Chips zipo ndiyo na zaidi ya hizo chips kweny hayo machanjo we unadhani kwanini dhambi zinaongezeka zaidi duniani.Conspiracy theorists. Unafkir watu wasio na akili wapo bongo tu pekee? Same people wanaopinga kutua mwezini ndio same wanaosema chanjo zina microchip na kila anaepata hizo chanjo anakua controlled na super computer iko somewhere na ndo same people wanaosema Pyramids zilijengwa na aliens... [emoji706]