Naanza kutilia shaka uwezo wa Rais Samia kuongoza Taifa

Naanza kutilia shaka uwezo wa Rais Samia kuongoza Taifa

Baada ya kusikiliza interview ya Rais Samia Suluhu na Salimu Kikeke, nimegundua mambo matatu kwenye uongozi wa Samia Suluhu, aidha Rais hayuko well informed au anadanganywa/potoshwa au uwezo wake wa kutambua mambo ni mdogo.

Pamoja na mapungufu yake Magufuli alikuwa na watu wake (inner circle) aliowaamini waliokuwa wanampatia taarifa sahihi hasa za ndani, SSH hana anategemea watu wa system ambao wengi wao wana ajenda zao binafsi ikiwemo ya kumpata mrithi baada yake.

Kwamba Marekani wakimaliza uchaguzi hakuna mikutano ya hadhara wala maandamano, it’s wrong, hadi leo Trump anafanya mikutano, Marekani maandamano ni kila siku tumeona wakati wa ‘Black Lives Matters’ nk nk.

Kwamba yeye (Samia) hawezi kuingilia kesi iliyo mahakamani wakati huo huo anazungumzia maendeleo ya kesi iliyopo mahakamani, kuwa, wanaoshitakiwa kwa ugaidi pamoja na Mbowe kesi zao zimeshasikilizwa na wanatumikia vifungo kabaki Mbowe, hii ni kama keshamhukumu Mbowe anawajenga watu kisaikolojia kuwa kama wenzake wamehukumiwa lazima Mbowe naye atumikie kifungo, hii sio sahihi.

Kwamba, Mbowe alikimbilia Kenya akaanza kupanga ugaidi, kidiplomasia hili halina afya linaweza kusababisha mgogoro kuwa Kenya inahifadhi watuhumiwa wa kigaidi.

Kama Rais mwenyewe anaitangazia dunia kuwa kuna watu Tanzania wamehukumiwa kwa ugaidi anategemea investor gani ata invest kwenye nchi ya magaidi, it’s just a common sense kulitambua hilo.

Haya ni machache kati ya mengi niliyoyaona kuhusiana na uwezo wa Rais kuchambua mambo kwa hadhi ya urais. Kama ni wasaidizi wake wanampotosha ama yeye kwa makusudi anaamua kupotosha, basi yampasa awe na uwezo wa kugundua na kujua madhara yake.

Leo kuna watu wameanza kuwa na wasiwasi na uwezo wa Samia (kiuongozi).

Ndio maana nikasema naanza kuwaelewa watu hasa ‘Sukuma Gang’ kina Gwajima, Polepole, Bashiru wanaoonyesha wazi kutofautiana na Mwenyekiti wao, pamoja na sababu kutosemwa lakini wana send message kuhusiana na uwezo wa rais.
Black lives matters inaongozwa na vyama vya siasa?
 
Mama kaharibu sana,eti Marekani Uchaguzi ukiisha basi kazi za maendeleo zinaanza,Mikutano hakuna wala maandamano,yalikitokea maandamano bado labda ya umeme tena waandamanaji wanaelekea kule kwa watoa umeme [emoji3][emoji3]

Sijui anadanganywa au yeye ndio hajui?
 
Ametangaza kuwa mtu anayetuhumiwa kwa ugaidi ameshtakiwa!! Hili sio kizuizi kwenye uwekezaji
Kiongozi wa kambi ya upinzani, chama kikubwa cha siasa awe gaidi nchi gani hii!!
Unaiambia dunia nini. Hapa tupate fundisho kuhusu dhana ya ugaidi.
Terrorist/terrorism sio joke
 
VINGI SANA ! Kipimo kimoja kidogo tuu ! Jinsi alivyo jibu maswali ya Salim Kikeke wa BBC ! She exposed herself and the country ! Eti kuna magaidi yamefungwa humu nchini ! Da ! Nani aje kuwekeza nchi yenye magaidi? Hao wa uwamasho wenyewe miaka 9 jela na bado walishindwa kuwafungulia mashitaka mpaka yeye mwenyewe kwaachilia !! Anaelezea safari ya Mbowe Kenya ya kwamba alienda huko kupanga njama, kisha akarudi na kuanzisha makomgamano / maandamano ya katiba mpya kama kificho! Je mahusiano yetu na Jamhuri ya Kenya kidiplomasia inakuaje ? Kwa nini gaidi aliruhusiwa kufanya kampeni wakati wa uchaguzi na asikamatwe ? HUYU MAMA IQ YAKE NI NDOGO MNO NA HATARI SANA KWA TAIFA HILI ! LAZIMA ADHIBITIWE HATA NA HAO WAKIJANI WENZIE ! THIS COUNTRY CAN'T AFFORD SUCH A SLOW AND BACKWARD THINKING PRESIDENT !
maana chadema yote yote yanajifanyaga ni maana sheria nguli au wabobezi
 
Nikweli mama IQ ndogo lkn hawa wapinzani wachumba wa mabeberu, magaidi hawafai hata kuwa viranja wa chekechea kelele zote ni kwa ajili ya matumbo yao
Mabeberu yapi yale yaliyompatia mama chanjo ya bure.
 
Wala hujui. Mbona kwenye hiyo kesi kuna wameshahukumiwa. Wala kukamatwa mbowe kwa ugaidi haina negative effect yoyote kwa mahusiano yetu na kenya wala nchi zingine. In fact inaonyesha tuko vizuri kwenye usalama. Kwenye hiyo interview samia kaonyesha yuko wapi in relation na namna ya uendeshaji nchi na magufuli. Chadema walishangilia eti ni mtu wao sasa wanakua dissapointed.
Kwani mimi nimesemaje, kumbe Chadema walipongeza mbona huwa mnasema wao kila kitu kupinga.
 
Baada ya kusikiliza interview ya Rais Samia Suluhu na Salimu Kikeke, nimegundua mambo matatu kwenye uongozi wa Samia Suluhu, aidha Rais hayuko well informed au anadanganywa/potoshwa au uwezo wake wa kutambua mambo ni mdogo.

Pamoja na mapungufu yake Magufuli alikuwa na watu wake (inner circle) aliowaamini waliokuwa wanampatia taarifa sahihi hasa za ndani, SSH hana anategemea watu wa system ambao wengi wao wana ajenda zao binafsi ikiwemo ya kumpata mrithi baada yake.

Kwamba Marekani wakimaliza uchaguzi hakuna mikutano ya hadhara wala maandamano, it’s wrong, hadi leo Trump anafanya mikutano, Marekani maandamano ni kila siku tumeona wakati wa ‘Black Lives Matters’ nk nk.

Kwamba yeye (Samia) hawezi kuingilia kesi iliyo mahakamani wakati huo huo anazungumzia maendeleo ya kesi iliyopo mahakamani, kuwa, wanaoshitakiwa kwa ugaidi pamoja na Mbowe kesi zao zimeshasikilizwa na wanatumikia vifungo kabaki Mbowe, hii ni kama keshamhukumu Mbowe anawajenga watu kisaikolojia kuwa kama wenzake wamehukumiwa lazima Mbowe naye atumikie kifungo, hii sio sahihi.

Kwamba, Mbowe alikimbilia Kenya akaanza kupanga ugaidi, kidiplomasia hili halina afya linaweza kusababisha mgogoro kuwa Kenya inahifadhi watuhumiwa wa kigaidi.

Kama Rais mwenyewe anaitangazia dunia kuwa kuna watu Tanzania wamehukumiwa kwa ugaidi anategemea investor gani ata invest kwenye nchi ya magaidi, it’s just a common sense kulitambua hilo.

Haya ni machache kati ya mengi niliyoyaona kuhusiana na uwezo wa Rais kuchambua mambo kwa hadhi ya urais. Kama ni wasaidizi wake wanampotosha ama yeye kwa makusudi anaamua kupotosha, basi yampasa awe na uwezo wa kugundua na kujua madhara yake.

Leo kuna watu wameanza kuwa na wasiwasi na uwezo wa Samia (kiuongozi).

Ndio maana nikasema naanza kuwaelewa watu hasa ‘Sukuma Gang’ kina Gwajima, Polepole, Bashiru wanaoonyesha wazi kutofautiana na Mwenyekiti wao, pamoja na sababu kutosemwa lakini wana send message kuhusiana na uwezo wa rais.

Tuombe mungu taifa hili lipo katika uvuli na umbwe kubwa la kisiasa.

Mbona umerudia ku copy tena? Au hujaona mwanzoni mwa huu uzi?
 
Pale hamna kitu.Binafsi mwanzo nilichanganywa na ushungi pamoja na ile miwani nikajua tumepata bonge la Rais kumbe hajui hata anaongoza nini.

Rais muongo muongo sana na hajui hata nchini kwake nini kinaendelea.
Inshort jana Salim Kikeke amechezea per diem ya BBC kwa kwenda kutalii Ikulu na kupigiwa soga zisizo na kichwa wala miguu.
 
Baada ya kusikiliza interview ya Rais Samia Suluhu na Salimu Kikeke, nimegundua mambo matatu kwenye uongozi wa Samia Suluhu, aidha Rais hayuko well informed au anadanganywa/potoshwa au uwezo wake wa kutambua mambo ni mdogo.

Pamoja na mapungufu yake Magufuli alikuwa na watu wake (inner circle) aliowaamini waliokuwa wanampatia taarifa sahihi hasa za ndani, SSH hana anategemea watu wa system ambao wengi wao wana ajenda zao binafsi ikiwemo ya kumpata mrithi baada yake.

Kwamba Marekani wakimaliza uchaguzi hakuna mikutano ya hadhara wala maandamano, it’s wrong, hadi leo Trump anafanya mikutano, Marekani maandamano ni kila siku tumeona wakati wa ‘Black Lives Matters’ nk nk.

Kwamba yeye (Samia) hawezi kuingilia kesi iliyo mahakamani wakati huo huo anazungumzia maendeleo ya kesi iliyopo mahakamani, kuwa, wanaoshitakiwa kwa ugaidi pamoja na Mbowe kesi zao zimeshasikilizwa na wanatumikia vifungo kabaki Mbowe, hii ni kama keshamhukumu Mbowe anawajenga watu kisaikolojia kuwa kama wenzake wamehukumiwa lazima Mbowe naye atumikie kifungo, hii sio sahihi.

Kwamba, Mbowe alikimbilia Kenya akaanza kupanga ugaidi, kidiplomasia hili halina afya linaweza kusababisha mgogoro kuwa Kenya inahifadhi watuhumiwa wa kigaidi.

Kama Rais mwenyewe anaitangazia dunia kuwa kuna watu Tanzania wamehukumiwa kwa ugaidi anategemea investor gani ata invest kwenye nchi ya magaidi, it’s just a common sense kulitambua hilo.

Haya ni machache kati ya mengi niliyoyaona kuhusiana na uwezo wa Rais kuchambua mambo kwa hadhi ya urais. Kama ni wasaidizi wake wanampotosha ama yeye kwa makusudi anaamua kupotosha, basi yampasa awe na uwezo wa kugundua na kujua madhara yake.

Leo kuna watu wameanza kuwa na wasiwasi na uwezo wa Samia (kiuongozi).

Ndio maana nikasema naanza kuwaelewa watu hasa ‘Sukuma Gang’ kina Gwajima, Polepole, Bashiru wanaoonyesha wazi kutofautiana na Mwenyekiti wao, pamoja na sababu kutosemwa lakini wana send message kuhusiana na uwezo wa rais.
This analysis fits in Republic of JF, or people of very low intellect. Analyse Samia through the following question to convince us that what you feel is cosmic understanding of how she is.

To get true analysis of a leader see through into mind-set, heart-set and skill-set.


Expand on how your analysis on leadership style influences her leadership philosophy in the mind-set section. Explain specific leadership models and leaders who have influenced her.


Explain what you think a good leader is and if you are one by your own definition. Explain whether her leadership philosophy allows her to be successful at her job's current duties.


Explain your feelings on leadership in the heart-set section.


Explain what role feelings have in leadership based on her leadership style.


Explain her personality and values and how these have impacted her leadership.


Explain how her actions, philosophy and feelings reflect her leadership style in the skill-set section. Account for any differences you see.


Explain how her leadership actions have or have not been helping her fulfill her job's duties.

I hope you shall soon come with that serious analysis.
 
Back
Top Bottom