Naanzisha vita Rasmi na huyu jamaa anayejiita GENTAMYCINE

Status
Not open for further replies.
Anapigana Russia na Ukraine ije kua sisi? Lazima wnaume mpigane ili muheshimiane, watu mnaojificha kwenye busara mara hekima hua ni waoga waoga tu
Waoga tena Wana ukike like mwingi
 
Ukiona mtu bado ana fikra za ugomvi kupigana kubishana ujue ukomavu wa akili yake bado haujafika kileleni
Mkuu bila kutwangana heshima haitakuwepo kati yangu na yeye,kila siku kutukukanana hapa kunapelekea kufungiwa,sasa nimechoshwa na matusi yake,nahitaji tupigane ili hasira zangu zipoe dhidi yake
 
Mkuu achana naye huyo, ni vitoto vya wajeshi vilivyokua na kwashiokor, akili haikuwahi kukomaa.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Mambo mengine ni full furaha.Ni pale mmoja atakapotwangwa halafu akimbie huku anapayuka:"Kontema ontemere muraa.Rakini ekhembhumbhu nayere muraa"!
 
Mkuu achana naye huyo, ni vitoto vya wajeshi vilivyokua na kwashiokor, akili haikuwahi kukomaa.
Mkuu unadhani naachana nae,nina hasira sana dhidi yake,ili hizi hasira zipoe nahitaji kupigana nae tu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…