Naanza kupata hofu na stress sana, nina miaka 32 na familia haitaki nioe mwanamke mwenye mtoto

Hata kuchagua huwezi, kuishi nae utawezana?. Vijana wa CCM ndio wako na akili kama zako
 
Kwa Miaka Inavyoenda Vijana Tutaoa Sana Single Mother. Maana Wadada Walio Wengi Wana Watoto Na Hawajaolewa. Kwa Hiyo Jamii Wazazi Muwe Makini Na Watoto Wenu Wa Kike.
 
Una kazi na kipato unafeli wapi kupata mtoto mzuri tena mbichi na wamejaa kibao kwa mamilioni. Watoto wazuri wa 2000 wamejaa mtaani na hawana watoto wala sio single mother?

Wewe utakuwa unapenda vya vibudu vya kuwinda huviwezi.
Hao unaosema wa 2000 ndio wale wa kukesha wanavuta shisha na kupanda juu ya meza, Jamaa atulize tu Akili asiwe na haraka sana kwenye swala la kuoa
 
Una kazi na kipato unafeli wapi kupata mtoto mzuri tena mbichi na wamejaa kibao kwa mamilioni. Watoto wazuri wa 2000 wamejaa mtaani na hawana watoto wala sio single mother?

Wewe utakuwa unapenda vya vibudu vya kuwinda huviwezi.
Wototo wa 2000 usiguse mzee ni hatari Hadi mondi kavitungia nyimbo
 
asante sana kwa ushauri mkuu
 
Waliowazalisha...
 
Kwa Miaka Inavyoenda Vijana Tutaoa Sana Single Mother. Maana Wadada Walio Wengi Wana Watoto Na Hawajaolewa. Kwa Hiyo Jamii Wazazi Muwe Makini Na Watoto Wenu Wa Kike.
Mapimbi tu ndiyo watakaooa masingomaza. Kumbuka kila siku vigori vinatimiza miaka 18. Hao maveterani mnawasumbukia nini?
 
watu wengine wazembe unashindwa vipi kuingia bushi ukatafuta kitoto kibichi cha 2000
 
Una kazi na kipato unafeli wapi kupata mtoto mzuri tena mbichi na wamejaa kibao kwa mamilioni. Watoto wazuri wa 2000 wamejaa mtaani na hawana watoto wala sio single mother?

Wewe utakuwa unapenda vya vibudu vya kuwinda huviwezi.
Anataka apate libed to bed maestro.
 
Wee jamaa! Kwa akili hizo sijui kama utamudu mke! "Single mother" unaenda kuoa shida! Hao ni shida! Huyo ni mke wa mtu!
 
Naona kisu kimekupiga kwenye mfupa. Pole dada angu mtoa mada hakukulenga wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…