Naanza kutilia shaka uwezo wa Rais Samia kuongoza Taifa

Naanza kutilia shaka uwezo wa Rais Samia kuongoza Taifa

Tangu mwaka 2015, nchi ya Tanzania ilipata Rais na makamu wa Rais mafwamba...

Kafa fwamba mkuu mwanaume march, 2021 akarithi fwamba wa kike na ndiye huyu sasa...

Ni shida lakini Mungu ni mkubwa kuliko wao, tutashinda. Tuendelee kupambana kwa kila njia possible...
 
Twende mbele turudi nyuma upinzani lazima ujitafakari why mnakimbilia kumsapoti mtu bila kujiridhisha?? Kuna agenda nyingi za kusimamia ambazo zingewaboost suala la tozo,chanjo then mnakuja kwny katiba sasa nyie mnajua kabisa watanzania wengi Wana mashaka na chanjo nyie kutwa kuwahimiza suala la tozo kimya
Wapinzani hawana akili siku hizi toka magufuli kuchukua nchi ndiyo wamepoteza kabisa akili hadi leo wamekuwa wendawazimu
 
  • Thanks
Reactions: nao
Baada ya kusikiliza interview ya Rais Samia Suluhu na Salimu Kikeke, nimegundua mambo matatu kwenye uongozi wa Samia Suluhu, aidha Rais hayuko well informed au anadanganywa/potoshwa au uwezo wake wa kutambua mambo ni mdogo.

Pamoja na mapungufu yake Magufuli alikuwa na watu wake (inner circle) aliowaamini waliokuwa wanampatia taarifa sahihi hasa za ndani, SSH hana anategemea watu wa system ambao wengi wao wana ajenda zao binafsi ikiwemo ya kumpata mrithi baada yake.

Kwamba Marekani wakimaliza uchaguzi hakuna mikutano ya hadhara wala maandamano, it’s wrong, hadi leo Trump anafanya mikutano, Marekani maandamano ni kila siku tumeona wakati wa ‘Black Lives Matters’ nk nk.

Kwamba yeye (Samia) hawezi kuingilia kesi iliyo mahakamani wakati huo huo anazungumzia maendeleo ya kesi iliyopo mahakamani, kuwa, wanaoshitakiwa kwa ugaidi pamoja na Mbowe kesi zao zimeshasikilizwa na wanatumikia vifungo kabaki Mbowe, hii ni kama keshamhukumu Mbowe anawajenga watu kisaikolojia kuwa kama wenzake wamehukumiwa lazima Mbowe naye atumikie kifungo, hii sio sahihi.

Kwamba, Mbowe alikimbilia Kenya akaanza kupanga ugaidi, kidiplomasia hili halina afya linaweza kusababisha mgogoro kuwa Kenya inahifadhi watuhumiwa wa kigaidi.

Kama Rais mwenyewe anaitangazia dunia kuwa kuna watu Tanzania wamehukumiwa kwa ugaidi anategemea investor gani ata invest kwenye nchi ya magaidi, it’s just a common sense kulitambua hilo.

Haya ni machache kati ya mengi niliyoyaona kuhusiana na uwezo wa Rais kuchambua mambo kwa hadhi ya urais. Kama ni wasaidizi wake wanampotosha ama yeye kwa makusudi anaamua kupotosha, basi yampasa awe na uwezo wa kugundua na kujua madhara yake.

Leo kuna watu wameanza kuwa na wasiwasi na uwezo wa Samia (kiuongozi).

Ndio maana nikasema naanza kuwaelewa watu hasa ‘Sukuma Gang’ kina Gwajima, Polepole, Bashiru wanaoonyesha wazi kutofautiana na Mwenyekiti wao, pamoja na sababu kutosemwa lakini wana send message kuhusiana na uwezo wa rais.
Unatumia nguvu nyingi kujenga hoja zisizo na nguvu. Kwamba nchi zote ambazo zimetangaza kuwahukumu magaidi hazina
Baada ya kusikiliza interview ya Rais Samia Suluhu na Salimu Kikeke, nimegundua mambo matatu kwenye uongozi wa Samia Suluhu, aidha Rais hayuko well informed au anadanganywa/potoshwa au uwezo wake wa kutambua mambo ni mdogo.

Pamoja na mapungufu yake Magufuli alikuwa na watu wake (inner circle) aliowaamini waliokuwa wanampatia taarifa sahihi hasa za ndani, SSH hana anategemea watu wa system ambao wengi wao wana ajenda zao binafsi ikiwemo ya kumpata mrithi baada yake.

Kwamba Marekani wakimaliza uchaguzi hakuna mikutano ya hadhara wala maandamano, it’s wrong, hadi leo Trump anafanya mikutano, Marekani maandamano ni kila siku tumeona wakati wa ‘Black Lives Matters’ nk nk.

Kwamba yeye (Samia) hawezi kuingilia kesi iliyo mahakamani wakati huo huo anazungumzia maendeleo ya kesi iliyopo mahakamani, kuwa, wanaoshitakiwa kwa ugaidi pamoja na Mbowe kesi zao zimeshasikilizwa na wanatumikia vifungo kabaki Mbowe, hii ni kama keshamhukumu Mbowe anawajenga watu kisaikolojia kuwa kama wenzake wamehukumiwa lazima Mbowe naye atumikie kifungo, hii sio sahihi.

Kwamba, Mbowe alikimbilia Kenya akaanza kupanga ugaidi, kidiplomasia hili halina afya linaweza kusababisha mgogoro kuwa Kenya inahifadhi watuhumiwa wa kigaidi.

Kama Rais mwenyewe anaitangazia dunia kuwa kuna watu Tanzania wamehukumiwa kwa ugaidi anategemea investor gani ata invest kwenye nchi ya magaidi, it’s just a common sense kulitambua hilo.

Haya ni machache kati ya mengi niliyoyaona kuhusiana na uwezo wa Rais kuchambua mambo kwa hadhi ya urais. Kama ni wasaidizi wake wanampotosha ama yeye kwa makusudi anaamua kupotosha, basi yampasa awe na uwezo wa kugundua na kujua madhara yake.

Leo kuna watu wameanza kuwa na wasiwasi na uwezo wa Samia (kiuongozi).

Ndio maana nikasema naanza kuwaelewa watu hasa ‘Sukuma Gang’ kina Gwajima, Polepole, Bashiru wanaoonyesha wazi kutofautiana na Mwenyekiti wao, pamoja na sababu kutosemwa lakini wana send message kuhusiana na uwezo wa rais.
Unatumia nguvu kubwa kujenga hoja isiyo na nguvu. Kwamba nchi zote zilizotangaza kuwahukumu magaidi hazipati wawekezaji? Kaulize Marekani, na huko Kenya alikokimbilia gaidi Mbowe
 
Nope. Criticism yako kuhusu Rais Samia ni kwa sababu maslahi yako ya kisiasa yameguswa basi.

Mlimsema hivyo Rais Magufuli mkamwita dikteta uchwara. Leo hii anaonekana afadhali kwa sababu hayupo hai?

Rais pekee atakayeonekana imara kwenu ni yule tu atakayefanya yale mnayoyataka. Pale atakapopishana nanyi mara moja ataonekana hafai.

Kwa sisi wengine kufeli au kufaulu kwa Samia hakutegemei mambo yenu ya siasa.
Hivi kumbe miamala ni ya chadema tu?

Vipi kushadadia chanjo za majaribio?

Vipi rais anatoka Ikulu ya Dodoma anakuja Dar anawaita mawaziri toka Dodoma wanaongea alafu jioni hiyo anapanda tena ndege kurudi Dodoma?

Mbona unawaza kama mtu ambaye hana kichwa? Kwahiyo ni sahihi kuwashika wapinzani Hovyohovyo na kuwaweka ndani kisa katiba?

Hii katiba ni ya chadema au ya watanzania wote?

Nashindwa nikuite jina gani maana mpumbavu halikutoshi
 
Tofauti ya watawala wa kiafrica na ulaya ni kwenye kushaurika.
Wa ulaya upokea na kufanyia ushauri wowote hata wa muuza miwa,au mtu masikini kabisa, afrika mtawala kupokea ushauri ujiona ni udhaifu thus wanafeli.
Ulaya ofisi zao zipo mitandaoni wananchi wanasema nini, wananchi wanataka nn thus wao awafeli kwenye uongozi uongozi.
Watawala wa kiafrica ni wajuaji thus wanafeli.
 
This analysis fits in Republic of JF, or people of very low intellect. Analyse Samia through the following question to convince us that what you feel is cosmic understanding of how she is.

To get true analysis of a leader see through into mind-set, heart-set and skill-set.


Expand on how your analysis on leadership style influences her leadership philosophy in the mind-set section. Explain specific leadership models and leaders who have influenced her.


Explain what you think a good leader is and if you are one by your own definition. Explain whether her leadership philosophy allows her to be successful at her job's current duties.


Explain your feelings on leadership in the heart-set section.


Explain what role feelings have in leadership based on her leadership style.


Explain her personality and values and how these have impacted her leadership.


Explain how her actions, philosophy and feelings reflect her leadership style in the skill-set section. Account for any differences you see.


Explain how her leadership actions have or have not been helping her fulfill her job's duties.

I hope you shall soon come with that serious analysis.
Duh kwani tunaandika thesis kuwa lazima kuwe na abstract, introduction, review of literature, methodology blah blah.

What we do here in JF is like the ‘tip of an iceberg’.
 
Baada ya kusikiliza interview ya Rais Samia Suluhu na Salimu Kikeke, nimegundua mambo matatu kwenye uongozi wa Samia Suluhu, aidha Rais hayuko well informed au anadanganywa/potoshwa au uwezo wake wa kutambua mambo ni mdogo.

Pamoja na mapungufu yake Magufuli alikuwa na watu wake (inner circle) aliowaamini waliokuwa wanampatia taarifa sahihi hasa za ndani, SSH hana anategemea watu wa system ambao wengi wao wana ajenda zao binafsi ikiwemo ya kumpata mrithi baada yake.

Kwamba Marekani wakimaliza uchaguzi hakuna mikutano ya hadhara wala maandamano, it’s wrong, hadi leo Trump anafanya mikutano, Marekani maandamano ni kila siku tumeona wakati wa ‘Black Lives Matters’ nk nk.

Kwamba yeye (Samia) hawezi kuingilia kesi iliyo mahakamani wakati huo huo anazungumzia maendeleo ya kesi iliyopo mahakamani, kuwa, wanaoshitakiwa kwa ugaidi pamoja na Mbowe kesi zao zimeshasikilizwa na wanatumikia vifungo kabaki Mbowe, hii ni kama keshamhukumu Mbowe anawajenga watu kisaikolojia kuwa kama wenzake wamehukumiwa lazima Mbowe naye atumikie kifungo, hii sio sahihi.

Kwamba, Mbowe alikimbilia Kenya akaanza kupanga ugaidi, kidiplomasia hili halina afya linaweza kusababisha mgogoro kuwa Kenya inahifadhi watuhumiwa wa kigaidi.

Kama Rais mwenyewe anaitangazia dunia kuwa kuna watu Tanzania wamehukumiwa kwa ugaidi anategemea investor gani ata invest kwenye nchi ya magaidi, it’s just a common sense kulitambua hilo.

Haya ni machache kati ya mengi niliyoyaona kuhusiana na uwezo wa Rais kuchambua mambo kwa hadhi ya urais. Kama ni wasaidizi wake wanampotosha ama yeye kwa makusudi anaamua kupotosha, basi yampasa awe na uwezo wa kugundua na kujua madhara yake.

Leo kuna watu wameanza kuwa na wasiwasi na uwezo wa Samia (kiuongozi).

Ndio maana nikasema naanza kuwaelewa watu hasa ‘Sukuma Gang’ kina Gwajima, Polepole, Bashiru wanaoonyesha wazi kutofautiana na Mwenyekiti wao, pamoja na sababu kutosemwa lakini wana send message kuhusiana na uwezo wa rais.
Akina Kakurwa Bashiru walimshtukia mapema Mabeyo akawastopisha! Lakini nafasi ipo miaka yake 5 ataimaliza kwa kutumia majini ya zenji nayo kama yakiafiki!
 
Baada ya kusikiliza interview ya Rais Samia Suluhu na Salimu Kikeke, nimegundua mambo matatu kwenye uongozi wa Samia Suluhu, aidha Rais hayuko well informed au anadanganywa/potoshwa au uwezo wake wa kutambua mambo ni mdogo.

Pamoja na mapungufu yake Magufuli alikuwa na watu wake (inner circle) aliowaamini waliokuwa wanampatia taarifa sahihi hasa za ndani, SSH hana anategemea watu wa system ambao wengi wao wana ajenda zao binafsi ikiwemo ya kumpata mrithi baada yake.

Kwamba Marekani wakimaliza uchaguzi hakuna mikutano ya hadhara wala maandamano, it’s wrong, hadi leo Trump anafanya mikutano, Marekani maandamano ni kila siku tumeona wakati wa ‘Black Lives Matters’ nk nk.

Kwamba yeye (Samia) hawezi kuingilia kesi iliyo mahakamani wakati huo huo anazungumzia maendeleo ya kesi iliyopo mahakamani, kuwa, wanaoshitakiwa kwa ugaidi pamoja na Mbowe kesi zao zimeshasikilizwa na wanatumikia vifungo kabaki Mbowe, hii ni kama keshamhukumu Mbowe anawajenga watu kisaikolojia kuwa kama wenzake wamehukumiwa lazima Mbowe naye atumikie kifungo, hii sio sahihi.

Kwamba, Mbowe alikimbilia Kenya akaanza kupanga ugaidi, kidiplomasia hili halina afya linaweza kusababisha mgogoro kuwa Kenya inahifadhi watuhumiwa wa kigaidi.

Kama Rais mwenyewe anaitangazia dunia kuwa kuna watu Tanzania wamehukumiwa kwa ugaidi anategemea investor gani ata invest kwenye nchi ya magaidi, it’s just a common sense kulitambua hilo.

Haya ni machache kati ya mengi niliyoyaona kuhusiana na uwezo wa Rais kuchambua mambo kwa hadhi ya urais. Kama ni wasaidizi wake wanampotosha ama yeye kwa makusudi anaamua kupotosha, basi yampasa awe na uwezo wa kugundua na kujua madhara yake.

Leo kuna watu wameanza kuwa na wasiwasi na uwezo wa Samia (kiuongozi).

Ndio maana nikasema naanza kuwaelewa watu hasa ‘Sukuma Gang’ kina Gwajima, Polepole, Bashiru wanaoonyesha wazi kutofautiana na Mwenyekiti wao, pamoja na sababu kutosemwa lakini wana send message kuhusiana na uwezo wa rais.
"Hata msipotupigia kura tutaunda serikali tu.............. Mimi na JPM ni kitu kimoja"... SSH.
LET MBOWE FREE!!!
 
Si mlisema huyu si mitano bali tumpe 10 kwa sababu anawakomesha sukuma gang na matanga,mwacheni aupige mwingi bwana ulijua kudemkwa nyie people.

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Hivi kumbe miamala ni ya chadema tu?

Vipi kushadadia chanjo za majaribio?

Vipi rais anatoka Ikulu ya Dodoma anakuja Dar anawaita mawaziri toka Dodoma wanaongea alafu jioni hiyo anapanda tena ndege kurudi Dodoma?

Mbona unawaza kama mtu ambaye hana kichwa? Kwahiyo ni sahihi kuwashika wapinzani Hovyohovyo na kuwaweka ndani kisa katiba?

Hii katiba ni ya chadema au ya watanzania wote?

Nashindwa nikuite jina gani maana mpumbavu halikutoshi
Huna akili ndg rais alitoka rwandana kukuta msiba wa waziri na mawaziri wote walikuja dsm kumuaga waziri mwenzao then wakaketi ktk baraza baada ya happy kila waziri aliendelea na majukumu yake sio wote wapo ddm wengine wako ktk ziara mikoa tofauti
 
Tumepigwa mbaya sana si kdg. Hii nchi sijui ilimkosea nn Mungu mpk anaiadhabu kiasi kikubwa kama hiki.

Hakuna aliyehukumiwa kwenye kesi ya akina Mbowe. Watuhumiwa so far ni wa4 na hakuna aliyekuhumiwa. Kwanini Rais anasema wameshahukumiwa?

Eti Mbowe amefanya vurugu na kuitisha maaandamano, ina maana Rais hana taarifa kwamba maandamano ni haki ya kikatiba? Rais anasema wapinzani wanafanya maandamano na kuchoma magari, ni lini hayo yametokea?

Huenda wasaidizi wa Rais hawafanyi kazi yao sawa hii si sawa kbs.
mm siamini kama wasaidizi wa mashungi hawana uelewa nahisi wanatoa wrong source of information ili kum-choresha tu aonekane hana uwezo wa kuongoza
 
Kwamba, Mbowe alikimbilia Kenya akaanza kupanga ugaidi, kidiplomasia hili halina afya linaweza kusababisha mgogoro kuwa Kenya inahifadhi watuhumiwa wa kigaidi.
Mbowe hakukimbilia Kenya na kuanza kupanga ugaidi, bahati mbaya umenukuu vibaya au kwa makusudi unapotosha ukweli. Tuhuma dhidi yake ni za kabla ya uchaguzi wa 2020 isingewezekana akapange ugaidi Nairobi alikoenda karibuni. Kwa Mujibu wa maelezo ya SSH, Mbowe alikimbilia baada ya kuona upelelezi juu ya kesi yake ya 2020 umeanza kuwa moto. Nanukuu “Tumeingia kwenye uchaguzi, tumemaliza. Sasa polisi wamemaliza uchunguzi wao wamemhitaji kwa ajili ya kuendelea na kazi yao. Lakini kama utakumbuka Mbowe hakuwa nchini kwa kipindi kirefu, alikuwa Nairobi."
...“Lakini alivyoingia nchini aliitisha maandamano ya Katiba. Nadhani yalikuwa na mahesabu akijua kuwa ana kesi ya namna hiyo na hii vurugu anayoianzisha, akikamatwa aseme kwa sababu ya Katiba,” alieleza Rais Samia.

 
Back
Top Bottom