Naanza kutilia shaka uwezo wa Rais Samia kuongoza Taifa

Naanza kutilia shaka uwezo wa Rais Samia kuongoza Taifa

Baada ya kusikiliza interview ya Rais Samia Suluhu na Salimu Kikeke, nimegundua mambo matatu kwenye uongozi wa Samia Suluhu, aidha Rais hayuko well informed au anadanganywa/potoshwa au uwezo wake wa kutambua mambo ni mdogo.

Pamoja na mapungufu yake Magufuli alikuwa na watu wake (inner circle) aliowaamini waliokuwa wanampatia taarifa sahihi hasa za ndani, SSH hana anategemea watu wa system ambao wengi wao wana ajenda zao binafsi ikiwemo ya kumpata mrithi baada yake.

Kwamba Marekani wakimaliza uchaguzi hakuna mikutano ya hadhara wala maandamano, it’s wrong, hadi leo Trump anafanya mikutano, Marekani maandamano ni kila siku tumeona wakati wa ‘Black Lives Matters’ nk nk.

Kwamba yeye (Samia) hawezi kuingilia kesi iliyo mahakamani wakati huo huo anazungumzia maendeleo ya kesi iliyopo mahakamani, kuwa, wanaoshitakiwa kwa ugaidi pamoja na Mbowe kesi zao zimeshasikilizwa na wanatumikia vifungo kabaki Mbowe, hii ni kama keshamhukumu Mbowe anawajenga watu kisaikolojia kuwa kama wenzake wamehukumiwa lazima Mbowe naye atumikie kifungo, hii sio sahihi.

Kwamba, Mbowe alikimbilia Kenya akaanza kupanga ugaidi, kidiplomasia hili halina afya linaweza kusababisha mgogoro kuwa Kenya inahifadhi watuhumiwa wa kigaidi.

Kama Rais mwenyewe anaitangazia dunia kuwa kuna watu Tanzania wamehukumiwa kwa ugaidi anategemea investor gani ata invest kwenye nchi ya magaidi, it’s just a common sense kulitambua hilo.

Haya ni machache kati ya mengi niliyoyaona kuhusiana na uwezo wa Rais kuchambua mambo kwa hadhi ya urais. Kama ni wasaidizi wake wanampotosha ama yeye kwa makusudi anaamua kupotosha, basi yampasa awe na uwezo wa kugundua na kujua madhara yake.

Leo kuna watu wameanza kuwa na wasiwasi na uwezo wa Samia (kiuongozi).

Ndio maana nikasema naanza kuwaelewa watu hasa ‘Sukuma Gang’ kina Gwajima, Polepole, Bashiru wanaoonyesha wazi kutofautiana na Mwenyekiti wao, pamoja na sababu kutosemwa lakini wana send message kuhusiana na uwezo wa rais.
Uwezo wa Rais ni mdogo sana, sikuamini kama Rais ndo anajibu vile
 
JF inaongoza kwa wataalamu wa masuala ya IQ
 
Nampongeza madam president amefanya vema kuongea na BBC. Lazima tufahamu asili yetu binadamu kwamba mwanaume ni tofauti na mwanamke. Kwa hulka,silka na haiba ya mama yetu tunahitajika kumpongeza.
Kweli kabisa huyu mama tusimtwike zigo zito Kama Lile la katiba,ambalo wanaume wenyewe walilikwepa JK alipolianzisha alipogundua ni zigo la misumari akavuta muda ili aje kumrushia zigo ajaye.
Alikuja JPM mzee wa kubana matumizi alisoma mchezo mapema akaepa.

Sema tu mama alikosea aliposema wasubiri.Alitakiwa aseme tu kuwa haliwezekani kabisa kwenye utawala wake.
 
Baada ya kusikiliza interview ya Rais Samia Suluhu na Salimu Kikeke, nimegundua mambo matatu kwenye uongozi wa Samia Suluhu, aidha Rais hayuko well informed au anadanganywa/potoshwa au uwezo wake wa kutambua mambo ni mdogo.

Pamoja na mapungufu yake Magufuli alikuwa na watu wake (inner circle) aliowaamini waliokuwa wanampatia taarifa sahihi hasa za ndani, SSH hana anategemea watu wa system ambao wengi wao wana ajenda zao binafsi ikiwemo ya kumpata mrithi baada yake.

Kwamba Marekani wakimaliza uchaguzi hakuna mikutano ya hadhara wala maandamano, it’s wrong, hadi leo Trump anafanya mikutano, Marekani maandamano ni kila siku tumeona wakati wa ‘Black Lives Matters’ nk nk.

Kwamba yeye (Samia) hawezi kuingilia kesi iliyo mahakamani wakati huo huo anazungumzia maendeleo ya kesi iliyopo mahakamani, kuwa, wanaoshitakiwa kwa ugaidi pamoja na Mbowe kesi zao zimeshasikilizwa na wanatumikia vifungo kabaki Mbowe, hii ni kama keshamhukumu Mbowe anawajenga watu kisaikolojia kuwa kama wenzake wamehukumiwa lazima Mbowe naye atumikie kifungo, hii sio sahihi.

Kwamba, Mbowe alikimbilia Kenya akaanza kupanga ugaidi, kidiplomasia hili halina afya linaweza kusababisha mgogoro kuwa Kenya inahifadhi watuhumiwa wa kigaidi.

Kama Rais mwenyewe anaitangazia dunia kuwa kuna watu Tanzania wamehukumiwa kwa ugaidi anategemea investor gani ata invest kwenye nchi ya magaidi, it’s just a common sense kulitambua hilo.

Haya ni machache kati ya mengi niliyoyaona kuhusiana na uwezo wa Rais kuchambua mambo kwa hadhi ya urais. Kama ni wasaidizi wake wanampotosha ama yeye kwa makusudi anaamua kupotosha, basi yampasa awe na uwezo wa kugundua na kujua madhara yake.

Leo kuna watu wameanza kuwa na wasiwasi na uwezo wa Samia (kiuongozi).

Ndio maana nikasema naanza kuwaelewa watu hasa ‘Sukuma Gang’ kina Gwajima, Polepole, Bashiru wanaoonyesha wazi kutofautiana na Mwenyekiti wao, pamoja na sababu kutosemwa lakini wana send message kuhusiana na uwezo wa rais.
Iwapo leo ndio umeanza kutilia shaka basi kichwa chaka siwezi kukitofautisha na utendaji kazi wa computer ya 1995 yenye windows 95!
 
Twende mbele turudi nyuma upinzani lazima ujitafakari why mnakimbilia kumsapoti mtu bila kujiridhisha?? Kuna agenda nyingi za kusimamia ambazo zingewaboost suala la tozo,chanjo then mnakuja kwny katiba sasa nyie mnajua kabisa watanzania wengi Wana mashaka na chanjo nyie kutwa kuwahimiza suala la tozo kimya
Ulivyoanza nilitaka kukusapoti,lakini umeharibu sana kugusa katiba mpya na kuonesha siyo agenda muhimu.
Tafakari upya

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Niliingia mtego wa kumpenda na kumheshimu mama samia suluhu mara tu alipoapishwa kuwa rais nikijua atakuwa rais bora lakini nimegundua nilikuwa wrong, niliapa kumpa kura yangu 2025 ingali mm ni mpinzani!!
Anyway mama amekosea sana kwa suala la mbowe na akitaka watanzania tulio na akili timamu turudishe upendo kwake amalize suala la mbowe kwa akili na atimize ahadi yake ya kuonana na watanzania wenzetu (vya vya upinzani)
Tujenge nchi yetu na turudishe umoja na upendo na mshikamano kama watanzania.
 
Umempa za uso vizuri sana!

Eti wanataka watukane waangaliwe tu, waandamane waangaliwe tu, wafanye ujinga wote waangaliwe tu!

hawa watu sometimes unaweza sema wana hidden agendas. Nchi gani makini Haina utaratibu mzuri wa kufanya mambo yake?
Kama hata wewe umemgeuka Lisu basi kuna shida
 
Twende mbele turudi nyuma upinzani lazima ujitafakari why mnakimbilia kumsapoti mtu bila kujiridhisha?? Kuna agenda nyingi za kusimamia ambazo zingewaboost suala la tozo,chanjo then mnakuja kwny katiba sasa nyie mnajua kabisa watanzania wengi Wana mashaka na chanjo nyie kutwa kuwahimiza suala la tozo kimya
Hivi hii inatoka wapiiiii
 
Hivi kumbe miamala ni ya chadema tu?

Vipi kushadadia chanjo za majaribio?

Vipi rais anatoka Ikulu ya Dodoma anakuja Dar anawaita mawaziri toka Dodoma wanaongea alafu jioni hiyo anapanda tena ndege kurudi Dodoma?

Mbona unawaza kama mtu ambaye hana kichwa? Kwahiyo ni sahihi kuwashika wapinzani Hovyohovyo na kuwaweka ndani kisa katiba?

Hii katiba ni ya chadema au ya watanzania wote?

Nashindwa nikuite jina gani maana mpumbavu halikutoshi
Niite vyovyote vile unavyotaka lakini nope, si kila unachotaka katika maisha lazima ukipate.

Na ung'ang'anizi wenu unazidi kuwaumbua jinsi mlivyo watu wasioaminika hata kidogo.

Ni majuzi tu Magufuli alizitilia mashaka chanjo mkamwita mshamba wa Chato. Leo hii mama kaleta chanjo mmeshamgeuka kuwa ni chanjo za majaribio?

Ni majuzi tu mlimponda Magufuli kwa kutumia nguvu kubwa suala la kuhamia Dodoma. Leo hii mnamponda mama kutoichukulia serious Dodoma?

Kelele zenu kuhusu miamala, tozo, katiba mpya, bla bla... ni kelele za mtu anayetafuta umaarufu upya baada ya kupoteana. Msifikiri tumesahau kelele zenu kuhusu ufisadi baadaye mkamkumbatia mtu mliyetumia miaka kibao mkituaminisha ni fisadi.

Msitumie nguvu kubwa kupambana na adui mnayeamini ni mwingine. Adui yenu ni nyie wenyewe. Mna akili ndogo sana za kufanya siasa zenye tija.
 
Baada ya kusikiliza interview ya Rais Samia Suluhu na Salimu Kikeke, nimegundua mambo matatu kwenye uongozi wa Samia Suluhu, aidha Rais hayuko well informed au anadanganywa/potoshwa au uwezo wake wa kutambua mambo ni mdogo.

Pamoja na mapungufu yake Magufuli alikuwa na watu wake (inner circle) aliowaamini waliokuwa wanampatia taarifa sahihi hasa za ndani, SSH hana anategemea watu wa system ambao wengi wao wana ajenda zao binafsi ikiwemo ya kumpata mrithi baada yake.

Kwamba Marekani wakimaliza uchaguzi hakuna mikutano ya hadhara wala maandamano, it’s wrong, hadi leo Trump anafanya mikutano, Marekani maandamano ni kila siku tumeona wakati wa ‘Black Lives Matters’ nk nk.

Kwamba yeye (Samia) hawezi kuingilia kesi iliyo mahakamani wakati huo huo anazungumzia maendeleo ya kesi iliyopo mahakamani, kuwa, wanaoshitakiwa kwa ugaidi pamoja na Mbowe kesi zao zimeshasikilizwa na wanatumikia vifungo kabaki Mbowe, hii ni kama keshamhukumu Mbowe anawajenga watu kisaikolojia kuwa kama wenzake wamehukumiwa lazima Mbowe naye atumikie kifungo, hii sio sahihi.

Kwamba, Mbowe alikimbilia Kenya akaanza kupanga ugaidi, kidiplomasia hili halina afya linaweza kusababisha mgogoro kuwa Kenya inahifadhi watuhumiwa wa kigaidi.

Kama Rais mwenyewe anaitangazia dunia kuwa kuna watu Tanzania wamehukumiwa kwa ugaidi anategemea investor gani ata invest kwenye nchi ya magaidi, it’s just a common sense kulitambua hilo.

Haya ni machache kati ya mengi niliyoyaona kuhusiana na uwezo wa Rais kuchambua mambo kwa hadhi ya urais. Kama ni wasaidizi wake wanampotosha ama yeye kwa makusudi anaamua kupotosha, basi yampasa awe na uwezo wa kugundua na kujua madhara yake.

Leo kuna watu wameanza kuwa na wasiwasi na uwezo wa Samia (kiuongozi).

Ndio maana nikasema naanza kuwaelewa watu hasa ‘Sukuma Gang’ kina Gwajima, Polepole, Bashiru wanaoonyesha wazi kutofautiana na Mwenyekiti wao, pamoja na sababu kutosemwa lakini wana send message kuhusiana na uwezo wa rais.
Nakusikilizia ili nijue vijana wa CHADEMA wanasema nini, baada ya miezi 4 ya kumsifu na kuamini Magufuli alikuwa hovyo sana!! Lakini wajue, walipotoa sifa hizo, mwenzao alizivaa na kujiamini kwamba kumbe anafaa sana! Sasa M'kiti wao yuko ndani bila hata kelele za chama. Nasema ndani!!

Sisi wengine tunaojitambua tuliposikia elimu ya hapa na pale, baadaye Mzumbe, baadaye Open University, zikaja clip za kuonesha niya yake ya kutaka Ph.D...... aaah, basi! Ni wapi rais wetu huyu mwenye jinsia ya kike aliwahi tumia ubongo wake kwa kiwango cha juu kabisa? Wapi jamani?
 
Tumepigwa mbaya sana si kdg. Hii nchi sijui ilimkosea nn Mungu mpk anaiadhabu kiasi kikubwa kama hiki. Hakuna aliyehukumiwa kwenye kesi ya akina Mbowe. Watuhumiwa so far ni wa4 na hakuna aliyekuhumiwa. Kwanini Rais anasema wameshahukumiwa?

Eti Mbowe amefanya vurugu na kuitisha maaandamano, ina maana Rais hana taarifa kwamba maandamano ni haki ya kikatiba? Rais anasema wapinzani wanafanya maandamano na kuchoma magari, ni lini hayo yametokea?

Huenda wasaidizi wa Rais hawafanyi kazi yao sawa hii si sawa kbs.
Oooh! anajua kiingereza, oooh! huyu ni muungwana, Oooh! angalau watu wana nyuso za furaha! Yaani tuna mijitu mijinga ktk nchi hadi inatia shaka. JF yenyewe imejaa mijitu ya hovyo hovyo hadi unashangaa mitandaoni inafanya nini! Tena watu wako ktk ajira za serikali wanatamani rais mzembe!
 
VINGI SANA ! Kipimo kimoja kidogo tuu ! Jinsi alivyo jibu maswali ya Salim Kikeke wa BBC ! She exposed herself and the country ! Eti kuna magaidi yamefungwa humu nchini ! Da ! Nani aje kuwekeza nchi yenye magaidi? Hao wa uwamasho wenyewe miaka 9 jela na bado walishindwa kuwafungulia mashitaka mpaka yeye mwenyewe kwaachilia !! Anaelezea safari ya Mbowe Kenya ya kwamba alienda huko kupanga njama, kisha akarudi na kuanzisha makomgamano / maandamano ya katiba mpya kama kificho! Je mahusiano yetu na Jamhuri ya Kenya kidiplomasia inakuaje ? Kwa nini gaidi aliruhusiwa kufanya kampeni wakati wa uchaguzi na asikamatwe ? HUYU MAMA IQ YAKE NI NDOGO MNO NA HATARI SANA KWA TAIFA HILI ! LAZIMA ADHIBITIWE HATA NA HAO WAKIJANI WENZIE ! THIS COUNTRY CAN'T AFFORD SUCH A SLOW AND BACKWARD THINKING PRESIDENT !
Mie tu pale alipokuwa akiwahoji sijui wakandarasi au nani pale Kariakoo mwendokasi 🙂 🙂 🙂
 
Back
Top Bottom