Naanza kutilia shaka uwezo wa Rais Samia kuongoza Taifa


You earn my vote 🙂
 
Poor them, kila asiyeyasikiliza yao kwao atapewa jina...Wamekosa malengo wamebaki kusubiria mkono kudondoka kama yule mnyama scavenger...I pity these people!
 
I cant add or minus anything on this article, you have said it all!
 

Aiseee!!! Umelia sana hadi huku Chattle kaburi la Chuma limetikisika likisema ^Hivi mmeanza kunikumbuka mapema hii, eeeh!???^ 🙂 🙂 🙂
 
Wanaouliza kwa nini Mbowe amekamatwa sasa na si vinginevyo wanasahau kuwa Mbowe, Lema, Meya wa zamani Ubungo Boniface walikamatwa mara baada ya matokeo ya uchaguzi mkuu kutangazwa na kabla Rais hajaapishwa kwa kuchochea maandamano yasiyo na kikomo kupinga matokeo. Mambosasa alihojiwa na vituo vya ITV na TBC na kutoa madai hayo hayo ya ugaidi.
 
Mkuu wa nchi kabisaaa anaji ng'atang'ata ivo duuu Mungu tunusuru na haya mapito
 
Najua mtanikumbuka,nlakini hamtanikumbuka kwa mabaya!

R.I.P! niko safarini naelekea Dodoma kwenye vikao vyetu maalumu, tumeaibika kwakweli!
 
Inaboa kuliko maelezo mkuu.......
 
Ni lini uliona ana uwezo wewe nyumbu wa makengeza mbowe 🤣🤣🤣

Naona mnajitekenya na kucheka wenyewe kama ngiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…