Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Usiongee kwa mafumbo.Kwani uongo ? Kuna mambo mengi gamjui;. Majuzi tu kuna maofisa fulani walikamata gari imejaa ngada; tamaa ikawajaa waladokoa kidogo; mzigo ulivyofika polisi ikaonekana sio wote waliokamata mzigo wakawekwa ndani; mpkana ninapozungumza hapa aliedokoa mzigo ni marehemu na nyepesi nyepesi zinasema ulikuwa mzigo wa mzee
Hatari sana. Na yeye anajua hilo?Jamaa hawataki Kwenda Mahakama wanataka bargain ya vichochoroni Kama ile alomfanyia Yule Tajiri anayetweet sana
Analipa wapi kodi zake? Kwenye walipa kodi wakubwa naye yumo?😎😎😎😎😎😎Bilionea wa mchongo
Wacha wamalizane nae huyo bwanaUshauri kwako Makonda kunusuru maisha yako na familia yako!
Hama Nchi Kwa Muda watu uliowatesa ni wengi ila kwakuwa tumeambiwa samehe 7 mara 70 tumeshasamehe ila Kwa Usalama wako zaidi hamia Kwa Mkeo ukweni Rwanda Au Nenda Ulaya Kasome hata Miaka minne utarudi Tanzania hasira za wengi zikiwa zimetulia,
Kuna Mawili
- Kuna Kupoteza maisha kutoka Kwa hao watesi
- Au Kuna kufungwa Kabisa maana wapo wenye vielelezo vyote juu yako!
Najua a safari yako ya Kwenda ufaransa ilifeli Kwa kutokana na kigezo ulichoombea asylum haitafutwi hivyo!
Kuna mtu mmekaa wote kwenye gari Masaa 4 mbezi beach alitumwa Kwa kazi maalumu kukushauri baadhi ya mambo kuhusu wewe na Jamaa wa VX na wanachama wa mambo fulani ukaonekana kuogopa ila alivyoondoka ukashupaza shingo tena!
Mifumo Duniani kote ipo hata Kama Serikali ipo.
Nakusihi tena usisahau kufuatilia hayo mambo ama by December 2023 tutakuja kusema habari nyingine Mdogo wangu ! Anza maisha upya nchi yeyote
Ukifika huko wala usihangaike nao uwawezi tena kwakuwa huna cheo!
Pia salimisha ile bastora umiliki wake haujahakikiwa
Britanicca
Acheni kumchafua JK nyie, muacheni mzee wa watu ajipumzikieKwani uongo ? Kuna mambo mengi gamjui;. Majuzi tu kuna maofisa fulani walikamata gari imejaa ngada; tamaa ikawajaa waladokoa kidogo; mzigo ulivyofika polisi ikaonekana sio wote waliokamata mzigo wakawekwa ndani; mpkana ninapozungumza hapa aliedokoa mzigo ni marehemu na nyepesi nyepesi zinasema ulikuwa mzigo wa mzee
Alipata kibali kwa Msoga. Kikosi kazi chake ni kile kile kilichomteka Ulimboka na kumnyofoa kuchaAtaje kikosi kazi alichokuwa anakitumia ili tuwaepuke.Pia aseme alipata kibali kwa nani kuwa na kikosi cha wasiojulikana.
Rwanda kamwe haiwezi kupokea Hopeless Creature kama huyo ( Yeye ), labda kama mnataka Rwanda iwasaidie Kumpumzisha Mavumbini haraka.Ushauri kwako Makonda kunusuru maisha yako na familia yako!
Hama Nchi Kwa Muda watu uliowatesa ni wengi ila kwakuwa tumeambiwa samehe 7 mara 70 tumeshasamehe ila Kwa Usalama wako zaidi hamia Kwa Mkeo ukweni Rwanda Au Nenda Ulaya Kasome hata Miaka minne utarudi Tanzania hasira za wengi zikiwa zimetulia,
Kuna Mawili
- Kuna Kupoteza maisha kutoka Kwa hao watesi
- Au Kuna kufungwa Kabisa maana wapo wenye vielelezo vyote juu yako!
Najua a safari yako ya Kwenda ufaransa ilifeli Kwa kutokana na kigezo ulichoombea asylum haitafutwi hivyo!
Kuna mtu mmekaa wote kwenye gari Masaa 4 mbezi beach alitumwa Kwa kazi maalumu kukushauri baadhi ya mambo kuhusu wewe na Jamaa wa VX na wanachama wa mambo fulani ukaonekana kuogopa ila alivyoondoka ukashupaza shingo tena!
Mifumo Duniani kote ipo hata Kama Serikali ipo.
Nakusihi tena usisahau kufuatilia hayo mambo ama by December 2023 tutakuja kusema habari nyingine Mdogo wangu ! Anza maisha upya nchi yeyote
Ukifika huko wala usihangaike nao uwawezi tena kwakuwa huna cheo!
Pia salimisha ile bastora umiliki wake haujahakikiwa
Britanicca
Ushauri kwako Makonda kunusuru maisha yako na familia yako!
Hama Nchi Kwa Muda watu uliowatesa ni wengi ila kwakuwa tumeambiwa samehe 7 mara 70 tumeshasamehe ila Kwa Usalama wako zaidi hamia Kwa Mkeo ukweni Rwanda Au Nenda Ulaya Kasome hata Miaka minne utarudi Tanzania hasira za wengi zikiwa zimetulia,
Kuna Mawili
- Kuna Kupoteza maisha kutoka Kwa hao watesi
- Au Kuna kufungwa Kabisa maana wapo wenye vielelezo vyote juu yako!
Najua a safari yako ya Kwenda ufaransa ilifeli Kwa kutokana na kigezo ulichoombea asylum haitafutwi hivyo!
Kuna mtu mmekaa wote kwenye gari Masaa 4 mbezi beach alitumwa Kwa kazi maalumu kukushauri baadhi ya mambo kuhusu wewe na Jamaa wa VX na wanachama wa mambo fulani ukaonekana kuogopa ila alivyoondoka ukashupaza shingo tena!
Mifumo Duniani kote ipo hata Kama Serikali ipo.
Nakusihi tena usisahau kufuatilia hayo mambo ama by December 2023 tutakuja kusema habari nyingine Mdogo wangu ! Anza maisha upya nchi yeyote
Ukifika huko wala usihangaike nao uwawezi tena kwakuwa huna cheo!
Pia salimisha ile bastora umiliki wake haujahakikiwa
Britanicca
Mbombo ngafu!TISS & CCM.
Itakusaidia nini akifa?Kwanza mie naona wanamchelewesha hv hyo wa kula kichwa fasta kudadeki zake
Alaaa kumbe ni copy and pasteMke wa Bashite ni mmeru na sasa wapo maeneo ya kwa msola njiro Arusha.
Eti rwanda 😂
By the way Bashite ameanza kupiga kelele kwasababu ameshapata taarifa kuwa file lake lipo kwenye final stage kabla halijafika kwa DPP.
NB: britanicca ungefanya citation kuwa huu uzi wako ni copy and paste kutoka Twitter kwa fbuyobe.
Haha amedhibitisha kuwa yeye ndiyo amekopiwa kwa hiyo yule wa twitter ndiyo anapaswa kufanya citation.Alaaa kumbe ni copy and paste
Siku hazigandiBashite akiona hii komenti lazma alie na kulikumbuka lile Daraja pale kurasin
Yani sahivi Makonda anakosa amani akiwa Dar kama Ukrane wakiona herufi Z..
Kweli Mungu yupo..
Mke wa Bashite ni mmeru na sasa wapo maeneo ya kwa msola njiro Arusha.
Eti rwanda [emoji23]
By the way Bashite ameanza kupiga kelele kwasababu ameshapata taarifa kuwa file lake lipo kwenye final stage kabla halijafika kwa DPP.
NB: britanicca ungefanya citation kuwa huu uzi wako ni copy and paste kutoka Twitter kwa fbuyobe.
Makonda haruhusiwi kuingia US, kwa sababu ya "kuwanyima watu haki ya kuishi".
Muuaji mnamshauri akimbie bila ya kufikishwa mahakamani? Siungi mkono yeye kuviziwa mafichoni, lakini ni halali kabisa kwa yeye kukamatwa na kufikishwa mahakamani ili ajibu tuhuma dhidi yake.
Waliopo kwenye vyombo vya dola, wanaeleza kwamba mtu huyu aliongoza kikundi cha kuwateka, kuwaua na kuwapoteza watu waliokuwa wakimkosoa marehemu na serikali yake, na kwamba kikundi hicho kiliaminika na kupewa nguvu na marehemu kuliko taasisi rasmi ya TISS. Kikundi hiki kiliwajibika moja kwa moja kwa marehemu. Kikundi hiki, kwa kauli za Siro, zaidi kilifahamika kama "Watu Wasiojulikana", japo walikuwa wanajulikana.
Huyu ni vema akamatwe mapema, ajibu tuhuma dhidi yake, awataje watu wake aliokuwa akiwatumia kuendesha uharamia. Mmoja tunaambiwa yupo mahabusu kule Kusini mwa nchi kwa kosa la kumpora fedha mfanyabiashara na kisha kumwua.
Sabaya wakati akiwapora watu fedha kwa nguvu, alikuwa akiwaambia kuwa, hii inaitwa Makonda style! Sabaya naye ni shahidi muhimu dhidi ya Makonda.
Sanane kapotezwa
Azory kapotezwa
Kanguye kapotezwa
Lisu alimanusura
Mo alitekwa na kuachiwa
Roman alitekwa na kuachiwa
GSM waliporwa mamilioni ya pesa kwa vitisho mbalimbali
Mengi aliporwa mamia ya mamilioni kwa kudanganywa
Familia ya Chacha kule Mwanza waliporwa kiwanja Capripoint
Kuna watu wengine waliporwa fedha kwa ahadi kuwa ataongea na marehemu walegezewe kodi na wawe karibu na Serikali.
Makonda atendewe haki, asiviziwe mitaani, apelekwe mahakamani kama alivyofanyiwa Sabaya, akajibu tuhuma mbalimbali, ikiwemo za mauaji. Makonda ni mwovu mkubwa, kwa kiasi kikubwa, zaidi ya Sabaya. Mwanafunzi wake wa uovu, Sabaya, yupo jela, mwalimu wake yupo huru. Hii siyo haki.
[emoji38][emoji38][emoji38]Makonda hali aliyonayo sasa hivi ukimsogelea ukapasua puto anaweza kujinyea