Naanzisha vita Rasmi na huyu jamaa anayejiita GENTAMYCINE

Naanzisha vita Rasmi na huyu jamaa anayejiita GENTAMYCINE

Status
Not open for further replies.
Mkuu muda utapatikana tu,bila kumkung'uta huyu mjinga heshima haiwezi kuwepo,kanichukiza sana
Sina uhakika kama uko serious au unatania.
Kwa ushauri tu (kama kweli unamaanisha) kwenye haya maisha usipende kutafuta vita na mtu aliye nje yako, vita unayopaswa kupigana ni kati ya nafsi yako. Iambie nafsi yako itulie, itafute jambo jingine lenye tija kwako. Achana na vita ya nje muraa!

Vipi ukisikia huyo genta ni robot? Au ana matatizo ya akili? Utapigana naye?
 
Sina uhakika kama uko serious au unatania.
Kwa ushauri tu (kama kweli unamaanisha) kwenye haya maisha usipende kutafuta vita na mtu aliye nje yako, vita unayopaswa kupigana ni kati ya nafsi yako. Iambie nafsi yako itulie, itafute jambo jingine lenye tija kwako. Achana na vita ya nje muraa!

Vipi ukisikia huyo genta ni robot? Au ana matatizo ya akili? Utapigana na naye?
Sitanii mkuu,niko serious kuliko unavyodhani
 
FvcRsUpaYAAbovS.jpeg.jpg
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!.

Tafadhali sana YinYang msifutee huu uzi,nakuombeni sana maana nahitaji ujumbe umfikie mlengwa.

Sikupaswa kuandika hapa lakini kwasababu umeamua kuniblock huko pm kila nikikuandikia sms haziendi,sasa nimeona nije public ili ufahamu ya kwamba wewe unayejiita GENTAMYCINE nahitaji tukutane tukiwa wawili tu kwa ajili ya kutibitisha mimi na wewe nani mwanaume,kiukweli nakutamani sana na nina uchungu mno na wewe na nakuahidi ukinipiga nitakuheshimu.

Umekuwa kila mara ukinitukania mama yangu kwenye mijadala,huwa unaanzisha mada zako za ovyo halafu nikija kukomenti unarudishia kwa matusi yanayomuhusu mama yangu,na umekuwa ukisema unachokozwa,ina maana wewe ukianzisha mada zako za ovyo huwa si uchokozi kwa watu wengine?,Ina maana wewe uwe unaanzisha mada zako za kijinga halafu tukuangalie tu hata kama unatuchokoza?

Labda kwa wengine ila si kwa mkurya mimi.

Sasa naomba ufungue pm yako na tutafutane ili unithibitishie kweli kama wewe ni mwanaume,acha kuandika hapa na kujisifu kwamba wewe ni mbabe wakati umejificha nyuma ya keyboard.

Aisee wewe jamaa nakutamani sana na nitakukung'uta sana,kama kweli wewe ni mwanaume fungua pm nichati na wewe,hili jambo sikupaswa kulileta hapa,nilipaswa nimalizane na wewe huko pm ili tukutane tuonyeshane ubabe.

Huu ni ujumbe wako GENTAMYCINE na naomba unicheki pm
Ila isiwe ni mbinu ya kutupoteza maboya tusahau bandari zetu zinazo ibiwa! Kama mmetumwa hatutaelewana.
 
Jitu linalojinadi kwa matusi siku zote naliona jinga jinga tu, halafu mimi ndio huwa namchokonoa ili afure vizuri apasuke..

Kuna hili Von_Lufuta linapenda sana kutukana, Ana bichwa kama Boga..

Wee Von_Lufuta lete pua zako hapa kama firimbi uje utukane...
Rubish

@ Huyo genta mimi nikajua aliacha hizo mambo ilikua ni zamani?

Na wewe GENTAMYCINE kama bado uringa na matusi na umri huo, wewe nawe ni bata, bichwa kama kitimoto.
Rubish.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom