Naanzisha vita Rasmi na huyu jamaa anayejiita GENTAMYCINE

Status
Not open for further replies.
Mkuu muda utapatikana tu,bila kumkung'uta huyu mjinga heshima haiwezi kuwepo,kanichukiza sana
Sina uhakika kama uko serious au unatania.
Kwa ushauri tu (kama kweli unamaanisha) kwenye haya maisha usipende kutafuta vita na mtu aliye nje yako, vita unayopaswa kupigana ni kati ya nafsi yako. Iambie nafsi yako itulie, itafute jambo jingine lenye tija kwako. Achana na vita ya nje muraa!

Vipi ukisikia huyo genta ni robot? Au ana matatizo ya akili? Utapigana naye?
 
Sitanii mkuu,niko serious kuliko unavyodhani
 
Ila isiwe ni mbinu ya kutupoteza maboya tusahau bandari zetu zinazo ibiwa! Kama mmetumwa hatutaelewana.
 
Jitu linalojinadi kwa matusi siku zote naliona jinga jinga tu, halafu mimi ndio huwa namchokonoa ili afure vizuri apasuke..

Kuna hili Von_Lufuta linapenda sana kutukana, Ana bichwa kama Boga..

Wee Von_Lufuta lete pua zako hapa kama firimbi uje utukane...
Rubish

@ Huyo genta mimi nikajua aliacha hizo mambo ilikua ni zamani?

Na wewe GENTAMYCINE kama bado uringa na matusi na umri huo, wewe nawe ni bata, bichwa kama kitimoto.
Rubish.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…