Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Waoga tena Wana ukike like mwingiAnapigana Russia na Ukraine ije kua sisi? Lazima wnaume mpigane ili muheshimiane, watu mnaojificha kwenye busara mara hekima hua ni waoga waoga tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waoga tena Wana ukike like mwingiAnapigana Russia na Ukraine ije kua sisi? Lazima wnaume mpigane ili muheshimiane, watu mnaojificha kwenye busara mara hekima hua ni waoga waoga tu
Mkuu bila kutwangana heshima haitakuwepo kati yangu na yeye,kila siku kutukukanana hapa kunapelekea kufungiwa,sasa nimechoshwa na matusi yake,nahitaji tupigane ili hasira zangu zipoe dhidi yakeUkiona mtu bado ana fikra za ugomvi kupigana kubishana ujue ukomavu wa akili yake bado haujafika kileleni
Hao wote ni wavuta bangi,acha wapambaneDuh, una hadi huo muda kweli mkuu? Mambo yalivyo mengi hivyo, si utafute tu jambo jingine la kufanya lenye tija kwako na kwa taifa kuliko kushindana na mtu usiyemjua!
I see!
Nina uhakika Figo ni mwanaumeWeee sema kweli [emoji15][emoji15]
Mkuu achana naye huyo, ni vitoto vya wajeshi vilivyokua na kwashiokor, akili haikuwahi kukomaa.Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!.
Tafadhali sana YinYang msifutee huu uzi,nakuombeni sana maana nahitaji ujumbe umfikie mlengwa.
Sikupaswa kuandika hapa lakini kwasababu umeamua kuniblock huko pm kila nikikuandikia sms haziendi,sasa nimeona nije public ili ufahamu ya kwamba wewe unayejiita GENTAMYCINE nahitaji tukutane tukiwa wawili tu kwa ajili ya kutibitisha mimi na wewe nani mwanaume,kiukweli nakutamani sana na nina uchungu mno na wewe na nakuahidi ukinipiga nitakuheshimu.
Umekuwa kila mara ukinitukania mama yangu kwenye mijadala,huwa unaanzisha mada zako za ovyo halafu nikija kukomenti unarudishia kwa matusi yanayomuhusu mama yangu,na umekuwa ukisema unachokozwa,ina maana wewe ukianzisha mada zako za ovyo huwa si uchokozi kwa watu wengine?,Ina maana wewe uwe unaanzisha mada zako za kijinga halafu tukuangalie tu hata kama unatuchokoza?
Labda kwa wengine ila si kwa mkurya mimi.
Sasa naomba ufungue pm yako na tutafutane ili unithibitishie kweli kama wewe ni mwanaume,acha kuandika hapa na kujisifu kwamba wewe ni mbabe wakati umejificha nyuma ya keyboard.
Aisee wewe jamaa nakutamani sana na nitakukung'uta sana,kama kweli wewe ni mwanaume fungua pm nichati na wewe,hili jambo sikupaswa kulileta hapa,nilipaswa nimalizane na wewe huko pm ili tukutane tuonyeshane ubabe.
Huu ni ujumbe wako GENTAMYCINE na naomba unicheki pm kwa lengo la kupanga mimi na wewe ni wapi tukutane tukiwa wawili tu ili tuzichape,lengo la kuwa wawili mimi na wewe ni kwasababu sitaki awepo mtu wa kutuachanisha,inapaswa tukung'utane ili atakaye zidiwa amkimbie mwenzie.
Hakuna silaha itakayotumika,zitapigwa ngumi kavu.
Nawasilisha