Naandika nikijua hasa nini kinaendelea. Makonda fanya haya usidhurike

Usiongee kwa mafumbo.
Ngada ni nin(cocaine, bangi au miraa?), unafikiri wote sisi ni wa vijiweni?
Hao maofisa waliodokoa kwa nini unashindwa kuwataja, kwani utashitakiwa? ...au?
Halafu kituo ni kipi hiyo mali ilipelekwa?
Huyo marehemu afisa aliyedokoa, ni nani, na nani kamkong'oli?
Na "mzee" ni nani?
Ukiongea kwa mafumbo inakuwa jungu lisilo na mwelekeo.
 
Wacha wamalizane nae huyo bwana
 
Acheni kumchafua JK nyie, muacheni mzee wa watu ajipumzikie
 
Ataje kikosi kazi alichokuwa anakitumia ili tuwaepuke.Pia aseme alipata kibali kwa nani kuwa na kikosi cha wasiojulikana.
Alipata kibali kwa Msoga. Kikosi kazi chake ni kile kile kilichomteka Ulimboka na kumnyofoa kucha
 
Rwanda kamwe haiwezi kupokea Hopeless Creature kama huyo ( Yeye ), labda kama mnataka Rwanda iwasaidie Kumpumzisha Mavumbini haraka.
 

Tokea lini ulisikia Bashite alisoma, asome wakati IQ yake is almost zero, yaani yeye asubirie mahakama tu ndio kiama chake, acheni Karma ifanye kazi yake.
 
Alaaa kumbe ni copy and paste
 

Mkuu piga kimya kama hujui details.
 

Carp Point nini tena huko
 
Makonda hali aliyonayo sasa hivi ukimsogelea ukapasua puto anaweza kujinyea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…