Unavoidable Servant
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,728
- 4,545
Na lile wowowo lake yani hafanani kabisa.Kwenye maisha haya mojawapo ya jaliwa bora ni kujaliwa kuwa mnyenyekevu, unaweza kufanya mambo yote mema na mazuri kwa maslahi ya wengi haswa walio dhaifu lakini kama haupo humble utaonekana mbaya kuliko hata ubaya.
Kama Makonda angekuwa na unyenyekevu katika kazi zake angekuwa mtu na kiongozi bora mno lakini vile ilivyo kinyume chake historia itamhesabu kama mtu mbaya na kiongozi mbaya kuwahi kuwepo katika taifa hili.
Hawezi kuingia nchi za ulaya marekani alipigwa marufuku kwa kudhurumu watu haki ya kuishiUshauri kwako Makonda kunusuru maisha yako na familia yako!
Hama Nchi Kwa Muda watu uliowatesa ni wengi ila kwakuwa tumeambiwa samehe 7 mara 70 tumeshasamehe ila Kwa Usalama wako zaidi hamia Kwa Mkeo ukweni Rwanda Au Nenda Ulaya Kasome hata Miaka minne utarudi Tanzania hasira za wengi zikiwa zimetulia,
Kuna Mawili
- Kuna Kupoteza maisha kutoka Kwa hao watesi
- Au Kuna kufungwa Kabisa maana wapo wenye vielelezo vyote juu yako!
Najua a safari yako ya Kwenda ufaransa ilifeli Kwa kutokana na kigezo ulichoombea asylum haitafutwi hivyo!
Kuna mtu mmekaa wote kwenye gari Masaa 4 mbezi beach alitumwa Kwa kazi maalumu kukushauri baadhi ya mambo kuhusu wewe na Jamaa wa VX na wanachama wa mambo fulani ukaonekana kuogopa ila alivyoondoka ukashupaza shingo tena!
Mifumo Duniani kote ipo hata Kama Serikali ipo.
Nakusihi tena usisahau kufuatilia hayo mambo ama by December 2023 tutakuja kusema habari nyingine Mdogo wangu ! Anza maisha upya nchi yeyote
Ukifika huko wala usihangaike nao uwawezi tena kwakuwa huna cheo!
Pia salimisha ile bastora umiliki wake haujahakikiwa
Britanicca
Omba uzima tu ndugu yangu tuendelee kuwapo hadi 2030. Tutarudi kwenye hii postKabla ya kauli hizi mlisema kinga ya Makonda alikua Magufuli...
Leo Samia anamlinda pia? kwanini?
Logically hizi shutuma kumhusu Makonda ni za uongo...
Mliwahi kumchafua Lowassa kwa mtindo huu huu, alipokuja kwenu ikawa aibu...
Vyovyote itakavyokuwa...Omba uzima tu ndugu yangu tuendelee kuwapo hadi 2030. Tutarudi kwenye hii post
Ushachangia tayari.Mimi sichangii huu uzi
Weee!!Ushachangia tayari.
dogo marekani haipo ulayaHawezi kuingia nchi za ulaya marekani alipigwa marufuku kwa kudhurumu watu haki ya kuishi
Kwanini sasa unamshabikia muuaji, mdhulumaji na mtesaji Makonda?
Puuza wahuni mkuu, wahuni hulopokatu bila fact.Maelezo kuhusu shutuma za Makonda hua zinanifanya nijiulize huenda Makonda ni allien... au shutuma ni za uongo...
Haiwezekani binadamu wa kawaida ukawa na shutuma lukuki kama hizo then ulindwe...
Acha kulialia,dhibitisha ubayawake.Kwenye maisha haya mojawapo ya jaliwa bora ni kujaliwa kuwa mnyenyekevu, unaweza kufanya mambo yote mema na mazuri kwa maslahi ya wengi haswa walio dhaifu lakini kama haupo humble utaonekana mbaya kuliko hata ubaya.
Kama Makonda angekuwa na unyenyekevu katika kazi zake angekuwa mtu na kiongozi bora mno lakini vile ilivyo kinyume chake historia itamhesabu kama mtu mbaya na kiongozi mbaya kuwahi kuwepo katika taifa hili.
Huziamini mahakama chini ya utawala wa mama samia?Subiri Rais Samia atoke madarakani. Ni kifo tu ndiyo kitamuokoa Makonda kuingia jela
NdiyoVyovyote itakavyokuwa...
Ninachotetea hapa tusichafue watu kwa chuki zetu bila hoja za msingi...
Kwamba baada ya 2030 nn kitatokea?
Mtampa sumu msingizie karma?
NdiyoHuziamini mahakama chini ya utawala wa mama samia?
Humuamini kabisa mama Samia? Unaamini yeye na makonda ni kitu kimoja?
Ni mnafiki tayari. Kwanini umtetee muuaji eti kwa vile kuna wauaji wengine. Nitajie mwana CCM mwingine aliyeua na kudhulumu watu kama MakondaSipendi UNAFIKI, huko CCM nani hana tuhuma za uuaji, dhuluma na utesaji ?
Halafu kiongozi akiwa muuaji, mdhulumaji na mtesaji si anapelekwa mahakamani ?
Mahakama zipi unazoongelea wewe jamaa? Hizi za majaji wa CCM?Ulipeleka mahakamani hizi tuhuma?
Au ndiyo kawaida ya nyumbu kuimba kila aina ya wimbo anaoimba Dj
Ndugu mwambie nduguyo kuwa, usalama wake ni kwa Mungu pekee muumba wa mbingu na nchiVyovyote itakavyokuwa...
Ninachotetea hapa tusichafue watu kwa chuki zetu bila hoja za msingi...
Kwamba baada ya 2030 nn kitatokea?
Mtampa sumu msingizie karma?
Acheni unafiki..Ndugu mwambie nduguyo kuwa, usalama wake ni kwa Mungu pekee muumba wa mbingu na nchi
Sharti la Mungu kumpokea yeyote na kumfanya wake tena ukiwemo wewe nyakubonga huwa ni moja tu na ni rahisi kabisa. Ni kubali tu kuwa ulikosea, umetenda dhambi kwa kuumiza watu wengine. Hii kwa kifupi huitwa TOBA.!
Ndugu nyakubonga mzigo wa dhambi ni mzito mno, haubebeki isipokuwa kuupeleka kwa anayeweza kukusaidia na ni mmoja tu, YESU KRISTO pekee yake, maana anasema👇🏻👇🏻
Mathayo 11:28-30 SUV
"....Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha. Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu; kwa maana nira yangu ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi..."
Akishindwa kuelewa hilo☝🏻☝🏻☝🏻afahamu moja tu kuwa, mlipiza kisasi (ambaye ni Mungu mwenyewe) yupo kazini na atamtumia yeyote ili mradi kila mtu apokee malipo ya kazi ya mikono yake. Inawezekana hunielewi ila kwenye hili Mungu mwenyewe anasema hivi kwa uwazi kabisa👇🏻👇🏻👇🏻
Halafu asivyo na akili akaenda msibani mtoto wa kabwe akagoma kumpa mkonoBashite akiona hii komenti lazma alie na kulikumbuka lile Daraja pale kurasin
Hata shetani huweza kujiita "mzalendo wa nchi au wa taifa"Acheni unafiki..
Mnaua watu kisa mnaogopa kuharibiwa ugali, hamna uzalendo wowote kwa taifa hili...
Kama mna uhakika alitenda ubaya sumu za nini?
Kwanini msisubiri karma ifanye kaz?
Akajiunge na vikundi vya waasi huko kongo,Somalia n.k....maisha yake yawe katikati ya vita ndo sehemu pekee ya kujificha wasimpateMfano ungelikua wewe ndo Makonda kwa aliyoyafanya yngekimbilia nchi gani?
Maana hata US ambaye ndo kiranja kampiga Pini huyo mtu