazidi akili ata mkielezwa kwa mifano hai hamtaelewa Ni vyema ukatafuta kwanza maarifa on how spiritual world operating.Unasahau kuwa hapa tunamzungumzia Mungu wa Upendo?!!
Mbona unatoa mifano ya ovyo km vile mungu huwa anaamua kuswitch na kubehave km Hitler mida flani
Mimi bado niko wa vugu vugu kwanza ๐ ๐Kimsingi kabisa, Atheists ndiyo Wana Imani Kali kuliko hata wanaoamini kwamba Ulimwengu na viumbe wanatokana na Uumbaji wa Mungu.
Atheist wengi wanadai Sayansi ndiyo inelezea kila kitu na fact kuhusu Ulimwengu na viumbe ulivyoanza... Lakini ukidadisi utagundua hayo madai kwamba Sayansi ndiyo inelezea facts, utagundua sio kweli 100% Bali inahusisha kuamini.
sasa shida hao Atheist wanaamini hizi Scientific theories(Evolution Theory Mfano) kwamba zenyewe eti zipo 100% correct na kuona kwamba wanaoamini Mungu wapo Brainwashed.
Lakini kiukweli kabisa:-
1. Kuamini kwamba Ulimwengu na viumbe vilitokea tu from nowhere tena by chance.
2. Na kuamini kwamba Kuna Creator aliyefanya Ulimwengu na viumbe vitokee.
Mimi naona hiyo Imani ya kwanza ndiyo Kali zaidi ๐๐ผ
mtu anaambiwa miaka Billions iliyopita mdudu flani alitokea by chance kisha aka_evolve akawa Popo na mtu anaamini bila wasiwasi..... Kisha anaona wanaoamini kwenye Creation theory ni wajinga then wao waerevu.
Vladmir Putini SimbaMpole123 na wafuasi wote wa dini ya brother Kiranga.
For reals yaani nimekuelewaKutojua logical fallacies ni so meta, meta ignorance.
Ukizijua logical fallacies unachana kwenye msingi wa ignorance hizi nyingi sana.
Hahhh yap, naelewa kama upo vuguvugu.Mimi bado niko wa vugu vugu kwanza ๐ ๐
Ila tofuatรฌ yangu na yao ni kwamba mimi naamini kuna designer wa kila kitu hapa duniani ambaye jina lake mimi bado sijamjua
Inategemea na ulipo, unataka kufanya nini.Kiranga nakubali uwazi wako kuhusu imani zako.... Lakini, and this is coming from your fellow atheist, kujiweka wazi hivi hakuna madhara kweli??
Bora sisi au Bora wewe ambae unaamini kuliko na mwanga na Giza baadae dunia ikatengenezwa, baadae jua mwezi na nyota zote(ulimwengu mzima Sasa jiulize dunia ilikuwa wapi na Ina ukubwa gani kutengenezewa siku 3 na ulimwengu uliobaki siku 1), mimea kutengenezewa kabla ya jua(sijui inakuwaje bila photosynthesis), watu wawili katika bustani, mmoja katokea na udongo mwingine mbavu, Kuna matunda ya uzima wa milele na ujuzi, Kuna wanyama wote na mimea yote katika bustani moja lakini hamna kifo mpaka mwanamke atapoongea na nyoka na kuambiwa ale tunda. In short Bora niamini the gradual process of evolution kuliko kuamini hii hekayaKimsingi kabisa, Atheists ndiyo Wana Imani Kali kuliko hata wanaoamini kwamba Ulimwengu na viumbe wanatokana na Uumbaji wa Mungu.
Atheist wengi wanadai Sayansi ndiyo inelezea kila kitu na fact kuhusu Ulimwengu na viumbe ulivyoanza... Lakini ukidadisi utagundua hayo madai kwamba Sayansi ndiyo inelezea facts, utagundua sio kweli 100% Bali inahusisha kuamini.
sasa shida hao Atheist wanaamini hizi Scientific theories(Evolution Theory Mfano) kwamba zenyewe eti zipo 100% correct na kuona kwamba wanaoamini Mungu wapo Brainwashed.
Lakini kiukweli kabisa:-
1. Kuamini kwamba Ulimwengu na viumbe vilitokea tu from nowhere tena by chance.
2. Na kuamini kwamba Kuna Creator aliyefanya Ulimwengu na viumbe vitokee.
Mimi naona hiyo Imani ya kwanza ndiyo Kali zaidi ๐๐ผ
mtu anaambiwa miaka Billions iliyopita mdudu flani alitokea by chance kisha aka_evolve akawa Popo na mtu anaamini bila wasiwasi..... Kisha anaona wanaoamini kwenye Creation theory ni wajinga then wao waerevu.
Vladmir Putini SimbaMpole123 na wafuasi wote wa dini ya brother Kiranga.