Naanzaje kumtongoza huyu msichana aliyekuja ofisini kwetu?

Hebu shuhudia hata penalti mtu anapata kigugumizi cha hata kuugusa mpira!!! πŸ˜‚πŸ˜‚ si bora hata apige halafu agonge mwamba? Mtundu wewe!!! 😜😜😜
Duuh!! Tukisema wanaume mnazidi kupungua huwa hamtaki sasa hebu ona yaani hadi kumtokea mtu unakuja huku wanaume wenzio ndo wakupe mistari. Lol
 
nipe namba yake nikusaidie!! kufika jpili nitakupa majibu
 
Rushwa, ufisadi na uzembe makazini ni mazao ya CCM.
Huko kazini kwenu noma, mnasaini na kuweka nambari ya simu.
 
Amnaaa alikuja kupata hudumaa ofsini kwetu
Piga simu

Adonack: Mambo, naitwa Adonack napiga simu kutoka ofisi ABC.
Naongea na Nanihii?

Nanihii: Ndiyo.

Adonack: Sawa. Nimepiga kufuatilia uridhishwaji wa mteja na huduma za ofisi yetu. Mwaka huu tumeazimia kukusanya maoni kila baada ya miezi 6 na wewe ni miongoni mwa wateja wetu wa kwanza kwanza kuwapigia.

(Subiri jibu au ishara ya kuonyesha kaelewa)

Ukimaliza hapa. Usimcheki mpaka siku mbili au zipite. Kisha ruka tena hewani.

Adonack: Hello mambo vipi.

Nanihii: Poa.

Adonack: Leo sijapiga kwa ajili ya customer review (jichekeshe kiume) leo nimepiga kushangaa sijaona ukirudi ofisini kwetu tena.

(Subiri jibu)

Chill kisha baadaye hivi mtext. Uliza anapoishi na ishu kama hizo.

Siku mbili mbele (kama bado hamjaonana) text "I want to see more of u"

Subiri jibu. Akitoa jibu positive omba appointment ya lunch, likiwa negative nitumie PM nilione nikufundishe cha kufanya.

Iko hivi hata mwanamke akupende vipi kama hujui kujieleza unatoka kapa mchana kweupe na jua linawaka. Make sure you sound friendly and manly.
 
Rushwa, ufisadi na uzembe makazini ni mazao ya CCM.
Huko kazini kwenu noma, mnasaini na kuweka nambari ya simu.
Ndio yan jina namba ya simu joto lako na uliko toka alafu mtoto anaonekana anajotoo kwelii yule
 
Asantee broo duuuuuh ngoja nikaanziaa sasa ivi
 
Msubiri kesho muulize Tu katokea wapi? Akitaja hiyo sehemu jifanye uliwahi fanya kazi huko .. jifanye unashangaa mbona hukuwahi kumuona...baasi.

Baadae lunch time ndo mtumie SMS.. mwambie twende lunch baasi.
we kweli ni legend
 
Sijui kwanini huwa napenda kutongoza,yaan nisipotongoza kwa wk nasikia kitu tofauti mwilini,tena napenda ninayemtongoza awe mbishi ili nitumie akili nampataje!...
N.B huwa natongoza bila kutanguliza pesa
 
Sijui kwanini huwa napenda kutongoza,yaan nisipotongoza kwa wk nasikia kitu tofauti mwilini,tena napenda ninayemtongoza awe mbishi ili nitumie akili nampataje!...
N.B huwa natongoza bila kutanguliza pesa
Unipe ujuzi sasaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…