Searching for the truth
JF-Expert Member
- Mar 22, 2022
- 903
- 1,851
- Thread starter
-
- #721
Kiranga nitakuja kukujibu badae niko saloon ngoja ninyoe kwanza zamu yangu imefikaUkiamini kuna designer wa kila kitu una contradict msingi wako kwamba kilicho complex/ chenye order kinahitaji designer.
Kwa sababu hata huyo designer ana order na complexity.
Yani unasema haiwezekani hii mifumo complex iwepo bila designer, halafu unasema kuna designer aliye complex ambaye ka design kila kitu, hivyo hana designer.
Hiyo contradiction unaiona hapo?
Sent from my SM-S908U1 using JamiiForums mobile app
Ni gravity tu iko balanced. Chakulia mfano ukizungusha jiwe kwenye kamba;Mbona hatuoni dunia ikitoka kwenye mfumo wake au ikilosogelea sana jua ili iungue.
Kama hilo halitokei jua ndiyo mfumo maalum wenyewe ninao uzungumzia mimi
Yani Mkuu, unamaanisha kwamba havizunguki kwa mfumo maalumu?Sio kwamba vinazunguka kwa mfumo maalumu.
Swali, binadamu ashawahi kuwa na mkia?Unaweza ukabreed binadamu akawa na mkia...
NilijibuNaomba SimbaMpole123 pita hapa hujanijibu bado
Nimekujibu metamorphosis ni kwa wadadu sio kwa binadamu. Haya we si ulikuwa yai tumboni unakumbuka chochote no . Na hautakumbuka chochote ukiwa unaoza ardhiniNa pia jana usiku SimbaMpole123 nilikuuliza kama Binadamu ata exist katika form nyingine baada ya kufika kikomo chake lakini pia bado hukunipa jibu la kueleweka
Acha kutetea story za mababu wasioelewa ulimwengu unafanyaje kazi na kuingizia miujiza kila sehemu ili story ifunction..kitu hakieleweki so solution yako "ilikuwa miujiza" bac afanye miujiza aeleweke kuwe na dini moja.Kwa akili yako na Uwezo wako wa ufahamu,... Ndiyo maana unadhani eti haiwezekani dunia na viumbe wote kutengenezwa siku 3.
Basi Mimi nakuambia hata angetaka kuumba kila kitu kwa sekunde, Muumbaji angeweza tu.
Kama Dunia na viumbe wote tunaweza kusambaratika na kutoweka na ndani ya sekunde moja,.... Kipi kinakushangaza dunia na viumbe ulivyotaja kuumbwa ndani ya siku 3?
Anajicontradict mwenyewe huyo., Mimi aliniweka kwenye ignore list baada ya ngoma kuwa ngumu.Kiranga nitakuja kukujibu badae niko saloon ngoja ninyoe kwanza zamu yangu imefika
Vladimir Putin sijui ..jibu lako Hilo hapa...somaSkia nikwambie
Unaongelea karne nyingi kabla ya kuzaliwa kwa kristo. Jiulize technology Yao ilikuwa level gani, sheria zao zilikuwaje, na hivyo. Kingine mambo ya miungu haijaanza kwenye ukristo sijui uhindi. Umeanza miaka ya kale wakati binadamu ni wawindaji maporini. Issue Ni kwamba mtu anakuwa ana maswali mengi kuhusu ulimwengu ambayo kwa kipindi kile angefikiria Sana na kupoteza mda kuliko kuwaza Mambo ya msingi Kama kusurvive kutoliwa na wanyama wakali na kupata chakula. Hivyo bac..waliaminisha watoto miungu ipo kwenye mapango ambao wazee tu wanaingia ..baadae vijana wakavamia mapango na wakaona ni uwongo tu..wakaja wagiriki wakaweka miungu yao juu ya mlima Olympus lakini watu washapanda milima yote na hamna miungu kule. Waviking wakasema miungu yao ipo sayari jirani ya Asgard. Watu wametembea sayari zote solar system bila kuniona hiyo miungu. Wayahudi wakaja na Yahweh mawinguni..nae wazungu wametengeneza ndege tunavuka mawingu kila siku hatuoni Mungu. Hivyo wakaamua kumficha kabisa na kusema hayupo ulimwenguni. Jiulize why wanamficha, wanamficha ili kuweza kuweka sheria zozote na kusema ni za Mungu coz nani atabisha Sasa, afu wanakupromise zawadi na adhabu baada ya kufa coz wanajua hamna mtu anarudigi kwa hiyo inabidi tu uamini coz unaogopa kitachokukuta usipoamini na hivyo wanaendelea kukucontrol unakuwa mtumwa wa dini Yao. Lakini now nchi zilizoendelea zimegundua huu upuuzi na Sasa zinaishi maisha kuboresha binadamu anavyoishi na sio kushika maadili ya mababu wa jamii fulani huko mbali ambao hawakujua hata Kama dunia ndo inazunguka jua.
In short no spirituality sijui idealism. Sayansi imeshatuonyesha everything ni kwenye ubongo. Ubongo wako ukiharibika huwezi waza huwezi fanya chochote. Hamna Cha roho ni ubongo..na ukifa unaoza.
Kitu usichokiweza wewe kwako ni miujiza....Acha kutetea story za mababu wasioelewa ulimwengu unafanyaje kazi na kuingizia miujiza kila sehemu ili story ifunction..kitu hakieleweki so solution yako "ilikuwa miujiza" bac afanye miujiza aeleweke kuwe na dini moja.
Hivi umeona jamaa kasemaje? Kua bodies zinazunguka perfectly bila kugongana, hio sio kweli. Ndio kitu nimepinga.Yani Mkuu, unamaanisha kwamba havizunguki kwa mfumo maalumu?
Ule ni mfumo ukubali ukatae lakini ndiyo ukweli.
Hata Sisimizi ametengenezewa mifumo, Mimi na wewe kwenye miili yetu kuna mifumo,
Kimsingi kwenye Ulimwengu wetu huu, kila kitu kipo kwenye mfumo tu.
Km angeweza kuumba kwa secs concept ya kupumzika siku ya saba ilitokana na nnKwa akili yako na Uwezo wako wa ufahamu,... Ndiyo maana unadhani eti haiwezekani dunia na viumbe wote kutengenezwa siku 3.
Basi Mimi nakuambia hata angetaka kuumba kila kitu kwa sekunde, Muumbaji angeweza tu.
Kama Dunia na viumbe wote tunaweza kusambaratika na kutoweka na ndani ya sekunde moja,.... Kipi kinakushangaza dunia na viumbe ulivyotaja kuumbwa ndani ya siku 3?
Hakuna jipya utakalolisema na kudhihaki juu ya mitume ya Mungu ambalo baba zako waliokutangulia katika kukufuru hawakulisema.Bana skieni..Mungu hajaumba ulimwengu wenye nyota billion 60 na sayari trillion kadhaa, ili achague kabila la wafuga mbuzi na kondoo jangwani. Hivyo wayahudi wametengeneza huyo Mungu wao ndo maana unaona sheria zake ni sawa na tamaduni zao kipindi kile. Same applies to waarabu. Sasa we kaa apo mtu mzima unafikiri Mungu kawatokea watu milimani na mapangoni na hajakutokea wewe na we unakaa na ndevu zako unakubali ndio kawachagua wao ili akuokoe wewe. Sawa endelea kuwa na akili hizi.
Kila dini inasema sisi tumechaguliwa wengine wanaenda motoni. Ndo ujue dini Ni za watu sio za Mungu.
Concept ya kupumzika, ni maamuzi.Km angeweza kuumba kwa secs concept ya kupumzika siku ya saba ilitokana na nn
"Tail bone" ni nn?Swali, binadamu ashawahi kuwa na mkia?
Kwahio kila kitu kilitengenezwa ndani ya siku tatu? Kwahio binadamu tuliishi kwa wakat mmoja na dinosaurs? Giant sloths, giant leeches na wale reptiles wanaopaa?Kwa akili yako na Uwezo wako wa ufahamu,... Ndiyo maana unadhani eti haiwezekani dunia na viumbe wote kutengenezwa siku 3.
Basi Mimi nakuambia hata angetaka kuumba kila kitu kwa sekunde, Muumbaji angeweza tu.
Kama Dunia na viumbe wote tunaweza kusambaratika na kutoweka na ndani ya sekunde moja,.... Kipi kinakushangaza dunia na viumbe ulivyotaja kuumbwa ndani ya siku 3?
Mkuu, Binadamu hajawahi kuwa na mkia...."Tail bone" ni nn?
Anatomically, binadamu anamkia. Chimpanzee anamkia.
Ila ukiongelea mkia kama ilivo kwa mnyama kama mbwa, hapana. "Binada" hajawahi kua na mkia...
Labda kama ni mutation imetokea:
View attachment 2608414
Na tafiti zinaonesha hawa watu wanaozaliwa na mutation inayopelekea mkia kua mrefu wanaweza kurithisha hio mutation kwa vizaz vyao, kama ilivo kwa watu wanaozaliwa na vidole 6 mkono mmoja.
Sasa traits kama hizi zikiwa superior ktk survival ndio matokeo yake baada ya vizazi na vizazi, utakuta hio gene ya mkia ndio default ya binadamu.
Hujaelewa Mkuu,.... Hapo nilimjibu tu kama alivyouliza wewe ume_misquoteKwahio kila kitu kilitengenezwa ndani ya siku tatu? Kwahio binadamu tuliishi kwa wakat mmoja na dinosaurs? Giant sloths, giant leeches na wale reptiles wanaopaa?
Majini ni jamii ya viumbe kama tulivyo sisi wanadamu. Wapo wema (wanaomuamini Mungu) na wapo pia waovu (wasiomuamini Mungu). Kama tulivyo binadamu nao wapo hivyo hivyo. Asili yao wameumbwa kwa moto na lengo la kuumbwa kwao ni kukuabudu Mungu peke yake.Mkuu Kwa mujibu wa maneno yako ambayo naimani ndio maneno ya Mungu kutokana na Dini yako
Kuwa binadamu ameumbwa hapa duniani Kwa lengo la kumuamudu Mungu wake tu, Malaika ameumbwa kwa lengo la kuagizwa/kumsaidia Mungu sasa je Shetani/Jini aliumbwa kwa lengo au kazi gani?
Mkuu, Binadamu hajawahi kuwa na mkia....
Human beings are not born with tails. While humans do have a tailbone, which is technically called the coccyx, it is a small bone structure at the base of the spine that serves as an attachment point for muscles and ligaments. It does not protrude from the body like a tail and does not serve any significant function in human movement or biology.
Although there have been some rare cases where people are born with a small, protruding bump at the base of their spine, it is not a true tail and does not have any bone or muscle structure. This condition is known as "pilonidal sinus," which occurs when a hair follicle becomes infected and inflamed.
Dunia ipo kiganjani siku hizi,... Hizo story zako sio za kweli.