Pythagoras
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 2,026
- 5,299
Narefresh kusubiri GENTA akijibu hizi comments 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakuna namna nyingine kikubwa ujumbe umefikaMkuu sikupaswa kabisa ili bandiko kulileta hapa,nimemfuata pm nikakuta kafunga
Huyo Figo alishaniomba nisiwe namtagYupo mwingine anatuma picha za kike kumbe mwanaume anaitwa Figo muwe makini naye ni mwanaume huyo
Mkuu ebu nipe ubuyu,huyo bwana cherehani ni nani!?Genta wa watu keshakatwa Sikio na Bw. CHEREHANI bado mnataka mummalize.
Make kwanza nicheke 🤣🤣🤣🤣Piga huyooo
GENTA yupo kwenye bajaji mida hii anatoka vingunguti kununua makongoro.Nahitaji pambano na yeye,huko pm nahitaji tuchati wawili na tukubaliane sehemu ya kukutania tukiwa wawili tu ili tuzitwange na asiwepo wa kuamua ugomvi hadi atakaye ona kazidiwa akimbie.
Mzee wangu Mrangi shikamoo!Mwenzako Ana blackbelt utamuweza
Ova
Ukiona mtu bado ana fikra za ugomvi kupigana kubishana ujue ukomavu wa akili yake bado haujafika kileleni